Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SARAH MVUNGI: Hazina ya vipaji iliyopitia majaribu lukuki

SARAH Mvungi ni miongoni mwa wasanii waliopitia changamoto mbalimbali ambazo zilimsababisha apitie ujuzi wa taaluma tofauti kabla ya kuibukia katika uigizaji. Msanii huyo mwenye vipaji lukuki, amepitia mengi katika maisha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SARAH MVUNGI: ROSE MUHANDO HAJIELEWI

Mayasa mariwata Staa wa nyimbo za Injili ambaye pia ni mwigizaji wa sinema za Kibongo, Sarah Mvungi amefunguka juu ya mwimbaji mwenzake, Rose Muhando kutaka kuhama Ukristo na kurudi kwenye Uislam. Akibonga na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Sarah alistaajabu kauli ya Rose kuwa tangu amekuwa Mkristo amekuwa akiandamwa na misukosuko mingi kiasi cha kukata tamaa na kutamani kurejea kwenye dini yake ya awali ya Uislam. ...Soma...

 

9 years ago

GPL

SARAH MVUNGI: NINA GUNDU NA WANAUME

Msanii wa muziki wa Injili, Sarah Mvungi. BRIGHTON MASALU MSANII wa muziki wa Injili, Sarah Mvungi amefunguka kwa mara ya kwanza kuwa ana gundu na wanaume na kwamba wengi humkimbia kutokana na sharti analowapa. Akizungumza na Amani, Sarah alisema katika maisha yake hajawahi kufurahia mapenzi, aliwahi kuishi kwenye ndoa kwa miaka 12 lakini hakuwahi kufurahia maisha ya kuolewa. “Si kwamba sitongozwi, la hasha, natongozwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Temambele: Mwalimu mwenye vipaji lukuki

“Kama ningeishi mahali kama Dar es Salaam, bila shaka ningekuwa mbali kimuziki.” Hii ni kauli ya mwalimu Temambele Abdu Temambele, mkufunzi wa muziki, mtunzi na mpigaji wa ala mbalimbali aliyeko Chuo cha Ualimu, Tarime, mkoani Mara.

 

5 years ago

Michuzi

ANORLD SCHWARZENEGGER; MWIGIZAJI, MWANASIASA NA VIPAJI LUKUKI

Na Leandra Gabriel, Michuzi TVANAFAHAMIKA kwa jina la Anorld Alois Schwarzenegger "Styrian Oak" au "Australian Oak" amezaliwa Julai 30,1947 akiwa na uraia wa Australia na Marekani kilichompa umaarufu zaidi ni pamoja na uigizaji, siasa akihudumu nafasi ya gavana wa 38 katika jimbo la Colifornia kutoka mwaka 2003 hadi 2011, mwanamazingira na pia ni mtengenezaji wa filamu, mtunzi, mfanyabiashara na mtaalamu wa kujenga mwili kwa mazoezi.
Anorld ni kijana na askari (Gudtav Schwarzenegger) ambaye...

 

9 years ago

BBCSwahili

WHO: Nyama iliyopitia viwandani husababisha saratani

WHO imesema ulaji wa nyama nyekundu na bidhaa za viwandani zilizotengenezwa kutoka kwa nyama husababisha saratani.

 

10 years ago

GPL

FLORA MVUNGI: MVUNGI NDOA MWAKA MMOJA, MTOTO MMOJA

ELIMU
Dada nakukubali sana, vipi kuhusu kiwango chako cha elimu? Fura, Hedaru, 0714403227
FLORA: Nina elimu ya kidato cha sita na Diploma ya Uandishi wa habari. Msanii wa Bongo Muvi na muziki Bongo, Flora Mvungi akiwa na mwanaye Tanzanite. NDOA NA UIGIZAJI
Hivi dada Flora unawezaje kuitumikia ndoa yako kikamilifu huku ukijishughulisha na uigizaji? Amiri Salumu, Dar, 0653252416
FLORA: Ni kujipanga tu, yote yanawezekana....

 

10 years ago

Habarileo

JK: Mwaka 2015 utakuwa na majaribu magumu

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa mwaka huu ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu, hivyo huenda ukawa na changamoto na majaribu magumu zaidi kuliko mwaka huu.

 

10 years ago

Raia Tanzania

CCM inapitia kipindi kigumu cha majaribu

Uchaguzi wa mwaka huu unafanana kwa kiasi kikubwa na ule wa mwaka 1958, ulikuwa uchaguzi tata uliowagawa wengi. Wanafiki, wasaliti , wakweli na waliotaka mabadiliko walijulikana mwaka huo.

Wazungu walitafuta namna ya kuwagawa Waafrika, walitaka kuwavunja nguvu baada ya kubaini wanaye mtu anaitwa Julius Nyerere anayejua siri ya Waingereza kuwa wamewekwa na Umoja wa Mataifa kulinda koloni hili baada ya Wajerumani kushindwa vita ya pili ya dunia.

Ili ionekane Tanganyika kuna...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani