Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dawa ya malori Dar yaja

SERIKALI imekiri kuwa magari makubwa ya mizigo ndio yanayoharibu zaidi barabara katika maeneo mbalimbali nchini, hususan Dar es Salaam, hivyo, kuahidi kufufua reli kuzuia uharibifu usiendelee.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Dawa ya wezi wa pembejeo yaja

HATIMAYE dawa ya kukomesha mawakala wabadhirifu wa pembejeo za kilimo nchini imekamilika kwa kutungwa sheria ya pembejeo nchini. Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Usambazaji wa Pembejeo za Kilimo kutoka Wizara...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dawa migogoro ya wakulima, wafugaji yaja

SERIKALI inatarajia kufanya kampeni maalumu ya kitaifa itakayoshirikisha taasisi za kiserikali kuanzia ngazi ya kijiji hadi taifa, ili kupata suluhu ya migogoro ya wakulima na wafugaji inayozidi kushika kasi nchini....

 

10 years ago

Habarileo

Sheria mpya kudhibiti dawa za kulevya yaja

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, William LukuviSERIKALI imetunga Sheria mpya kali zaidi itakayoondoa changamoto zilizokuwa zikijitokeza wakati wa matumizi ya Sheria ya Kuzuia Biashara Haramu ya Dawa za Kulevya Namba 9 ya mwaka 1995 inayotumika sasa.

 

11 years ago

Mwananchi

Usumbufu wa malori Dar kuwa historia

>Mkuu  wa  Kikosi cha Usalama Barabarani, Kamanda Mohamed Mpinga amesema kikosi hicho kipo kwenye mkakati maalumu wa kuondokana na kero ya malori yanayoegeshwa ovyo katika maeneo ya hifadhi ya barabara jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Habarileo

Magufuli afikiria kuondoa malori Dar es Salaam

Malori ya mizigo na mafuta yakiwa kwenye msururu kwenye Barabara ya Mandela, eneo la Tazara, Dar es Salaam jana. Serikali ipo mbioni kuhamishia malori yote eneo la Ruvu ili kupunguza msongamano jijini. (Picha na Fadhili Akida).WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli amesema anafikiria namna ya kuondoa malori ya mizigo katikati ya Jiji la Dar es Salaam, ili kupunguza tatizo la foleni na kuzuia uharibifu wa barabara.

 

11 years ago

GPL

ABIRIA WAKWAMA NJIANI BAADA YA MALORI KUFUNGA BARABARA YA MWANZA - DAR

Baadhi ya abiria wakiwa eneo hilo la foleni baada ya malori kufunga barabara. ...Hawa waliamua kukaa barabarani wakisubiri mwongozo.…

 

9 years ago

Mwananchi

Bomoabomoa kubwa yaja Dar

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi leo inaanza kubomoa nyumba zilizojengwa bila kufuata utaratibu kwenye maeneo ya wazi na hifadhi za barabara katika Manispaa ya Kinondoni kuanzia kesho.

 

11 years ago

Michuzi

Mnada mkubwa wa Isuzu Pick-Up Double Cabin na Malori kufanyika Jumamosi hii Kijitonyama, Dar es salaam

We shall sell 19 Isuzu PickUP Double Cabin and 9 Volvo & Leyland DAF trucks by public auction this Saturday 10th May 2014. Viewing is as from Today and Tomorrow at Mancity Car wash grounds, Kijitonyama , Mabatini road. For further info's Contact : Universal Auction Center, +255754 284926

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani