Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Young Killer: ‘Muziki ni mkombozi kwenye familia yangu’, haya ni mafanikio aliyoyapata hadi sasa

Kwa Young Kiler muziki ni mkombozi mkubwa si tu kwake binafsi, bali pia kwa familia yake nzima. “Muziki ndio umefanya hadi sasa hivi familia yangu inaendelea kusurvive,” Young Killer alikiambia kipindi cha Chill na Sky. “Muziki ndio unatoa hata mtaji kwa dada zangu na mama yangu sasa hivi namjengea nyumba na ipo katika hatua nzuri. […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Young Killer ataja mafanikio aliyopata kwenye muziki ndani ya miaka mitatu

YounG KILLER

Young Killer Msodoki ni msanii kutoka Rock City, Mwanza aliyeibuliwa kwenye shindano la Fiesta Super Nyota la mwaka 2012, na hadi mwaka huu anafikisha miaka mitatu kwenye muziki.

YounG KILLER

Rapper huyo ameshare na Bongo5 mafanikio aliyoyapata toka alivyoingia rasmi kwenye muziki miaka mitatu iliyopita.

“Mafanikio ambayo nimeyapata kwanza ni kujuana na watu ambao nilikuwa naamini wanaweza wakaja kuwa watu muhimu katika maisha yangu na nilikuwa nikipenda nije kukutana nao,” alisema Young Killer.

“Kitu...

 

9 years ago

Bongo5

Stamina aondoa utata kuhusu Young Killer kuziba nafasi ya Young D kwenye Mtu Chee

mtu chee2Kulikuwa na utata kuhusu member mpya wa kundi la Mtu Chee ambalo hapo mwanzo liliundwa na rappers watatu, Stamina, Young D na Country Boy. Baada ya taarifa za Young Dee kuondoka kwenye kundi hilo, kulikuwa na taarifa kuwa Young Killer ambaye ameshiriki kwenye wimbo mpya wa kundi hilo, ‘Mtu Tatu’, kuwa ndio member mpya wa […]

 

11 years ago

CloudsFM

NAY WA MITEGO:MAFANIKIO YANGU YAMETOKANA NA MUZIKI

Kati ya wasanii wakubwa hapa Bongo waliopata mafanikio makubwa kupitia muziki ni Emmanuel Elibarik a.k.a Ney Wa Mitego,muziki wake umempa shoo nyingi na dili za matangazo ambazo hulipa vizuri wasanii.Hivi karibuni msanii huyo kupitia mtandao wake wa instagram alipost picha ya nyumba yake mpya iliyopo maeneo ya Kimara Korogwe ,kwa mujibu wake alikaririwa akisema nyumba hiyo ina thamani ya shs milioni mia na themanini.Ney wa mitego alisema alianza kujenga nyumba hii toka mwaka jana na ni...

 

11 years ago

Bongo5

Young Killer alipigwa na mama yake mpaka kuzimia baada ya kugundulika anafanya muziki

Mama wa msanii wa muziki wa Hip Hop Young Killer Msodoki, amesema kuwa anafurahishwa sana na kipaji cha mtoto wake ambacho kinaendelea kuonekana siku hadi siku licha ya kwamba mwanzoni aliwahi kumkataza kwa kumpiga mwanaye huyo mpaka kuzimia ile aachane na muziki. Young Killer akiwa na mama yake Mama Msodoki alikuwa akizungumza na Bongo5 jana […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Coke Studio ni moja ya mafanikio katika safari yangu ya muziki-Ben Paul

BEN 1

.Wanamuziki Ben Paul na Fid Q wanaoshiriki kwenye  onyesho la Coke Studio wakiwa katika picha ya pamoja na washabiki wao wakati wa uzinduzi wa onyesho hili jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

BEN 2

Sehemu ya wafanyakazi wa kiwanda cha Coca Cola Kwanza wakifuatilia onyesho la Coke Studio. BEN 3 Msimu wa Coke Studio umewahusisha pia wanafunzi mashuleni kuonyesha vipaji vyao kama anavyoonekana mwanafunzi akionyesha kipaji cha kucheza katika moja ya tamasha la Coke Studio lililofanyika mjini Mwanza...

 

11 years ago

Bongo5

Young Killer afunga ndoa ….. kwenye kava la single mpya ‘Umebadilika’

Ukimuuliza Young Killer utaoa lini? Huenda akawa na jibu tofauti kidogo na lile la Mwana FA. At least July 22 atakapoachia single yake mpya ‘Umebadilika aliyomshirikisha Banana Zorro, anaweza kukujibu ‘bado nipo nipo kidogo’. Kama lilivyo jina la single yake, yeye mwenyewe amebadilika pia kwakuwa ameamua kurekodi wimbo wake na producer Man Walter ambaye hajazoeleka […]

 

11 years ago

CloudsFM

YOUNG KILLER ATUMIA BAJETI NDOGO KWENYE VIDEO YA NGOMA YAKE YA ‘MY POWER’

Video ya Msanii wa Hip Hop,Young Killer iitwayo ‘The Power’imeelezwa kuwa ni video iliyotumia gharama ndogo pengine kuliko video za wasanii wote wa Kibongo.Aidha wasanii wanaongoza kwa kutumia gharama kubwa kwenye kutengeneza video zao ni pamoja na Diamond, Ommy Dimpoz, Sheta, Linah , Navy Kenzo, Weusi ila diamond ametajwa kuongoza kwa kutumia bajeti kubwa zaidi.Huyu hapa Young Killer anafunguka kwanini ngoma yake imetumia gharama ndogo.

 

9 years ago

Bongo5

Young Killer ajiunga na kundi la Mtu Chee, achukua nafasi ya Young Dee aliyejitoa

Baada kuwa kimya kwa takribani miaka miwili, Kundi la Mtu Chee lililokuwa linaundwa na rappers watatu, Ibrahim Mandingo a.k.a Country Boy, David Genzi a.k.a Young Dee pamoja na Boniventure Kabogo a.k.a Stamina linarudi rasmi likiwa na mabadiliko. Country Boy Member na mmoja wa waanzilishi wa kundi hilo Country Boy amesema kuwa Mtu Chee imepata member […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani