Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Break Up Day iliniumiza sana kichwa – Sarah Kim

Sarah Kimario ‘Sarah Kim’

Stori: Ng’osha Gabriel

Mwanamuziki wa Muziki wa Injili, Sarah Kimario ‘Sarah Kim’ ameibuka na kusema kwamba ngoma yake mpya ya Break Up Day ndiyo iliyomuumiza kichwa chake katika kipindi alichokuwa akiitunga.

Akipiga stori na mwandishi wetu, Sarah alifunguka kuwa wakati alipopata wazo la kutunga wimbo wa kumuimbia Mungu, alipata wakati mgumu mno kwani kila idea iliyokuja kichwani mwake, ilionekana kutokufaa mpaka alipoonyeshwa na Roho Mtakatifu nini cha kuandika.

“Nilipata wakati mgumu...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Nachukia sana kuwa mjamzito — Kim Kardashian

Mke wa rapper Kanye West, Kim Kardashian ameandika kwenye website yake jinsi anavyochukia kuwa mjamzito, licha ya kuwa sasa ni mjamzito na anategemea kujifungua December 25. Katika post hiyo, Kim K (34) aliandika kuwa anashangaa watu ambao huwa wana enjoy hali ya ujauzito akiwemo mama yake na dada yake Kourtney, kitu ambacho kwake ni tofauti. […]

 

10 years ago

Vijimambo

Ruge Afunguka Kwanini Baadhi ya Wasanii Wanamchukia...Adai Lady Jay Dee Waliniumiza Kichwa Sana


Ruge Mutahaba anaweza kuwa ametajwa kwenye masakata mengi ya ubaya dhidi ya wasanii, akibebeshwa lawama kuliko mtu mwingine yeyote kwenye tasnia ya muziki, lakini kwake ni mambo matatu tu ndiyo anaona yamemsumbua sana.Mtaje Mr ll, mtaje Lady Jay Dee na mtaje Q Chief, utakuwa umemkumbusha mbali mkurugenzi huyo wa vipindi wa Clouds Media, ambaye pia amefanya kazi ya kusimamia wasanii wengi na ndiye kiongozi wa chuo cha Tanzania House of Talents (THT).
Katika makala haya, Ruge anazungumzia mambo...

 

11 years ago

TheCitizen

Recess: #Katiba House to break just before #Muungano Day [VIDEO]

Constituent Assembly chair Samuel Sitta says he plans to officially suspend the special Katiba House on April 25.

 

9 years ago

TheCitizen

INSIGHT : Girl child’s Day message stresses break of silence

Girls are our future. It is only right to say so when promoting their rights and highlighting gender inequalities between girls and boys.

 

10 years ago

Dewji Blog

This Is How Kim Kardashian Dresses for a Day at the Zoo

Kim-Kardashian-North-West-Kayne-West

Remember when you were little and your mom got all dolled up for family trips to the zoo? She’d pull on skintight leather pants — they were a lot like dad’s, actually — and step into a pair of sky-high stilettos. Anyone?

Well, North West will have memories just like that. The 19-month-old daughter of Kim Kardashian and Kanye West will look back on her childhood and notice that her reality star mom was overdressed to the nines on every family outing, probably at every single school event,...

 

11 years ago

Michuzi

GALA DINNER YA AFRIACAN DAY WASHINGTON, DC YAFANA SANA


Balozi wa kudumu wa African Union Mhe. Amina Salum Ali akiwa kwenye gwaride la bendera wakati hafla ya gala dinner ya African Day iliyofanyika Washington, DC siku ya Jumanne May 27, 2014 katika hotel ya Marriott na kuhudhuriwa na watu zaidi ya 2,000. Afriacam day ya mwaka huu iliandaliwa na Ubalozi wa Tanzania wakishirikiana na Ubalozi wa  Rwanda
Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Liberata Mulamula akiwa kwenye gwaride la bendera wakati wa ufunguzi wa Gala dinner ya African Day siku...

 

10 years ago

Michuzi

SHEREHE ZA NYERERE DAY ZAFANA SANA JIJINI LUSAKA, ZAMBIA

TAREHE 12/10/2014, UBALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA UKISHIRIKIANA NA UONGOZI WA WATANZANIA WANAOISHI NA KUFANYA KAZI, BIASHARA NA KUSOMA NCHINI ZAMBIA ULIANDAA MICHEZO MBALIMBALI, CHAKULA NA VINYWAJI KATIKA KUSHEREHEKEA MAADHIMISHO YA SIKU YA KIFO CHA BABA WA TAIFA HAYATI MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE (NYERERE DAY) INAYOANGUKIA TAREHE 14/10 KILA MWAKA. KATIKA MAADHIMISHO HAYO MICHEZO YA KUVUTA KAMBA, KUFUKUZA KUKU KWA AKINA MAMA, DRAFT, BAO NA MPIRA WA MIGUU ILIFANYIKA ILI KUMUENZI...

 

5 years ago

BBCSwahili

Kim Jong-un: Ni nani anayeweza kuiongoza Korea Kaskazini bila Kim?

Dada wa ajabu na mpelelezi mkuu ni washindani , huku tetesi zikishamiri juu ya afya ya Kim Jong-un.

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu: Nilishalia Sana, Nishaumia Sana Lakini Kwasasa…….

Staa mrembo kutoka Bongo Movies Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameamua kutoboa kile alichokiita kama faraja yake kwa hivi sasa.

“Faraja YANGU...Nishalia sana,nishaumia sana lakini kwa sasa nikiona mmoja kati ya hawa analia au kuumia ndo kitu kinachoweza kuniumiza zaidi...!MUNGU awatunzeeee”-Lulu aliandika hayo jana usiku kwenye ukursa wake mtandaoni mara baada ya kuweka picha ya mama yake na mdogo wake.

Kufuatia andiko hilo komenti za mashabiki wengi zilielekea zaidi kumzungumzia kifo cha Steven...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani