Brandts: Yanga hii, itaimaliza Al Ahly
Kocha Mkuu wa Yanga, Ernie Brandts. Na Khatimu Naheka KOCHA Mkuu wa Yanga, Ernie Brandts, ameipata ratiba ya Ligi ya Mabingwa Afrika inayoandaliwa na shirikisho la soka barani hapa (Caf), akasisitiza kikosi chake kinaweza kuitupa nje ya michuano hiyo timu kongwe ya Al Ahly ya Misri endapo watakutana nayo baada ya kuitoa Komorozine ya Comoro. Akizungumza na Championi Jumatano, Brandts amesema hana wasiwasi wowote wa kukutana na...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXqP2ZCFaHRAN2n58FRVDZuL1BxSgyGRHf8iX78CgPujUPCTyWdPfneFSk21HJWglOFBPk6rftVanb6X7WD7BiHL/BRANDS.jpg?width=650)
Brandts atimuliwa Yanga
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Simba wamng’oa Brandts Yanga SC
KICHAPO cha mabao 3-1 ilichopata Yanga katika mechi ya Nani Mtani Jembe katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, juzi, kimegharimu kibaru cha aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo,...
11 years ago
GPLYANGA YASITISHA MKATABA NA BRANDTS
11 years ago
GPLKavumbagu akabidhiwa kwa Brandts Yanga
11 years ago
BBCSwahili02 Mar
Yanga yaibwaga Al-Ahly 1-0
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Tofauti ya Yanga na Al Ahly
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania bara, Yanga, wametinga raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Wamefika hatua hiyo baada ya kuwatupa nje Komorozine ya Domoni, Comoro kwa kuwanyuka jumla...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n7ZUxQJY0YtcX-rHWIQGp1oZBYY8TKRD74Ke4MY6RA8qxs7m5979PIgM2-de9ic5R4naDGiHGoYFQuQ*ahlhgXS1MQdH7wKA/YANGA.jpg?width=650)
Yanga: Tuliwadanganya Al Ahly
11 years ago
BBCSwahili01 Mar
Yanga kupepetana na Al-Ahly