JK: Wajumbe NEC wana kazi kubwa
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete jana alifungua Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama hicho huku akikiri kuwa “wajumbe wana kazi kubwaâ€.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Wana-CCM Dodoma waonya wajumbe
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
Msoka: Wanawake wana nafasi kubwa kukuza uchumi
WANAWAKE ndio nguzo kuu katika kukuza uchumi wa nchi kutokana na majukumu wanayofanya kila siku, ingawa kumekuwepo na dhana kwamba wanawake hawana mchango wa kukuza uchumi. Katika kuhakikisha wanawake wanatambulika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXsQ3o97jEsXMTKuTznEjpBsPWEhUDqyuFqUf9CDbkGachAoSzwqr27t1vj56HmqeLXc2SJrrn*21tdy-ZuATx0-/soda.jpg?width=650)
WANYWA SODA WANA HATARI KUBWA YA KUPATWA SARATANI!
10 years ago
Mtanzania25 May
Hotuba ya JK yawakuna wajumbe NEC
Na Khamis Mkotya, Dodoma
BAADHI ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), wameelezea kufurahishwa na hotuba iliyotolewa na Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete.
Akifungua mkutano wa Halmashauri Kuu mjini hapa juzi, Rais Kikwete alisema salama ya chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, mwaka huu, ni kuteua wagombea wazuri wanaokubalika kwa wananchi.
Rais Kikwete aliwaagiza viongozi wa chama hicho kuzingatia sifa na vigezo na mwisho wa siku kuteua wagombea...
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Kisumo akerwa wajumbe ‘kulilia’ posho kubwa
5 years ago
BBCSwahili02 May
Virusi vya corona: Waliobadilisha jinsia 'wana hatari kubwa' wakati huu
10 years ago
Habarileo15 Feb
Wajumbe wa NEC wa CCM Dodoma waonywa
MWENYEKITI CCM, Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa amewataka wajumbe wa Halmashauri Kuu (NEC) ya mkoa huo kuacha kujitwisha misalaba ya wagombea urais huku wakiwa hawajui hatma ya maeneo yao wakati nchi ikielekea kwenye Uchaguzi Mkuu baadaye mwaka huu.
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Yanayojiri Dodoma…Asilimia kubwa ya wajumbe waunga mkono Serikali mbili
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba ambaye pia ni Msemaji wa walio wachache wa Kamati namba saba Freeman Mbowe akitoa ufafanuzi wa maoni ya walio wachache leo mjini Dodoma.
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba ambaye pia ni Msemaji wa walio wachache wa Kamati namba sita Ismail Jussa akitoa ufafanuzi wa maoni ya walio wachache leo mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati namba saba ya Bunge Maalum la Katiba Brigedia Jenerali Mstaafu Hassan Ngwilizi akiwasilisha maoni ya kamati yake leo mjini Dodoma...
11 years ago
Mwananchi08 Dec
Kavumbagu, Tambwe wana kazi