Papa abariki kwa Kiswahili
NAIROBI, KENYA
KIONGOZI wa Kanisa la Katoliki Duniani, Papa Francis, amewasili nchini Kenya jana jioni huku akitoa baraka kwa nchi hiyo kwa lugha ya Kiswahili.
Baada ya hotuba yake, Papa Francis, alimaliza kwa kusema “Mungu Ibariki Kenya” jambo lililowafanya watu waliokuwa katika ukumbi wa Ikulu ya Nairobi kulipuka kwa furaha.
Katika ziara yake hiyo ya ya siku tatu nchini Kenya, alipokewa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta, ambapo moja ya mambo ya kukumbukwa ni ujumbe alioutoa kwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.
Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.
Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.
Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GO1Rm-PT2prKmS1-1OJGcx78lyynrsycMCPCfGZXzWoerkGIr8iIS3RO7qW4ebQ8EWXLUPlwPWSjaMDK1rV73TDMrm4wbvzu/kavumbagu.jpg?width=650)
Kavumbagu abariki ufungaji bora kwa Tambwe
11 years ago
Mwananchi22 Jul
KISWAHILI KWA WANAFUNZI: Ngeli tisa za Kiswahili na upatanisho wa kisarufi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70uBHK5EWFQqSz8obd-gCcE79Yv88EIvBSqttSGnP7u2jlnWbcF2qknz*9Gnffg2uWRVH5qyl7eJ2e67o7*6Mgd1/8989.gif?width=650)
THEA ABARIKI MUMEWE KUOA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6Yn8z8hshnSzsmEtFULgSqp7EIBWm7u0rI*VBAzV1JlzKMK0G39aR9ZRgi0dRgkTMKHnbPqQEWFmYuuwHhcmY9P/1.jpg?width=650)
PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Kwa Picha: Maisha ya Papa Francis
10 years ago
BBCSwahili25 May
Papa Francis: Sijatazama Tv kwa miaka 25
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Kwa picha: Ziara ya papa Msumbiji
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-aYHsJ24DzWY/VReNU0J4bpI/AAAAAAAAq7U/hb0sTQdOMcg/s72-c/Jk-vs-Lowassa-3-620x309.jpg)
Siri Imefichuka:Rais Kikwete “Abariki” Mbio za Urais wa Lowassa
![](http://3.bp.blogspot.com/-aYHsJ24DzWY/VReNU0J4bpI/AAAAAAAAq7U/hb0sTQdOMcg/s1600/Jk-vs-Lowassa-3-620x309.jpg)
SIRI imefichuka. Mbio za Edward Lowassa, kusaka urais kwa udi na uvumba, zimebarikiwa kwa asilimia 100 na Rais Jakaya Kikwete.Lowassa amekutana na Kikwete mara kadhaa na kufunga makubaliano ya siri yanayolenga kumsaidia yeye kuwa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
“Yote yanayofanywa na Edward (Lowassa), yamebarikiwa na Kikwete. Bila hivyo, Lowassa asingekuwa na ubavu wa kufanya anachokitenda,” ameeleza kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya serikali.Kikwete ndiye Mwenyekiti wa Taifa...