Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UWK: Wanawake pazeni sauti zenu

UMOJA wa Wanawake Wajane (UWK) Wilayani Karagwe umesema unyanyasaji wa kijinsia katika jamii unaweza kutokomezwa iwapo wanawake watavunja ukimya na kupaza sauti zao. Akizungumza na waandishi wa habari jana mwenyekiti...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WANAWAKE LINDENI KURA ZENU:BAWACHA

Mke wa Mgombea Urais wa Chadema, Edward Lowassa, Regina Lowassa akiwa katika mkutano wa hadharaMke wa Mgombea Urais wa Chadema, Edward Lowassa, Regina Lowassa akiwa katika mkutano wa hadhara.
BARAZA la Wanawake la Chama Cha Demokrasia (Chadema) Taifa, Bawacha, limewataka wanawake nchi nzima kupiga kura na kukaa mita 200 ili kulinda kura zao kwani ni haki yao kisheria.Kauli hiyo imetolewa jana na Naibu Katibu Mkuu wa Bawacha Kunti Yusuph wakati wa mkutano na wanawake, uliofanyika katika ofisi za Chadema kanda ya ziwa Victoria jijini hapa.
Kunti ambaye ni mratibu wa mikutano ya kukutana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wanawake, watoto tambueni haki zenu’

WANAWAKE na watoto wametakiwa kuzitambua haki zao za kimsingi katika jamii ili kuepukana na vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia vinavyokithiri wilayani Karagwe. Mkurugenzi Mtendaji wa asasi isiyo ya kiserikali ya...

 

10 years ago

Habarileo

‘Wanawake teteeni ajenda zenu kwenye Katiba’

WANAWAKE nchini wametakiwa kufunguka na kujua ajenda zao zilizomo katika Katiba pendekezwa na kuhakikisha wanazitetea, ikiwemo ya usawa kati ya wanaume na wanawake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sauti za wanawake zisikike kwenye katiba

DHANA ya kwamba wanawake hawawezi kushiriki katika vyombo vya uamuzi na hivyo kuamuliwa kila kitu na wanaume imepitwa na wakati. Lazima wanaume na baadhi ya wanawake wenyewe waliokuwa na fikra...

 

10 years ago

Tanzania Daima

LILIAN LIHUNDI: Nguvu ya pamoja itafanikisha sauti za wanawake kusikika

HIVI karibuni tumeshuhudia Bunge Maalum la Katiba likimaliza kazi yake na kukabidhi Katiba inayopendekezwa kwa Rais Jakaya Kikwete huku ikiwa imebeba Ibara 289. Taasisi mbalimbali zimeanza mchakato wa kuichambua katiba...

 

10 years ago

Vijimambo

Sentensi kumi za Makongoro Nyerere kuhusu yeye na wanawake, ulevi na kutangaza nia.. (Sauti)



Headlines zenye stori za Siasa zimeendelea kutawala.. Makongoro Nyerere ni Mbunge anaewakilisha TZ kwenye Bunge la Afrika Mashariki, nae alikuwa nyumbani kwao Butiama, hapa nimenukuu sehemu ya kile aichokisema akiwa huko.
Utamsikiliza kwa urefu zaidi kila alichokisema kwenye sauti hii mtu wangu. CREDIT:MILLARDAYO.COM

 

10 years ago

Mwananchi

‘Wanaume mnaopigwa na wake zenu jitokezeni’

Ni nadra kusikia mwanamume akilalamika kuwa amepigwa na mke au mwenza wake. Suala hilo ni adimu zaidi katika nchi za Afrika hasa zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara ambazo zimefunikwa na blanketi la mfumo dume.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Tunzeni namba zenu za siri za ATM’

>Watanzania wametakiwa kuhifadhi namba zao za siri ili kuepuka kuibiwa fedha kutokana na kuwapo ongezeko la uhalifu wa kimtandao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani