CCM inapitia kipindi kigumu cha majaribu
Uchaguzi wa mwaka huu unafanana kwa kiasi kikubwa na ule wa mwaka 1958, ulikuwa uchaguzi tata uliowagawa wengi. Wanafiki, wasaliti , wakweli na waliotaka mabadiliko walijulikana mwaka huo.
Wazungu walitafuta namna ya kuwagawa Waafrika, walitaka kuwavunja nguvu baada ya kubaini wanaye mtu anaitwa Julius Nyerere anayejua siri ya Waingereza kuwa wamewekwa na Umoja wa Mataifa kulinda koloni hili baada ya Wajerumani kushindwa vita ya pili ya dunia.
Ili ionekane Tanganyika kuna...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziSEKTA YA UTALII NCHINI INAPITIA KIPINDI KIGUMU SANA- NAIBU WAZIRI KANYASU
11 years ago
BBCSwahili07 Dec
Familia ya Mandela:'Ni kipindi kigumu'
9 years ago
Mtanzania15 Oct
Sefue: Serikali inapita katika kipindi kigumu
Na Jonas Mushi, Dar es Salaam
KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amesema Serikali inapitia kipindi kigumu kutokana na mfululizo wa vifo vya mawaziri wake.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana baada ya kuupokea mwili wa Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Abdallah Kigoda uliowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) saa 9.00 alasiri kwa ndege ya Emirates kutoka New Delhi India.
Alikuwa ameongozana na viongozi wengine akiwamo Spika wa Bunge, Anne Makinda, Mkuu wa...
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Baada ya Chelsea kupitia kipindi kigumu, Terry ana haya, Fabregas na Pedro muda wa kupiga self umepatikana …
Klabu ya soka ya Chelsea January 3 ilivunja mwiko wa kutopata matokeo mazuri kwa kuiadhibu klabu ya Crystal Palace kwa jumla ya goli 3-0 katika uwanja wa ugenini. Chelsea ambayo ilikuwa katika wakati mgumu kwa kupoteza mechi nyingi kuliko kawaida yake, wachezaji wameanza kuwa na furaha na matokeo hayo. Nahodha wa klabu hiyo John Terry […]
The post Baada ya Chelsea kupitia kipindi kigumu, Terry ana haya, Fabregas na Pedro muda wa kupiga self umepatikana … appeared first on...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wLBsx3KE8x0/Ux8w3LePDrI/AAAAAAAFS7s/4YUPf-Aheck/s72-c/RPC+MSANGI+KALU+BLOG.jpg)
TATHIMINI YA HALI YA UHALIFU MKOA WA MBEYA KWA KIPINDI CHA FEB- 2014 IKILINGANISHWA NA KIPINDI CHA MWEZI JAN- 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-wLBsx3KE8x0/Ux8w3LePDrI/AAAAAAAFS7s/4YUPf-Aheck/s1600/RPC+MSANGI+KALU+BLOG.jpg)
10 years ago
MichuziKipindi cha fursa ya biashara ya mavazi ya CCM chawadia mjini Dodoma
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o1QX7UF1Vt7Fwb7gjrgY0M0cpHQRrdOkmgRBqn5gHZf4CpXE5UlbdcyxDAM0Wyr1bwOD6HDjkIRJ*JhPg3eoCi7v-G6P-gzj/dc.jpg?width=650)
MKUU WA MKOA DODOMA AZUNGUMZIA HALI YA USALAMA KATIKA KIPINDI CHA MIKUTANO YA CCM
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3kZD672co6w/VcW2rDGK7yI/AAAAAAAC9cs/-D9xzNpsdKM/s72-c/_MG_3326.jpg)
MAGUFULI AWATAKA WANA CCM KUSHIKAMANA NA KUWA WAMOJA HASA KIPINDI HIKI CHA UCHAGUZI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-3kZD672co6w/VcW2rDGK7yI/AAAAAAAC9cs/-D9xzNpsdKM/s640/_MG_3326.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--X4-_THewSc/VcW2rqCVoKI/AAAAAAAC9ck/UxO4hIOghF4/s640/_MG_3338.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aijc8BHZnRU/XuJWKJZ4EJI/AAAAAAALteU/DOZf3LvFrmgTRIwmDG6t2UosFZIBJRPvQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200611-WA0021.jpg)
CCM BAGAMOYO YARIDHISHWA NA KAZI YA UTEKELEZAJI WA ILANI ILIYOFANYWA NA MGALU KIPINDI CHA MIAKA MITANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-aijc8BHZnRU/XuJWKJZ4EJI/AAAAAAALteU/DOZf3LvFrmgTRIwmDG6t2UosFZIBJRPvQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200611-WA0021.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/IMG-20200611-WA0020.jpg)
****************************
NA MWAMVUA MWINYI, PWANI CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani, kimeelezea kuridhishwa na kazi kubwa inayofanywa na Mbunge wa Viti Maalumu mkoani hapo ,Subira Mgalu.
Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa chama hicho wilayani hapa Alhaj Abdul Sharifu, katika Baraza la Jumuia ya Wanawake (UWT) lililofanyika Msata, ambapo Mgalu na Madiwani wa Viti Maalumu walisoma taarifa za utekelezaji wa kazi zao, katika kipindi cha miaka...