‘Wanawake teteeni ajenda zenu kwenye Katiba’
WANAWAKE nchini wametakiwa kufunguka na kujua ajenda zao zilizomo katika Katiba pendekezwa na kuhakikisha wanazitetea, ikiwemo ya usawa kati ya wanaume na wanawake.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-h9Lxnl9ahhY/VBWN8iibpRI/AAAAAAAGjis/E4gIHa_BqIk/s72-c/PIX%2B1%2B(1).jpg)
Wabunge wanawake wasisitiza ajenda ya hamsini kwa hamsini kutokakwepeka katika Katiba Mpya ijayo
![](http://3.bp.blogspot.com/-h9Lxnl9ahhY/VBWN8iibpRI/AAAAAAAGjis/E4gIHa_BqIk/s1600/PIX%2B1%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MB_FaimexKE/VBWN8hPwR-I/AAAAAAAGjio/sDqgzccOH7k/s1600/PIX%2B3%2B(1).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
‘Wanawake, watoto tambueni haki zenu’
WANAWAKE na watoto wametakiwa kuzitambua haki zao za kimsingi katika jamii ili kuepukana na vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia vinavyokithiri wilayani Karagwe. Mkurugenzi Mtendaji wa asasi isiyo ya kiserikali ya...
9 years ago
Michuzi23 Oct
WANAWAKE LINDENI KURA ZENU:BAWACHA
![Mke wa Mgombea Urais wa Chadema, Edward Lowassa, Regina Lowassa akiwa katika mkutano wa hadhara](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Z0Rby-Jo-vmQ8nRG4cGz1giFAG6BHMdDSE3K00xHUHUIIvQP61oVdx0AkPOBbH1zs47xRjDkXHszSeLhMPFEemzEjA2l5uwY73UEHUgAmQZm6FGjrdy3lsXN7P4ZMviSh7M34Zsd=s0-d-e1-ft#http://mwanahalisionline.com/wp-content/uploads/2015/10/Mama-Lowassa-620x308.jpg)
BARAZA la Wanawake la Chama Cha Demokrasia (Chadema) Taifa, Bawacha, limewataka wanawake nchi nzima kupiga kura na kukaa mita 200 ili kulinda kura zao kwani ni haki yao kisheria.Kauli hiyo imetolewa jana na Naibu Katibu Mkuu wa Bawacha Kunti Yusuph wakati wa mkutano na wanawake, uliofanyika katika ofisi za Chadema kanda ya ziwa Victoria jijini hapa.
Kunti ambaye ni mratibu wa mikutano ya kukutana...
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
UWK: Wanawake pazeni sauti zenu
UMOJA wa Wanawake Wajane (UWK) Wilayani Karagwe umesema unyanyasaji wa kijinsia katika jamii unaweza kutokomezwa iwapo wanawake watavunja ukimya na kupaza sauti zao. Akizungumza na waandishi wa habari jana mwenyekiti...
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Sauti za wanawake zisikike kwenye katiba
DHANA ya kwamba wanawake hawawezi kushiriki katika vyombo vya uamuzi na hivyo kuamuliwa kila kitu na wanaume imepitwa na wakati. Lazima wanaume na baadhi ya wanawake wenyewe waliokuwa na fikra...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Wajadili masuala ya wanawake kwenye katiba mpya
WAWAKILISHI wa mtandao wa wanawake na katiba wamekutana na wahariri wa vyombo vya habari nchini na kujadili masuala muhimu ya wanawake katika rasimu ya pili ya katiba mpya. Kwa mujibu...
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Katiba iwe ajenda kwa wagombea CHADEMA
KATIKA hekaheka za uchaguzi zinazoendelea katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA), wanachama wengi wamejitokeza kugombea nafasi mbalimbali. Jicho langu kwa leo limeangazia katika uchaguzi wa wagombea wa nafasi ya...
11 years ago
Dewji Blog12 May
Elekezeni nguvu zenu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa- Tindu Lissu
Mbunge Tundu Lissu, Singida Mashariki
Na Nathaniel Limu, Ikungi
MBUNGE wa Jimbo la Singida mashariki kupitia tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu amewataka wananchama wa chama hicho kata ya Iseke tarafa ya Ihanja wasibweteke na ushindi wa udiwani walioupata katikati ya mwaka jana, na badala yake waelekeze nguvu zao zote kwenye uchanguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika oktoba mwaka huu.
Amesema ushindi huo utakuwa na maana zaidi endapo CHADEMA itazoa nafasi zote za uenyeviti wa...
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
BUNGE MAALUMU LA KATIBA: CCM ina ajenda ya siri
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kama chama tawala kwa muda mrefu Tanzania, kimejizatiti kimkakati kudhibiti mchakato wa uandikaji wa Katiba mpya! Dhamira ya CCM juu ya uandikaji wa Katiba mpya umejikita...