Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kavumbagu akabidhiwa kwa Brandts Yanga

Didier Kavumbagu. Na Lucy Mgina
UONGOZI wa Yanga umesema mtu atakayeamua hatma ya mshambuliaji wa kimataifa wa klabu hiyo, Didier Kavumbagu, raia wa Burundi kubaki au kuondoka ni kocha Ernie Brandts. Kavumbagu aliyeifungia mabao matano Yanga kwenye mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Bara, amebakiza mkataba wa miezi sita tu. Akizungumza na Championi Jumatano, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Yanga, Abdallah Bin Kleb, alisema...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Brandts atimuliwa Yanga

Kocha Ernie Brandts. Na Mwandishi Wetu KOCHA Ernie Brandts hana chake tena Yanga na ndani ya siku mbili, uongozi wa klabu hiyo utatangaza kumtimua.
Taarifa za uhakika ambazo Championi Jumatatu limezipata kutoka ndani ya Yanga, zimeeleza Brandts ameshafukuzwa kazi.
“Kweli Brandts ameonekana hafai na wakubwa walikaa jana kikao mara tu baada ya mechi ya Simba na Yanga, wamefikia hatua ya kumuachisha kazi. “Mimi...

 

11 years ago

GPL

YANGA YASITISHA MKATABA NA BRANDTS

Kocha wa zamani wa Yanga, Ernie Brandts. Uongozi wa klabu ya Young Africans SC umempatia taarifa (Notice) ya siku ya thelathini (30) kocha mkuu mholanzi Ernie Brandts juu ya kusitisha mkataba wake kuanzia jana Disemba 22 mwaka huu. Maamuzi hayo yanafuatia muenendo wa matokeo mabaya katika michezo iliyopita ya Ligi Kuu, kirafiki na bonanza la Nani Mtani Jembe dhidi ya Simba SC mwishoni mwa wiki. Hatua ya Young Africans SC...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simba wamng’oa Brandts Yanga SC

KICHAPO cha mabao 3-1 ilichopata Yanga katika mechi ya Nani Mtani Jembe katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, juzi, kimegharimu kibaru cha aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo,...

 

11 years ago

GPL

Brandts: Yanga hii, itaimaliza Al Ahly

Kocha Mkuu wa Yanga, Ernie Brandts. Na Khatimu Naheka
KOCHA Mkuu wa Yanga, Ernie Brandts, ameipata ratiba ya Ligi ya Mabingwa Afrika inayoandaliwa na shirikisho la soka barani hapa (Caf), akasisitiza kikosi chake kinaweza kuitupa nje ya michuano hiyo timu kongwe ya Al Ahly ya Misri endapo watakutana nayo baada ya kuitoa Komorozine ya Comoro. Akizungumza na Championi Jumatano, Brandts amesema hana wasiwasi wowote wa kukutana na...

 

10 years ago

GPL

Kavumbagu mali ya Yanga

Straika wa Azam FC, Didier Kavumbagu. Wilbert Molandi na Sweetbert Lukonge
 MAMBO yameiva kwani hadi sasa Yanga ina asilimia 80 za kumsajili straika wa Azam FC, Didier Kavumbagu na kudhihirisha kwamba fedha wakati mwingine inaweza kuwa si lolote katika uamuzi.Kavumbagu amebakiza mwezi mmoja tu kumaliza mkataba wake na Azam aliyojiunga nayo mwaka jana akitokea Yanga, hivyo sasa anarejea nyumbani. Mabosi wa Yanga wameshafanya...

 

11 years ago

TheCitizen

No regrets over leaving Yanga, says Kavumbagu

New Azam FC striker Didier Kavumbagu has no regrets over his decision to decamp to the Mainland champions.

 

10 years ago

GPL

Kavumbagu awapa Yanga siku 30

Mshambuliaji wa kimataifa wa Azam, Mrundi, Didier Kavumbagu. Hans Mloli,Dar es Salaam
ISHU ya usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Azam, Mrundi, Didier Kavumbagu, imechukua sura mpya baada ya kutoa kipindi cha muda wa mwezi mmoja ambapo ni sawa na siku 30, kabla hajajua kama atajiunga na Yanga ama la. Kavumbagu ambaye amekuwa lulu katika kikosi cha Azam tangu atue msimu huu klabuni hapo akitokea Yanga, amekuwa akihusishwa...

 

10 years ago

GPL

Kavumbagu: Siendi Yanga, mimi ni wa Azam

Straika hatari wa Azam FC, Mrundi, Didier Kavumbagu. Said Ally Dar es Salaam
HUKU mkataba wake ukiwa unaelekea ukingoni na zikiibuka fununu za kuwindwa na Yanga, straika hatari wa Azam FC, Mrundi, Didier Kavumbagu, ameweka wazi kuwa hana mpango na wala hawezi kuhama ndani ya kikosi chake hicho kwa sasa. Mshambuliaji huyo ambaye pia aliwahi kuichezea timu ya Atletico ya Burundi kabla ya kutua Yanga, kwa sasa yupo huru kujiunga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani