Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Temambele: Mwalimu mwenye vipaji lukuki

“Kama ningeishi mahali kama Dar es Salaam, bila shaka ningekuwa mbali kimuziki.” Hii ni kauli ya mwalimu Temambele Abdu Temambele, mkufunzi wa muziki, mtunzi na mpigaji wa ala mbalimbali aliyeko Chuo cha Ualimu, Tarime, mkoani Mara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

ANORLD SCHWARZENEGGER; MWIGIZAJI, MWANASIASA NA VIPAJI LUKUKI

Na Leandra Gabriel, Michuzi TVANAFAHAMIKA kwa jina la Anorld Alois Schwarzenegger "Styrian Oak" au "Australian Oak" amezaliwa Julai 30,1947 akiwa na uraia wa Australia na Marekani kilichompa umaarufu zaidi ni pamoja na uigizaji, siasa akihudumu nafasi ya gavana wa 38 katika jimbo la Colifornia kutoka mwaka 2003 hadi 2011, mwanamazingira na pia ni mtengenezaji wa filamu, mtunzi, mfanyabiashara na mtaalamu wa kujenga mwili kwa mazoezi.
Anorld ni kijana na askari (Gudtav Schwarzenegger) ambaye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

SARAH MVUNGI: Hazina ya vipaji iliyopitia majaribu lukuki

SARAH Mvungi ni miongoni mwa wasanii waliopitia changamoto mbalimbali ambazo zilimsababisha apitie ujuzi wa taaluma tofauti kabla ya kuibukia katika uigizaji. Msanii huyo mwenye vipaji lukuki, amepitia mengi katika maisha...

 

5 years ago

Michuzi

KIM JONG - un MWAMBA WA KOREA KASKAZINI MWENYE SIRI LUKUKI



Na Leandra Gabriel, Michuzi TV


KIM Jong - un kiongozi mkuu wa Korea Kaskazini "Master" anafahamika zaidi kwa uongozi wake wa kidikteta pamoja na kutoweka wazi baadhi ya masuala yanayomuhusu, ikiwemo umri, familia hasa idadi ya watoto na safari yake kielimu, Kim amezaliwa Korea Kaskazini ni kijana wa bi.Young -hee na bwana Kim Jong -il aliyetawala nchi hiyo kidikteta hadi alipofariki dunia mwaka 2011.


Kim Rais wa Korea Kaskazini na kiongozi wa chama cha wafanyakazi wa nchi hiyo ni mtoto wa...

 

10 years ago

Vijimambo

MWALIMU "AIBOMOA" CCM SINGIDA, WANACHAMA LUKUKI WAHAMIA CHADEMA

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar, Salum Mwalimu akiwalisha kiapo cha uzalendo wanachama wapya katika Kijiji cha Msange, Jimbo la Singida Kaskazini, Wilaya ya Singida Vijijini, mkoani Singida waliohama kutoka Chama Cha Mapinduzi, katika moja ya mikutano 'Operesheni Delete CCM', uliofanyika mwishoni mwa juma kijijini hapo.Wananchi wapatao 350 waliokuwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kijiji cha Msange, Jimbo la Singida Kaskazini, Wilaya ya Singida Vijijini, mkoani Singida wakiwa...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Umeshafikiria kufundishwa na mwalimu mwenye umri wa miaka 100?

KUNA usemi kuwa kujifunza hakuna mwisho, lakini mama huyu Agnes Zhelesnik (101) amebadili maana imekuwa kinyume chake kufundisha hakuna mwisho.

Kwa sasa anatajwa ni mwalimu mwenye umri mkubwa kuliko wote duniani baada ya Januari mwaka huu kutimiza miaka 101 tangu kuzaliwa lakini bado hajaacha kufundisha uchumi wa nyumbani.

Mwalimu huyo mkongwe anayefundisha watoto wenye umri chini ya miaka 10 katika Shule ya Sundance North Plaintfield, New Jersey Marekani alizaliwa Januari 12, 1914...

 

10 years ago

Vijimambo

Mjue Dr. Slaa, msomi, mpole, mkarimu, mwenye busara na mwenye tabasamu la kudumu

Na Yericko Nyerere
Dr. Slaa si mtu mwenye maneno mengi, ni mtulivu na mkimya kiasi chake, mwenye tabasamu la kudumu, lakini akipanda jukwaani na kuanza kulishambulia huku na kule huwezi kuamini kinachotoka ubongoni mwake. Kimya kingi kina mshindo.

Wengi hawamfahamu Dr. Slaa vilivyo, wengi wanamwona sasa baada ya kuingia bungeni na sasa katika majukwaa ya siasa, ukweli ni mtu mbunifu, mpenda maendeleo na mwenye kujitoa kwa ajili ya wengine bila kujibakiza. Ufahamu wangu wa huyu Dr. Slaa ni wa...

 

10 years ago

Michuzi

msaada tutani: mwalimu wa kiswahili sweden anatafuta mwalimu mwenzie kubadilishana nondo

Mimi ni mwalimu wa Kiswahili Sweden natafuta mwalimu yoyote anayefundisha kiswahili hapa ili tuweze badilishana materials. Nashindwa kufundisha kwa ufasaha vile sijapata mwenzangu.Email yangu ni linda.johansson5@kungsbacka.se
Kwa mawasiliano nitumie email.

 

11 years ago

Michuzi

Mwalimu Dodoma matatani kwa tuhuma za kuua mwalimu mwenzake kisa deni la buku moja

JESHI la Polisi Mkoani Dodoma linamshikilia Mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Hombolo Justus Jackson (28) kwa tuhuma ya kumuua mwalimu mwenzie kwa kukataa kulipa sh. 1,000 ya bili ya umeme aliyotakiwa kuchangia marehemu.  Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma, David Missime amemtaja mwalimu aliyeuwawa kuwa ni Freddy Ndahani (29) mwalimu wa shule ya Hombolo.Kamanda  Misime amesema walimu hao wote wawili wanalikuwa wakiishi katika nyumba moja na walikuwa wakichangia bili ya umeme katika nyumba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani