Kavumbagu akabidhiwa kwa Brandts Yanga
Didier Kavumbagu. Na Lucy Mgina UONGOZI wa Yanga umesema mtu atakayeamua hatma ya mshambuliaji wa kimataifa wa klabu hiyo, Didier Kavumbagu, raia wa Burundi kubaki au kuondoka ni kocha Ernie Brandts. Kavumbagu aliyeifungia mabao matano Yanga kwenye mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Bara, amebakiza mkataba wa miezi sita tu. Akizungumza na Championi Jumatano, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Yanga, Abdallah Bin Kleb, alisema...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXqP2ZCFaHRAN2n58FRVDZuL1BxSgyGRHf8iX78CgPujUPCTyWdPfneFSk21HJWglOFBPk6rftVanb6X7WD7BiHL/BRANDS.jpg?width=650)
Brandts atimuliwa Yanga
11 years ago
GPLYANGA YASITISHA MKATABA NA BRANDTS
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Simba wamng’oa Brandts Yanga SC
KICHAPO cha mabao 3-1 ilichopata Yanga katika mechi ya Nani Mtani Jembe katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, juzi, kimegharimu kibaru cha aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo,...
11 years ago
GPLBrandts: Yanga hii, itaimaliza Al Ahly
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9whBoo1pTWNEPDSwhZ76xPpeY*R3OOoAbWX9xQve6MMJ9E4xT6QYeCiRbQhKhZ7L1N6gv-CEz4raOLh0ztORbiORqWbsae3F/Kavumbagu.jpg?width=650)
Kavumbagu mali ya Yanga
11 years ago
TheCitizen01 May
No regrets over leaving Yanga, says Kavumbagu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qHkXSNTTQ9dH*qeE0zbJMtY**3hjYjn9jCinxrOezPFD8l5Ig2D*KkLoRbhp2rQs7snu1N8sZvJb2ERtNflQks3QEjTzC-PQ/kavu.jpg?width=650)
Kavumbagu awapa Yanga siku 30
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NjHDmKPq-vBK3nlQ1NL4g53Q4B9TtQSmvHIJixEsliov*gPTuIxYD4kjHu0tG2zk9wIGo0QiTQtI-5tF6zJtj3Cz375X39gq/1jjkk.jpg?width=650)
Kavumbagu: Siendi Yanga, mimi ni wa Azam