No regrets over leaving Yanga, says Kavumbagu
New Azam FC striker Didier Kavumbagu has no regrets over his decision to decamp to the Mainland champions.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9whBoo1pTWNEPDSwhZ76xPpeY*R3OOoAbWX9xQve6MMJ9E4xT6QYeCiRbQhKhZ7L1N6gv-CEz4raOLh0ztORbiORqWbsae3F/Kavumbagu.jpg?width=650)
Kavumbagu mali ya Yanga
Straika wa Azam FC, Didier Kavumbagu. Wilbert Molandi na Sweetbert Lukonge
 MAMBO yameiva kwani hadi sasa Yanga ina asilimia 80 za kumsajili straika wa Azam FC, Didier Kavumbagu na kudhihirisha kwamba fedha wakati mwingine inaweza kuwa si lolote katika uamuzi.Kavumbagu amebakiza mwezi mmoja tu kumaliza mkataba wake na Azam aliyojiunga nayo mwaka jana akitokea Yanga, hivyo sasa anarejea nyumbani. Mabosi wa Yanga wameshafanya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qHkXSNTTQ9dH*qeE0zbJMtY**3hjYjn9jCinxrOezPFD8l5Ig2D*KkLoRbhp2rQs7snu1N8sZvJb2ERtNflQks3QEjTzC-PQ/kavu.jpg?width=650)
Kavumbagu awapa Yanga siku 30
Mshambuliaji wa kimataifa wa Azam, Mrundi, Didier Kavumbagu. Hans Mloli,Dar es Salaam
ISHU ya usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Azam, Mrundi, Didier Kavumbagu, imechukua sura mpya baada ya kutoa kipindi cha muda wa mwezi mmoja ambapo ni sawa na siku 30, kabla hajajua kama atajiunga na Yanga ama la. Kavumbagu ambaye amekuwa lulu katika kikosi cha Azam tangu atue msimu huu klabuni hapo akitokea Yanga, amekuwa akihusishwa...
11 years ago
GPLKavumbagu akabidhiwa kwa Brandts Yanga
Didier Kavumbagu. Na Lucy Mgina
UONGOZI wa Yanga umesema mtu atakayeamua hatma ya mshambuliaji wa kimataifa wa klabu hiyo, Didier Kavumbagu, raia wa Burundi kubaki au kuondoka ni kocha Ernie Brandts. Kavumbagu aliyeifungia mabao matano Yanga kwenye mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Bara, amebakiza mkataba wa miezi sita tu. Akizungumza na Championi Jumatano, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Yanga, Abdallah Bin Kleb, alisema...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NjHDmKPq-vBK3nlQ1NL4g53Q4B9TtQSmvHIJixEsliov*gPTuIxYD4kjHu0tG2zk9wIGo0QiTQtI-5tF6zJtj3Cz375X39gq/1jjkk.jpg?width=650)
Kavumbagu: Siendi Yanga, mimi ni wa Azam
Straika hatari wa Azam FC, Mrundi, Didier Kavumbagu. Said Ally Dar es Salaam
HUKU mkataba wake ukiwa unaelekea ukingoni na zikiibuka fununu za kuwindwa na Yanga, straika hatari wa Azam FC, Mrundi, Didier Kavumbagu, ameweka wazi kuwa hana mpango na wala hawezi kuhama ndani ya kikosi chake hicho kwa sasa. Mshambuliaji huyo ambaye pia aliwahi kuichezea timu ya Atletico ya Burundi kabla ya kutua Yanga, kwa sasa yupo huru kujiunga...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqrrVO3ue7F1u7snQaoQpTmqaWv3S5f2BPavLwpWwxcAMW1WR*Hvci19xmCG8Eh17oGSXkYJJ2OOhDzaPqHsq2Zu/kavumbagu.jpg?width=600)
Kavumbagu: Piga ua, Yanga bingwa msimu huu
Mshambuliaji wa kimataifa wa Yanga, Mrundi Didier Kavumbagu. Na Hans Mloli
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Yanga, Mrundi Didier Kavumbagu, ametamka wazi kwamba hata iweje ubingwa wa ligi unatua Jangwani kwa mara nyingine msimu huu. Akizungumza na Championi Jumamosi, Kavumbagu alisema kwamba hakuna ubishi kwamba mabingwa ni wao kuanzia matokeo bora waliyokuwa nayo ya ligi mpaka kikosi kamili walichokuwa nacho msimu huu. Alisema...
10 years ago
AllAfrica.Com10 Mar
The Regrets of a Drug Dealer
AllAfrica.com
Arusha — SHE lives in a section known as 'Mtaa wa dhambi' which directly translates into 'Street of sin,' a red district found within Mianzini area in upper Kaloleni Ward of Arusha City. Ms Fauzia Ally's tale of crime is deeply etched in narcotics, first as a pusher ...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/76094000/jpg/_76094916_75847890.jpg)
Sisi 'regrets' al-Jazeera trial
Egypt's President Abdul Fattah al-Sisi has said he wishes three jailed al-Jazeera journalists had never been put on trial, local media report.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania