Young Killer ataja mafanikio aliyopata kwenye muziki ndani ya miaka mitatu
Young Killer Msodoki ni msanii kutoka Rock City, Mwanza aliyeibuliwa kwenye shindano la Fiesta Super Nyota la mwaka 2012, na hadi mwaka huu anafikisha miaka mitatu kwenye muziki.
Rapper huyo ameshare na Bongo5 mafanikio aliyoyapata toka alivyoingia rasmi kwenye muziki miaka mitatu iliyopita.
“Mafanikio ambayo nimeyapata kwanza ni kujuana na watu ambao nilikuwa naamini wanaweza wakaja kuwa watu muhimu katika maisha yangu na nilikuwa nikipenda nije kukutana nao,” alisema Young Killer.
“Kitu...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo507 Oct
Young Killer: ‘Muziki ni mkombozi kwenye familia yangu’, haya ni mafanikio aliyoyapata hadi sasa
11 years ago
Michuzi05 May
9 years ago
Bongo502 Nov
Stamina aondoa utata kuhusu Young Killer kuziba nafasi ya Young D kwenye Mtu Chee
![mtu chee2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/mtu-chee2-94x94.jpg)
10 years ago
Mwananchi10 Jul
JK avunja Bunge, ataja mafanikio ya miaka 10
11 years ago
GPLYOUNG KILLER NDANI YA GLOBAL TV ONLINE
11 years ago
Bongo510 Aug
Young Killer alipigwa na mama yake mpaka kuzimia baada ya kugundulika anafanya muziki
10 years ago
CloudsFM16 Dec
UHUSIANO WA YOUNG KILLER NA MPENZI WAKE WATIMIZA MIAKA NANE
p>Ni mara chache sana kwa masupastaa kufunguka kuhusu mahusiano yao ya kimapenzi, ni wachache sana ambao wako tayari kuweka mambo wazi kama msanii Young Killer ambaye ana ameweka wazi uhusiano wake na mwanadada Halimaty.
‘’Halimaty ni mpenzi wangu nipo naye zaidi ya miaka nane,amekuwa zaidi ya rafiki’’alisema Young Killer kwenye shoo ya After Skul Bash iliyofanyika Jumamosi iliyopita kwenye viwanja vya Escape One,Mikocheni.
9 years ago
Bongo526 Oct
Q-Chief ataja kitu kinachomuumiza zaidi kwenye muziki
11 years ago
Bongo520 Jul
Young Killer afunga ndoa ….. kwenye kava la single mpya ‘Umebadilika’