Usumbufu wa malori Dar kuwa historia
>Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Kamanda Mohamed Mpinga amesema kikosi hicho kipo kwenye mkakati maalumu wa kuondokana na kero ya malori yanayoegeshwa ovyo katika maeneo ya hifadhi ya barabara jijini Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo24 Sep
Tatizo la umeme Dar kuwa historia
SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limesisitiza kwamba ifikapo Agosti mwakani, hakutakuwa na tatizo la umeme katika Jiji la Dar es Salaam. Pia, limesema taasisi ambazo zilikuwa miongoni mwa wadaiwa sugu, zimeendelea kulipa na kulifanya liendelee vizuri.
11 years ago
Michuzi15 Mar
uhaba wa maji ya uhakika dar es salaam kuwa historia karibuni
9 years ago
Bongo Movies28 Oct
Uzushi Kuwa Irene Uwoya Amefariki Wasababisha Usumbufu Mkubwa Kwenye Familia
Taarifa za uzushi zilizoandikwa jana kwenye Facebook kuwa muigizaji wa filamu, Irene Uwoya amefariki, zinadaiwa kusababisha usumbufu mkubwa kwenye familia yake.
Uzushi huo umekanushwa na kulaaniwa vikali na muigizaji mwenzake, Jacob Stephen aka JB.
“Ndugu zangu jana kupitia akaunti feki ya facebook kuna mtu alitoa picha yangu nikilia na kusema Irene Uwoya amefariki,” ameandika JB kwenye Instagram.
“Habari hii ya uongo ilileta shida kubwa katika familia yake na watu wa karibu. Leo tena...
9 years ago
Bongo528 Oct
Uzushi kuwa Irene Uwoya amefariki wadaiwa kusababisha usumbufu mkubwa kwenye familia
10 years ago
Habarileo23 Jun
Dawa ya malori Dar yaja
SERIKALI imekiri kuwa magari makubwa ya mizigo ndio yanayoharibu zaidi barabara katika maeneo mbalimbali nchini, hususan Dar es Salaam, hivyo, kuahidi kufufua reli kuzuia uharibifu usiendelee.
10 years ago
Habarileo07 May
Mgomo wa mabasi kuwa historia
MGOMO wa madereva wa mabasi yaendayo mikoani, daladala na malori huenda usitokee tena nchini na hivyo kubaki kuwa suala la kihistoria.
11 years ago
Habarileo08 Jun
Malaria Zanzibar kuwa historia
WIZARA ya Afya Zanzibar, imezindua ugawaji wa vyandarua vyenye dawa ya muda mrefu ikiwa ni mkakati wa kuhakikisha ugonjwa wa malaria unatokomezwa Zanzibar.
11 years ago
Michuzi24 May
10 years ago
Habarileo14 Aug
Magufuli afikiria kuondoa malori Dar es Salaam
WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli amesema anafikiria namna ya kuondoa malori ya mizigo katikati ya Jiji la Dar es Salaam, ili kupunguza tatizo la foleni na kuzuia uharibifu wa barabara.