Temambele: Mwalimu mwenye vipaji lukuki
“Kama ningeishi mahali kama Dar es Salaam, bila shaka ningekuwa mbali kimuziki.†Hii ni kauli ya mwalimu Temambele Abdu Temambele, mkufunzi wa muziki, mtunzi na mpigaji wa ala mbalimbali aliyeko Chuo cha Ualimu, Tarime, mkoani Mara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_kjxcql3LhM/XtT0LIXsIAI/AAAAAAALsNg/XcIo-bpQ3FYlFv1cQjgJqb61R4p5QMBTQCLcBGAsYHQ/s72-c/ArnoldSchwarzenegger-2000x1270-1.jpg)
ANORLD SCHWARZENEGGER; MWIGIZAJI, MWANASIASA NA VIPAJI LUKUKI
![](https://1.bp.blogspot.com/-_kjxcql3LhM/XtT0LIXsIAI/AAAAAAALsNg/XcIo-bpQ3FYlFv1cQjgJqb61R4p5QMBTQCLcBGAsYHQ/s640/ArnoldSchwarzenegger-2000x1270-1.jpg)
Anorld ni kijana na askari (Gudtav Schwarzenegger) ambaye...
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
SARAH MVUNGI: Hazina ya vipaji iliyopitia majaribu lukuki
SARAH Mvungi ni miongoni mwa wasanii waliopitia changamoto mbalimbali ambazo zilimsababisha apitie ujuzi wa taaluma tofauti kabla ya kuibukia katika uigizaji. Msanii huyo mwenye vipaji lukuki, amepitia mengi katika maisha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PLEldxXGN3w/XsrUI2Z_KfI/AAAAAAALrcQ/WYGpDxOVyX4Di-0pXFdn6H139LR43pAagCLcBGAsYHQ/s72-c/3059.jpg)
KIM JONG - un MWAMBA WA KOREA KASKAZINI MWENYE SIRI LUKUKI
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
KIM Jong - un kiongozi mkuu wa Korea Kaskazini "Master" anafahamika zaidi kwa uongozi wake wa kidikteta pamoja na kutoweka wazi baadhi ya masuala yanayomuhusu, ikiwemo umri, familia hasa idadi ya watoto na safari yake kielimu, Kim amezaliwa Korea Kaskazini ni kijana wa bi.Young -hee na bwana Kim Jong -il aliyetawala nchi hiyo kidikteta hadi alipofariki dunia mwaka 2011.
Kim Rais wa Korea Kaskazini na kiongozi wa chama cha wafanyakazi wa nchi hiyo ni mtoto wa...
10 years ago
VijimamboMWALIMU "AIBOMOA" CCM SINGIDA, WANACHAMA LUKUKI WAHAMIA CHADEMA
10 years ago
Raia Tanzania20 Jul
Umeshafikiria kufundishwa na mwalimu mwenye umri wa miaka 100?
KUNA usemi kuwa kujifunza hakuna mwisho, lakini mama huyu Agnes Zhelesnik (101) amebadili maana imekuwa kinyume chake kufundisha hakuna mwisho.
Kwa sasa anatajwa ni mwalimu mwenye umri mkubwa kuliko wote duniani baada ya Januari mwaka huu kutimiza miaka 101 tangu kuzaliwa lakini bado hajaacha kufundisha uchumi wa nyumbani.
Mwalimu huyo mkongwe anayefundisha watoto wenye umri chini ya miaka 10 katika Shule ya Sundance North Plaintfield, New Jersey Marekani alizaliwa Januari 12, 1914...
10 years ago
Vijimambo23 Jan
Mjue Dr. Slaa, msomi, mpole, mkarimu, mwenye busara na mwenye tabasamu la kudumu
![](http://accents.international.uiowa.edu/wp-content/uploads/2011/03/slaa-cropped.jpg)
Dr. Slaa si mtu mwenye maneno mengi, ni mtulivu na mkimya kiasi chake, mwenye tabasamu la kudumu, lakini akipanda jukwaani na kuanza kulishambulia huku na kule huwezi kuamini kinachotoka ubongoni mwake. Kimya kingi kina mshindo.
Wengi hawamfahamu Dr. Slaa vilivyo, wengi wanamwona sasa baada ya kuingia bungeni na sasa katika majukwaa ya siasa, ukweli ni mtu mbunifu, mpenda maendeleo na mwenye kujitoa kwa ajili ya wengine bila kujibakiza. Ufahamu wangu wa huyu Dr. Slaa ni wa...
10 years ago
Michuzi12 Apr
msaada tutani: mwalimu wa kiswahili sweden anatafuta mwalimu mwenzie kubadilishana nondo
Kwa mawasiliano nitumie email.
11 years ago
Michuzi10 Jul
Mwalimu Dodoma matatani kwa tuhuma za kuua mwalimu mwenzake kisa deni la buku moja