Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matukio ya kujichukulia sheria mkononi yazidi kukithiri nchini

Dar es Salaam. Kituo cha Haki za Binaadamu (LHRC), kwa kushirikiana na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar (ZLSC), kimewasilisha ripoti ya mwaka 2014 inayoonyesha kuongezeka kwa matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu yanayosababishwa na baadhi ya watu kujichukulia sheria mkononi na mauaji yanayofanywa na vyombo vya dola.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Matukio ya kujichukulia sheria mkononi yakomeshwe

NDANI ya jamii ya Kitanzania kumejengeka utamaduni wa wananchi kujichukulia sheria mikononi katika mambo mbalimbali.

Miongoni mwa hayo ni yale ya kuwaua wahalifu baadhi kwa kuchomwa moto na wengine kuamua kufunga barabara kwa saa kadhaa baada ya ajali kutokea.

Bila kujali madhara yanayoweza kutokea kutokana na vitendo hivyo, matukio hayo ni kama yamezoeleka ndani ya jamii.

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) katika taarifa yake kwa waandishi wa habari jana kilisema hali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kikwete ameruhusu kujichukulia sheria mkononi?

FEBRUARI 15, mwaka huu Rais Jakaya Kikwete na Mwenyekiti wa CCM taifa alitoa hotuba ya kufungua kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa. Katika sehemu ya hotuba yake, aliwahamasisha wanachama wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Kukithiri rushwa nchini ni tatizo la mfumo

Katika juhudi za kuonyesha udhibiti na ufuatiliaji wa rushwa nchini, Taasisi ya Kupambana na Kudhibiti Rushwa (Takukuru) imejaribu kuonyesha makucha yake tangu kuteuliwa kwa Mkurugenzi wake mkuu, Dk Edward Hoseah mwaka 2006.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali ihojiwe kukithiri rushwa nchini- Raawu

Watanzania wametakiwa kuamka na kuwahoji waajiri, ikiwamo Serikali sababu za wafanyakazi wa umma kuomba rushwa kwa huduma wanazotoa.

 

10 years ago

Mwananchi

Tunafundishwa kuchukua sheria mkononi

Mimi nachukia watu kujichukulia sheria mkononi. Napenda watu tuwe watiifu kwa sheria na pale linapotokea tatizo, basi taratibu za kisheria zifuatwe. Naamini kwamba huo ndiyo ustaarabu na pia ni njia sahihi ya kuhakikisha kwamba haki inatendeka.

 

11 years ago

Habarileo

Wanaojichukulia sheria mkononi washutumiwa

MTANDAO wa watu wanaotumia dawa za kulevya Tanzania (TaNPUD), umeomba Serikali iwachukulie hatua watu wanaochukua sheria mkononi dhidi ya watumia dawa za kulevya kwa kuwaona wao ni wahalifu na hawafai kwenye jamii. Kauli hiyo ilitolewa wiki iliyopita na Mwenyekiti wa mtandao huo, Godfrey Ten alipokuwa akizungumzia taarifa ya hivi karibuni iliyotolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utawala Bora, George Mkuchika kuhusu Utawala Bora.

 

11 years ago

Habarileo

Wanaojichukulia sheria mkononi kukamatwa

Msemaji wa Polisi, Advera Senso KUTOKANA na kukithiri kwa vitendo vya kujichukulia sheria mkononi, kunakosababishwa na imani za kishirikina, Jeshi la Polisi limeweka mkakati maalumu wa kukabiliana na vitendo hivyo.

 

10 years ago

Habarileo

Wanaojichukulia sheria mkononi kukiona

MKUU wa Wilaya ya Magharibi Unguja, Ayoub Mohamed amesema Serikali ya Mkoa haitokubali kuwaachia wananchi kujichukulia sheria mikononi mwao na kukataa nyumba zao kupigwa dawa kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa malaria.

 

9 years ago

Habarileo

‘Rekodi sheria mkononi uzawadiwe’

JESHI la Polisi nchini limekemea tabia inayoendelea kujengeka miongoni mwa baadhi ya wananchi ya kutoheshimu sheria na kujichukulia sheria mikononi kwa kuwapiga, kuwadhalilisha watuhumiwa, kuwachoma na kuwaua.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani