Riyama Ajivunia Maneno ya Kiswazi
Staa wa Bongo Movies, Riyama Ally, ameibuka na kusema anajivunia kuwa na manenona misemo ya kiswazi ambayo huzungumzwa na wanawake wanaishi sehemu za uswahilini ndiyo maana amekuwa akishirikishwa kwenye Filamu nyingi.
Akizungumza na Tanuru la Filamu jana, Rayama alisema kuwa filamu mpya iitwayo WOGA ambayo ipo madukani sasa imesababisha watu wengi wahisi kama ndivyo alivyo hata akiwa nyumbani kwake kwa sababu uhusika alioubeba huku unaonekana ndivyo tabia yake.
“Nine kila sababu...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMnR095r2ankBsbvmzu84nOH1AUfG7dqLQKy19aD7JVHBxvAdsWp3aXDpE61SfXCp*JDa0QEzab*Q81J4GJ9Lg5a/riyana.jpg?width=650)
RIYAMA AJIVUNIA KUPUNGUA UNENE
10 years ago
Mtanzania28 May
Riyama: Maneno machafu yananipa chakula
NA GEORGE KAYALA
MSANII mwenye heshima kubwa kwenye tasnia ya filamu za Bongo, Riyama Ally, ameibuka na kujivunia kwamba maneno machafu anayoyatumia katika filamu mbalimbali anazocheza ndiyo yanayompa chakula cha kila siku.
Riyama alisema katika filamu mbalimbali alizocheza amekuwa akitumia maneno ya kashfa, kejeli ambayo yameonyesha kuvutia waongozaji wengi wa filamu nchini kumtumia katika filamu zao.
“Nina kila sababu ya kujivunia maneno machafu ya uswahilini kwani hayo ndiyo yananifanya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dyivh8oZtEzwojALzilSUzHpJc84bZ42xqmU7TLRNMyzjpTgNeNCmPT9mtpcZVZoy8chp4ti1zPJH7kWHpkYJkEMA6MBtYot/150000080.jpg)
HONGERA†‬WEMAâ€, ‬DIAMOND ACHA TABIA ZA†‬KISWAZI
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Maneno na Miundo ya maneno ya Kiswahili inayokanganya.
10 years ago
Habarileo24 Sep
'Maneno maneno' yamkera Waziri
WAZIRI wa Maji Profesa Jumanne Maghembe amekerwa na kauli ya kuwa Bahi hawautaki mradi wa maji wa bwawa la Farkwa na kutaka maoni ya watu wachache yasiwe sababu za kukwamisha mradi huo.
10 years ago
Habarileo06 Apr
JK ajivunia miaka 10 ya mafanikio
SERIKALI ya awamu ya nne inajivunia mafanikio iliyoyapata tangu kuingia madarakani mwaka 2005 na kuweka msingi imara wa nchi katika kutekeleza Mkakati wa Maendeleo wa Mwaka 2025 ambao unalenga kuifanya Tanzania kuwa nchi yenye uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjINrdvQmcwj9dcBuDIkrRYDX4zjRrGnGnmI6c4PPO0QVR0UT8z7CfZQXhxgnZMAXE7SRAbJ9icXTgG3VIaERXn2/11.jpg)
CORETHA AJIVUNIA PUB, NYUMBA
9 years ago
Mtanzania16 Dec
Sarah ajivunia kuwaremba wasanii
NA GEORGE KAYALA
MREMBO aliyebahatika kukubalika kwa wasanii wa filamu za Kibongo, Sarah Mapunda, amesema kuwa ana kila sababu ya kujivunia kazi ya kuwaremba waigizaji hao kwa kuwafanyia ‘makeup’ ili wawe na mwonekano
mzuri.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Sarah alisema kuwa karibu waigizaji wote wa filamu nchini wamekuwa wakitegemea huduma yake ya make-up na kwa kiasi kikubwa imemfanya aendeshe maisha yake bila kutetereka, hiyo imetokana na wahusika kumkubali.
“Najivunia kufanya kazi ya...
10 years ago
BBCSwahili21 Jul
Nkurunziza ajivunia kuleta demokrasia