Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunauaga 2013 bila mafanikio kwenye michezo

>Zimebaki siku nne kabla ya kuuga mwaka 2013. Jumamosi hii ya leo inatukumbusha nini tulifanya mwaka huu kabla ya kuanza mwaka 2014.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mtitu ajivunia mafanikio 2013

MKURUGENZI wa kampuni ya kizalendo ya 5 Effects Film, William Mtitu, amejivunia mafanikio aliyoyapata mwaka 2013 kwa kufanikiwa kutoa filamu tatu ambazo zote zinafanya vizuri sokoni, huku mapema mwezi huu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwaka 2014 uwe wa mafanikio ya michezo

WAKATI mwaka 2013 ukielekea ukingoni, wadau wa michezo wana mengi ya kukumbuka; yawe ya huzuni au furaha kwa ajili ya kujitathmini na kujipanga upya kabla ya kuingia mwaka mpya wa...

 

11 years ago

Michuzi

Timu ya Tanzania kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola yakaribishwa rasmi leo katika kijiji maalum cha michezo hiyo Glasgow

Waogeleaji wa Tanzania Mariam Foum, Hilal Hemed na Ammaar Ghadiyali wakiwa tayari kwa michuano jijini Glasgow. Timu ya Tanzania kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola imekaribishwa rasmi leo katika kijiji maalum cha michezo hiyo Glasgow,  Uskochi.Timu ya Tanzania kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola imekaribishwa rasmi leo kayika kijiji maalum cha michezo hiyo Glasgow,  Uskochi.

 

11 years ago

Mwananchi

Miaka 50 bila maendeleo ya michezo

“Chaneta, Chaneza hawaelewani, Jata, ZJA watofautiana, ngumi watembeza bakuli,udhamini wakwamisha ligi ya kikapu, soka yapoteza dira, ZFA yataka kujiunga Fifa.”

 

10 years ago

Mwananchi

Mwaka unaisha bila maendeleo ya michezo

“Chaneta hawaelewani na uongozi uliopita,” “Ngumi watembeza bakuli”, “Soka yapoteza dira”, “RT walia na Serikali”, hivyo na vingine vingi vya aina hiyo vilikuwa ni vichwa vya habari vilivyotawala vyombo vya habari mwaka huu 2014.

 

11 years ago

Tanzania Daima

MARK MUGA: Msanii aliyeishi Afrika Kusini miaka 15 bila mafanikio

WIMBO ulioimbwa na mkali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ali Kiba, unaojulikana kwa jina la ‘Mark Muga’ ni maisha ya kweli ya mhusika aliyeimbwa. Hata hivyo Mark Muga mwenyewe...

 

9 years ago

Michuzi

BENKI YA POSTA YABORESHA ZAIDIN HUDUMA ZAKE, MTEJA ATATOA MAONI BILA KUANDIKA KWENYE KARATASI, NI "KUBOVYA TU" KWENYE MASHINEAKATHE

 Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, Sabasaba Moshingi(wapili kulia), akihudumia wateja kwenye tawi la benki hiyo Kijitonyama jijini Dar es Salaam, leo Ijumaa Oktoba 16, 2015, kwenye kilele cha maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja ya benki hiyo. (Picha na K-VIS MEDIA/Khalfan Said)
NA K-VIS MEDIA
KATIKA kuhakikisha inatoa huduma bora kwa wateja wake hapa nchini, Benki ya Posta Tanzania, imeweka mashine maalum ambayo wateja wa benki hiyo wanaofika kupatiwa huduma watatoa...

 

11 years ago

GPL

UKICHEPUKA MARA MOJA, INAWEZA KUYAGHARIMU MAISHA YAKO YOTE KUREJESHA UPENDO WAKE KWAKO BILA MAFANIKIO...

Tukiendelea na mada yetu kutoka pale tulipoishia wiki iliyopita, suala la kuchepuka ni la kupiga vita. Anayekuja kwako na vishawishi vya hapa na pale ndiye adui yako pale mambo yanapogeuka. Ukichepuka utamuumiza sana mwenzio, kisha nawe utaumia. Hii ni kwa sababu mateso ya mwenzi wako hayawezi kukupa ahueni. Kwa walio kwenye mapenzi ya dhati ni kwamba mwenzi wako anapoteseka, na wewe pia unakuwa kwenye mateso makali. Maana...

 

9 years ago

Michuzi

JUST IN: KITUO CHA MICHEZO CHAENDELEA KUJIZATITI Aliyekuwa Kocha kwenye Ligi Kuu ya Uingereza aja Tanzania kuongoza kituo cha vijana cha michezo

Ndugu Ray Power, ambaye amewahi kuwa Kocha wa Chama Cha Soka na mkuu wa kitengo cha mpira wa miguu katika chuo kiitwacho Central College Nottingham; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Ufundi katika Kituo cha Vijana cha Michezo kilichopo Kidongo Chekundu jijini Dar es Salaam (pichani). Katika nafasi yake mpya, Ndugu Power atasimamia mafunzo na Uongozi wa kituo kipya ambacho kinategemewa kufunguliwa tarehe 19 ya Mwezi huu. Ndugu Power anachukua nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa Mkurugenzi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani