Sauti za wanawake zisikike kwenye katiba
DHANA ya kwamba wanawake hawawezi kushiriki katika vyombo vya uamuzi na hivyo kuamuliwa kila kitu na wanaume imepitwa na wakati. Lazima wanaume na baadhi ya wanawake wenyewe waliokuwa na fikra...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo22 Dec
‘Wanawake teteeni ajenda zenu kwenye Katiba’
WANAWAKE nchini wametakiwa kufunguka na kujua ajenda zao zilizomo katika Katiba pendekezwa na kuhakikisha wanazitetea, ikiwemo ya usawa kati ya wanaume na wanawake.
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Wajadili masuala ya wanawake kwenye katiba mpya
WAWAKILISHI wa mtandao wa wanawake na katiba wamekutana na wahariri wa vyombo vya habari nchini na kujadili masuala muhimu ya wanawake katika rasimu ya pili ya katiba mpya. Kwa mujibu...
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
UWK: Wanawake pazeni sauti zenu
UMOJA wa Wanawake Wajane (UWK) Wilayani Karagwe umesema unyanyasaji wa kijinsia katika jamii unaweza kutokomezwa iwapo wanawake watavunja ukimya na kupaza sauti zao. Akizungumza na waandishi wa habari jana mwenyekiti...
11 years ago
Tanzania Daima26 Oct
LILIAN LIHUNDI: Nguvu ya pamoja itafanikisha sauti za wanawake kusikika
HIVI karibuni tumeshuhudia Bunge Maalum la Katiba likimaliza kazi yake na kukabidhi Katiba inayopendekezwa kwa Rais Jakaya Kikwete huku ikiwa imebeba Ibara 289. Taasisi mbalimbali zimeanza mchakato wa kuichambua katiba...
11 years ago
GPL
MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA WAWANOA WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA
10 years ago
Vijimambo20 Dec
Mtandao wa Wanawake na Katiba wataja sababu za kuvutiwa na Katiba pendekezwa




11 years ago
Michuzi26 Sep
Mtandao wa Wanawake na Katiba Wawapongeza Wajumbe wa Bunge maalum la Katiba


11 years ago
GPL
MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA WALIPONGEZA BUNGE LA KATIBA KUONESHA USAWA WA JINSIA