Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YOUNG KILLER ATUMIA BAJETI NDOGO KWENYE VIDEO YA NGOMA YAKE YA ‘MY POWER’

Video ya Msanii wa Hip Hop,Young Killer iitwayo ‘The Power’imeelezwa kuwa ni video iliyotumia gharama ndogo pengine kuliko video za wasanii wote wa Kibongo.Aidha wasanii wanaongoza kwa kutumia gharama kubwa kwenye kutengeneza video zao ni pamoja na Diamond, Ommy Dimpoz, Sheta, Linah , Navy Kenzo, Weusi ila diamond ametajwa kuongoza kwa kutumia bajeti kubwa zaidi.Huyu hapa Young Killer anafunguka kwanini ngoma yake imetumia gharama ndogo.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Young Killer atoa sababu za ngoma yake na Maua Sama ‘Do For Me’ kubuma

Young Killer Msodoki amekiri kuwa single yake ‘Do For Me’ aliyomshirikisha Maua Sama imebuma. Kama ilivyo kawaida kwa wasanii wengi kama sio wote ambao huwa hawakosi sababu pale nyimbo zao zinaposhindwa kufanya vizuri, Msodoki pia ametoa sababu za wimbo huo kukosa baraka za mashabiki. Akizungumza na Planet Bongo ya EA Radio, Msodoki amesema sababu kubwa […]

 

11 years ago

Bongo5

Young Killer kuachia video ya wimbo ‘My Power’,july 12

Msanii wa muziki wa Hip Hop, Young Killer Msodoki amefunguka kwa kusema kuwa siku ya ijumaa july 12 anatarajia kuachia video ya wimbo ‘My Power’ ambayo imetengenezwa na director mpya Jackson Joakim . Akizungumza na bongo5 , Young Killer, amesema video ya My Power ni video nzuri kiasi chake ambayo haijamgharimu pesa nyingi. “My Power […]

 

11 years ago

GPL

9 years ago

Bongo5

Stamina aondoa utata kuhusu Young Killer kuziba nafasi ya Young D kwenye Mtu Chee

mtu chee2Kulikuwa na utata kuhusu member mpya wa kundi la Mtu Chee ambalo hapo mwanzo liliundwa na rappers watatu, Stamina, Young D na Country Boy. Baada ya taarifa za Young Dee kuondoka kwenye kundi hilo, kulikuwa na taarifa kuwa Young Killer ambaye ameshiriki kwenye wimbo mpya wa kundi hilo, ‘Mtu Tatu’, kuwa ndio member mpya wa […]

 

11 years ago

Bongo5

Young Killer afunga ndoa ….. kwenye kava la single mpya ‘Umebadilika’

Ukimuuliza Young Killer utaoa lini? Huenda akawa na jibu tofauti kidogo na lile la Mwana FA. At least July 22 atakapoachia single yake mpya ‘Umebadilika aliyomshirikisha Banana Zorro, anaweza kukujibu ‘bado nipo nipo kidogo’. Kama lilivyo jina la single yake, yeye mwenyewe amebadilika pia kwakuwa ameamua kurekodi wimbo wake na producer Man Walter ambaye hajazoeleka […]

 

11 years ago

Bongo5

Young Killer alipigwa na mama yake mpaka kuzimia baada ya kugundulika anafanya muziki

Mama wa msanii wa muziki wa Hip Hop Young Killer Msodoki, amesema kuwa anafurahishwa sana na kipaji cha mtoto wake ambacho kinaendelea kuonekana siku hadi siku licha ya kwamba mwanzoni aliwahi kumkataza kwa kumpiga mwanaye huyo mpaka kuzimia ile aachane na muziki. Young Killer akiwa na mama yake Mama Msodoki alikuwa akizungumza na Bongo5 jana […]

 

10 years ago

Bongo5

New Music Video: Young Killer ft BananaZorro — Umebadilika

Young Killer Msodoki ameachia rasmi video ya wimbo wake ‘Umebadilika’ aliomshirikisha Banana Zorro. Video imeongozwa na director Hefemi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani