Break Up Day iliniumiza sana kichwa – Sarah Kim
Stori: Ng’osha Gabriel
Mwanamuziki wa Muziki wa Injili, Sarah Kimario ‘Sarah Kim’ ameibuka na kusema kwamba ngoma yake mpya ya Break Up Day ndiyo iliyomuumiza kichwa chake katika kipindi alichokuwa akiitunga.
Akipiga stori na mwandishi wetu, Sarah alifunguka kuwa wakati alipopata wazo la kutunga wimbo wa kumuimbia Mungu, alipata wakati mgumu mno kwani kila idea iliyokuja kichwani mwake, ilionekana kutokufaa mpaka alipoonyeshwa na Roho Mtakatifu nini cha kuandika.“Nilipata wakati mgumu...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo506 Oct
Nachukia sana kuwa mjamzito — Kim Kardashian
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-OXfFFMQvZa0/VZkj6zyTs_I/AAAAAAAAxLM/QhI6Q1_lC_A/s72-c/ruge.jpg)
Ruge Afunguka Kwanini Baadhi ya Wasanii Wanamchukia...Adai Lady Jay Dee Waliniumiza Kichwa Sana
![](http://4.bp.blogspot.com/-OXfFFMQvZa0/VZkj6zyTs_I/AAAAAAAAxLM/QhI6Q1_lC_A/s640/ruge.jpg)
Ruge Mutahaba anaweza kuwa ametajwa kwenye masakata mengi ya ubaya dhidi ya wasanii, akibebeshwa lawama kuliko mtu mwingine yeyote kwenye tasnia ya muziki, lakini kwake ni mambo matatu tu ndiyo anaona yamemsumbua sana.Mtaje Mr ll, mtaje Lady Jay Dee na mtaje Q Chief, utakuwa umemkumbusha mbali mkurugenzi huyo wa vipindi wa Clouds Media, ambaye pia amefanya kazi ya kusimamia wasanii wengi na ndiye kiongozi wa chuo cha Tanzania House of Talents (THT).
Katika makala haya, Ruge anazungumzia mambo...
11 years ago
TheCitizen15 Apr
Recess: #Katiba House to break just before #Muungano Day [VIDEO]
9 years ago
TheCitizen17 Oct
INSIGHT : Girl child’s Day message stresses break of silence
10 years ago
Dewji Blog03 Feb
This Is How Kim Kardashian Dresses for a Day at the Zoo
Remember when you were little and your mom got all dolled up for family trips to the zoo? She’d pull on skintight leather pants — they were a lot like dad’s, actually — and step into a pair of sky-high stilettos. Anyone?
Well, North West will have memories just like that. The 19-month-old daughter of Kim Kardashian and Kanye West will look back on her childhood and notice that her reality star mom was overdressed to the nines on every family outing, probably at every single school event,...
11 years ago
MichuziGALA DINNER YA AFRIACAN DAY WASHINGTON, DC YAFANA SANA
Balozi wa kudumu wa African Union Mhe. Amina Salum Ali akiwa kwenye gwaride la bendera wakati hafla ya gala dinner ya African Day iliyofanyika Washington, DC siku ya Jumanne May 27, 2014 katika hotel ya Marriott na kuhudhuriwa na watu zaidi ya 2,000. Afriacam day ya mwaka huu iliandaliwa na Ubalozi wa Tanzania wakishirikiana na Ubalozi wa Rwanda
Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Liberata Mulamula akiwa kwenye gwaride la bendera wakati wa ufunguzi wa Gala dinner ya African Day siku...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Vs8wDvuVEGo/VDwbOC2aElI/AAAAAAAGp6Y/bHi51b_Lveo/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
SHEREHE ZA NYERERE DAY ZAFANA SANA JIJINI LUSAKA, ZAMBIA
5 years ago
BBCSwahili30 Apr
Kim Jong-un: Ni nani anayeweza kuiongoza Korea Kaskazini bila Kim?
10 years ago
Bongo Movies07 Apr
Lulu: Nilishalia Sana, Nishaumia Sana Lakini Kwasasa…….
Staa mrembo kutoka Bongo Movies Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameamua kutoboa kile alichokiita kama faraja yake kwa hivi sasa.
“Faraja YANGU...Nishalia sana,nishaumia sana lakini kwa sasa nikiona mmoja kati ya hawa analia au kuumia ndo kitu kinachoweza kuniumiza zaidi...!MUNGU awatunzeeee”-Lulu aliandika hayo jana usiku kwenye ukursa wake mtandaoni mara baada ya kuweka picha ya mama yake na mdogo wake.
Kufuatia andiko hilo komenti za mashabiki wengi zilielekea zaidi kumzungumzia kifo cha Steven...