Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Young Killer atoa sababu za ngoma yake na Maua Sama ‘Do For Me’ kubuma

Young Killer Msodoki amekiri kuwa single yake ‘Do For Me’ aliyomshirikisha Maua Sama imebuma. Kama ilivyo kawaida kwa wasanii wengi kama sio wote ambao huwa hawakosi sababu pale nyimbo zao zinaposhindwa kufanya vizuri, Msodoki pia ametoa sababu za wimbo huo kukosa baraka za mashabiki. Akizungumza na Planet Bongo ya EA Radio, Msodoki amesema sababu kubwa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: DO FOR ME - YOUNG KILLER "MSODOKI" ft. MAUA SAMA (DOWNLOAD)




Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Technology tips and some Amazing Facts. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

11 years ago

CloudsFM

YOUNG KILLER ATUMIA BAJETI NDOGO KWENYE VIDEO YA NGOMA YAKE YA ‘MY POWER’

Video ya Msanii wa Hip Hop,Young Killer iitwayo ‘The Power’imeelezwa kuwa ni video iliyotumia gharama ndogo pengine kuliko video za wasanii wote wa Kibongo.Aidha wasanii wanaongoza kwa kutumia gharama kubwa kwenye kutengeneza video zao ni pamoja na Diamond, Ommy Dimpoz, Sheta, Linah , Navy Kenzo, Weusi ila diamond ametajwa kuongoza kwa kutumia bajeti kubwa zaidi.Huyu hapa Young Killer anafunguka kwanini ngoma yake imetumia gharama ndogo.

 

9 years ago

Bongo5

Young Killer atoa ufafanuzi kuhusu kama kweli amejiunga rasmi Mtu Chee, na kama ana beef na Young Dee baada ya kum-unfollow Instagram

Wiki iliyopita mmoja wa waanzilishi wa kundi la Mtu Chee, Country Boy alisema kuwa Young Dee amejiengua kwenye kundi hilo na nafasi yake imechukuliwa na Young Killer. Wiki hii kuna cover imeanza kusambazwa ya ngoma mpya ya Mtu Chee ambayo kweli wanaonekana Country Boy, Stamina na Young Killer. Bongo5 imemtafuta Young Killer kutaka kufahamu kuhusu […]

 

9 years ago

Bongo5

Young Killer aitaja sababu iliyomfanya aanze ‘mapenzi’ mapema!

Enzi za mababu zetu vijana walianza mapenzi wakiwa na umri mkubwa na pengine baada ya kuoa au kuolewa kwanza. Maisha yamebadilika, vijana siku hizi wanajua mambo ya wakubwa wakiwa wadogo. Young Killer ni mmoja wa watu waliojanjaruka mapema. “Ni kwasababu mimi nilikua tayari nipo active. Mimi nimeanza kujua vitu vingi mapema. Na hivyo vitu nilikuwa […]

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Maua Sama — This Love

Hatimaye mwimbaji Maua Sama ametoa video kwa mara ya kwanza, licha ya kuwa hadi sasa ana nyimbo tatu alizokuwa ameziachia bila kuwa na video. Video hii ni ya wimbo wake mpya uitwao ‘This Love’ aliomshirikisha mkali wa R&B Ben Pol. Video imeongozwa na Hanscana.

 

9 years ago

Bongo5

Music: Maua Sama – Mahaba Niue

Mua Sama

Mwanamuziki wa kike Maua Sama ameachia wimbo mpya unaitwa “Mahaba Niue”.Producer Ema The Boy

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

Maua Sama: Mwenyezi Mungu aniepushe na scandal

Hitmaker wa ‘So Crazy’ MAUA SAMA amesema hategemei scandal katika maisha yake binafsi na kimuziki kwa lengo la kupata umaarufu wa haraka usiokuwa na maslahi. ”Aaaa!! upande wangu mimi Maua Sama nachukia sana Scandal, naamini kwamba na provide nyimbo nzuri ambazo zinawavutia na zitaendelea kuwavutia ma-fans wangu si kwa kutegemea scandal kupata mafanikio katika music […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani