Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miaka 50 bila maendeleo ya michezo

“Chaneta, Chaneza hawaelewani, Jata, ZJA watofautiana, ngumi watembeza bakuli,udhamini wakwamisha ligi ya kikapu, soka yapoteza dira, ZFA yataka kujiunga Fifa.”

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mwaka unaisha bila maendeleo ya michezo

“Chaneta hawaelewani na uongozi uliopita,” “Ngumi watembeza bakuli”, “Soka yapoteza dira”, “RT walia na Serikali”, hivyo na vingine vingi vya aina hiyo vilikuwa ni vichwa vya habari vilivyotawala vyombo vya habari mwaka huu 2014.

 

9 years ago

StarTV

Binti wa miaka 15 ahukumiwa jela miaka 8 kwa kuuwa bila kukusudia.

Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam iliyoketi mkoani Morogoro, imemuhukumu kwenda jela miaka nane, Judith Chomile binti mwenye umri wa miaka 15 mwananfunzi wa kidato cha kwanza mara baaada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuua bila ya kukusudia mtoto mwenzake Andrine Mafwere (9)

Akisoma hukumu hiyo jaji Eliezer Fereshi, amesema mahakama imemtia hatiani mshitakiwa huyo  kutokana na  upelelezi  wa kesi hiyo kukamilika na maelezo ya maafisa ustawi wa jamii na maafisa wa huduma za...

 

11 years ago

Mwananchi

Tunauaga 2013 bila mafanikio kwenye michezo

>Zimebaki siku nne kabla ya kuuga mwaka 2013. Jumamosi hii ya leo inatukumbusha nini tulifanya mwaka huu kabla ya kuanza mwaka 2014.

 

10 years ago

Michuzi

warsha ya siku moja kujadili mpango mkakati wa Maendeleo wa miaka 25 ya benki ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania yafanyika jijini Dar

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) Thomas Samkyi akizungumza katika warsha juu ya kujadili mpango wa maendeleo wa taasisi hiyo kwa miaka 25 ijayo. Warsha hiyo ilifanyika hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency, Dar es Salaam.Mkuu wa Mipango, Sera na Ushirikiano wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania, Francis Assenga akizungumza na wadau katika mkutano huo.Wadau wa sekta ya kilimo, uvuvi na ufugaji wakifuatilia warsha ya mpango wa maendeleo wa miaka 25 wa benki...

 

10 years ago

Mwananchi

Tuutibu ugonjwa unaozuia maendeleo ya michezo

Ugonjwa ni nini? Ni kitu chochote kinachosababisha mtu, mmea au mnyama kuwa katika afya mbaya.

 

11 years ago

Michuzi

Bila kujumuisha wanawake maendeleo ni ndoto: Manongi

Joseph Msami katika mahojiano na Balozi Manongi ''Bila kujumuisha wanawake hakuna maendeleo na radio inawezesha jukumu hilo"amesema Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa balozi Tuvako Manongi wakati wa mahojiano maalum na Joseph Msami wa idhaa hii kuhusu umuhimu wa siku ya radio duniani February 13 kila mwaka. Balozi Manongi ambaye nchi yake itaongoza mjadala hapa Umoja wa Mataifa katika maadhimisho ya siku hiyo yenye kauli mbiu ya uwezeshaji wa kijinsia anaanza kwa...

 

10 years ago

Michuzi

HAKUNA MAENDELEO BILA NISHATI ENDELEVU - KITWANGA

Mhe. Charles Kitwanga ( Mb) Naibu Waziri, Nishati na Madini akizungumzia namna Tanzania inavyotekeleza Mkakati wa Nishati Endelevu kwa Wote (SE4All) wakati wa Mkutano wa siku Mbili wa Mawaziri wa Sekta ya Nishani, uliofanyika hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa.Wataalamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini ambao wamefuatana na Naibu Waziri katika mkutano huu muhimu uliojadili kwa kina nafasi na umuhimu wa nishati endelevu kwa wote katika kusukuma mbele malengo ya maendeleo endelevu , ukuaji...

 

10 years ago

Mwananchi

Makocha waeleza kinachokwamisha maendeleo ya michezo nchini

Makocha wengi nchini wanataka Serikali iingilie kati kuinususuru sekta ya michezo ambayo hivi sasa haifanyi vizuri.

 

10 years ago

Vijimambo

HAKUNA MAENDELEO BILA NISHATI ENDELEVU-MHE KITWANGA

Mhe. Charles Kitwanga ( Mb) Naibu Waziri, Nishati na Madini akizungumzia namna Tanzania inavyotekeleza Mkakati wa Nishati Endelevu kwa Wote (SE4All) wakati wa Mkutano wa siku Mbili wa Mawaziri wa Sekta ya Nishani, uliofanyika hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa.Wataalamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini ambao wamefuatana na Naibu Waziri katika mkutano huu muhimu uliojadili kwa kina nafasi na umuhimu wa nishati endelevu kwa wote katika kusukuma mbele malengo ya maendeleo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani