Roma: Mfumo wa ulipaji mirahaba unaenda kutuingiza kwenye ‘vita’ nzito
Roma anahisi mfumo wa vyombo vya habari kulipa mirahaba kutokana na uchezaji kazi za wasanii utakaoanza January utachimba kaburi kwa muziki wa Tanzania.
Tunaingia katika vita ambayo tutawapoteza wapiganaji wetu wengi sana mahiri na wale watakaosalimika ni wachache sana!! Na sio kama watasalimika kwakuwa wanajua saaaana kupigana au wanazijua mbinu za kivita No. Ni kwakuwa tu walipewa silaha zote za kujilinda na kupambana!!
Na hawa mahiri waliingia vitani wao kama wao na Mungu wao bila...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Mfumo wa ulipaji kodi wawatesa wafanyabiashara
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Ashauri kubadili mfumo ulipaji fidia ya ardhi
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Roma alia kubanwa kwenye ‘KKK’
MKALI wa muziki wa hip hop nchini, Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ amevilalamikia baadhi ya vyombo vya habari kwa kukataa kupiga wimbo wake mpya unaojulikana kwa jina la ‘KKK’ hadi atakapofuta...
9 years ago
Bongo521 Oct
Roma asimulia ilivyokuwa hadi kumshirikisha Stamina kwenye ‘Mwanakondoo’
9 years ago
Bongo528 Sep
Viva Roma haijafungiwa, inabaniwa — Roma
9 years ago
BBCSwahili24 Oct
Utafiti: Sauti nzito kwenye kima huficha udhaifu
9 years ago
Mwananchi25 Nov
Hii siyo hotuba, ni tangazo la ‘vita’
10 years ago
GPLSHOGA, MBU UNAMWEKEA NETI, UTAMU UNAENDA KAVU!