YANGA YASITISHA MKATABA NA BRANDTS
Kocha wa zamani wa Yanga, Ernie Brandts. Uongozi wa klabu ya Young Africans SC umempatia taarifa (Notice) ya siku ya thelathini (30) kocha mkuu mholanzi Ernie Brandts juu ya kusitisha mkataba wake kuanzia jana Disemba 22 mwaka huu. Maamuzi hayo yanafuatia muenendo wa matokeo mabaya katika michezo iliyopita ya Ligi Kuu, kirafiki na bonanza la Nani Mtani Jembe dhidi ya Simba SC mwishoni mwa wiki. Hatua ya Young Africans SC...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili27 Feb
TFF yasitisha mkataba wa kocha wake
10 years ago
BBCSwahili07 Aug
Kenya yasitisha mkataba CNN kutangaza utalii
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXqP2ZCFaHRAN2n58FRVDZuL1BxSgyGRHf8iX78CgPujUPCTyWdPfneFSk21HJWglOFBPk6rftVanb6X7WD7BiHL/BRANDS.jpg?width=650)
Brandts atimuliwa Yanga
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Simba wamng’oa Brandts Yanga SC
KICHAPO cha mabao 3-1 ilichopata Yanga katika mechi ya Nani Mtani Jembe katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, juzi, kimegharimu kibaru cha aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo,...
11 years ago
GPLBrandts: Yanga hii, itaimaliza Al Ahly
11 years ago
GPLKavumbagu akabidhiwa kwa Brandts Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yKf2ULbTEhEJ2aiy24Tq-XxjDylK8KfXUE5usyFwoyW2abAGsPTfF0*Q8eUEP14xgXvMldTD7KYx*oojuzLywTp/IMG20120805WA002.jpg)
TWITE AONGEZA MKATABA YANGA
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Yanga yavunja mkataba na Niyonzima
![NIYONZIMANEW4](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/NIYONZIMANEW4.jpg)