Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Roma: Mfumo wa ulipaji mirahaba unaenda kutuingiza kwenye ‘vita’ nzito

12105229_1668899886720358_1089964568_n

Roma anahisi mfumo wa vyombo vya habari kulipa mirahaba kutokana na uchezaji kazi za wasanii utakaoanza January utachimba kaburi kwa muziki wa Tanzania.

12105229_1668899886720358_1089964568_n

Tunaingia katika vita ambayo tutawapoteza wapiganaji wetu wengi sana mahiri na wale watakaosalimika ni wachache sana!! Na sio kama watasalimika kwakuwa wanajua saaaana kupigana au wanazijua mbinu za kivita No. Ni kwakuwa tu walipewa silaha zote za kujilinda na kupambana!!

Na hawa mahiri waliingia vitani wao kama wao na Mungu wao bila...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mfumo wa ulipaji kodi wawatesa wafanyabiashara

Umoja wa Wafanyabiashara Tanzania umeiomba Serikali kuboresha mfumo wa utozaji kodi kwa kutumia Mashine za Kieletroniki za Malipo (EFD) kwa kuwa makato wanayokatwa hayalingani na thamani ya ununuzi wa bidhaa husika.

 

10 years ago

Mwananchi

Ashauri kubadili mfumo ulipaji fidia ya ardhi

Serikali imetakiwa kubadilisha mfumo wa zamani wa ulipaji fidia kwa wananchi na kutumia mfumo wa kisasa, ili mwananchi aweze kufaidika na ardhi yake baada ya kupimwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Roma alia kubanwa kwenye ‘KKK’

MKALI wa muziki wa hip hop nchini, Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ amevilalamikia baadhi ya vyombo vya habari kwa kukataa kupiga wimbo wake mpya unaojulikana kwa jina la ‘KKK’ hadi atakapofuta...

 

9 years ago

Bongo5

Roma asimulia ilivyokuwa hadi kumshirikisha Stamina kwenye ‘Mwanakondoo’

‘Mwanakondoo’ ni wimbo wa Roma uliotoka mwishoni mwa mwaka jana 2014, ambao aliwashirikisha Stamina, Maunda Zorro na Walter Chilambo. Kwa kawaida huwa kunakuwa na sababu zinazowakutanisha wasanii hadi kufikia hatua ya kukubaliana kufanya kazi, na Roma amesimulia jinsi ilivyokuwa hadi kumshirikisha Stamina kwenye wimbo huo. Kupitia Planet Bongo ya EA Radio, Roma amesema kuwa beat […]

 

9 years ago

Bongo5

Viva Roma haijafungiwa, inabaniwa — Roma

Rapper Roma Mkatoliki amesema hajapokea taarifa yoyote ya kufungiwa kwa wimbo wake mpya ‘Viva Roma’ kama watu wanavyodai. Roma ameimbia Bongo5 kuwa licha ya wimbo huo kukataliwa kupigwa na baadhi ya vituo vya redio amepokea ofa nyingi za kulipiwa video ili kuufanya wimbo huo ufanye vizuri zaidi. “Kiukweli mimi kama artist nipo dilemma, kwa sababu […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Utafiti: Sauti nzito kwenye kima huficha udhaifu

Sauti nzito za kima huenda huwa ni njia ya kuficha udhaifu kwenye nguvu za uzazi, wanabiolojia wanasema.

 

9 years ago

Mwananchi

Hii siyo hotuba, ni tangazo la ‘vita’

Moja ya kazi za Rais kama Amiri Jeshi Mkuu ni kutangaza vita. Kuna vita vya aina mbili; vita vya kupigana kwa majeshi na silaha za kivita na vita vya kupigana kujiletea maendeleo. Mwalimu Nyerere aliwahi kubainisha kwamba Taifa letu linakabiliwa na maadui watatu, ujinga, umasikini na maradhi.

 

10 years ago

GPL

SHOGA, MBU UNAMWEKEA NETI, UTAMU UNAENDA KAVU!

Jamani eeh! Hali ni mbaya hebu basi tujionee huruma wenyewe kwani kila anayelia siku zote hushika kichwa chake na hakuna anayepokewa matatizo. Jamani hebu basi tulijue hilo, kwa nini tuwe kama wanyama wasiojua zuri na baya?Inawezekana nimeanza kwa kasi kitu ambacho si kawaida yangu, lakini kwa hilo sihitaji kukujulia hali kwa vile mwenyewe hutaki kuijua hali yako. Jana kaja shostito wangu ambaye biashara zake huwa usiku, mchana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani