Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kavumbagu awapa Yanga siku 30

Mshambuliaji wa kimataifa wa Azam, Mrundi, Didier Kavumbagu. Hans Mloli,Dar es Salaam
ISHU ya usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Azam, Mrundi, Didier Kavumbagu, imechukua sura mpya baada ya kutoa kipindi cha muda wa mwezi mmoja ambapo ni sawa na siku 30, kabla hajajua kama atajiunga na Yanga ama la. Kavumbagu ambaye amekuwa lulu katika kikosi cha Azam tangu atue msimu huu klabuni hapo akitokea Yanga, amekuwa akihusishwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Kavumbagu mali ya Yanga

Straika wa Azam FC, Didier Kavumbagu. Wilbert Molandi na Sweetbert Lukonge
 MAMBO yameiva kwani hadi sasa Yanga ina asilimia 80 za kumsajili straika wa Azam FC, Didier Kavumbagu na kudhihirisha kwamba fedha wakati mwingine inaweza kuwa si lolote katika uamuzi.Kavumbagu amebakiza mwezi mmoja tu kumaliza mkataba wake na Azam aliyojiunga nayo mwaka jana akitokea Yanga, hivyo sasa anarejea nyumbani. Mabosi wa Yanga wameshafanya...

 

11 years ago

TheCitizen

No regrets over leaving Yanga, says Kavumbagu

New Azam FC striker Didier Kavumbagu has no regrets over his decision to decamp to the Mainland champions.

 

10 years ago

GPL

Kavumbagu: Siendi Yanga, mimi ni wa Azam

Straika hatari wa Azam FC, Mrundi, Didier Kavumbagu. Said Ally Dar es Salaam
HUKU mkataba wake ukiwa unaelekea ukingoni na zikiibuka fununu za kuwindwa na Yanga, straika hatari wa Azam FC, Mrundi, Didier Kavumbagu, ameweka wazi kuwa hana mpango na wala hawezi kuhama ndani ya kikosi chake hicho kwa sasa. Mshambuliaji huyo ambaye pia aliwahi kuichezea timu ya Atletico ya Burundi kabla ya kutua Yanga, kwa sasa yupo huru kujiunga...

 

11 years ago

GPL

Kavumbagu akabidhiwa kwa Brandts Yanga

Didier Kavumbagu. Na Lucy Mgina
UONGOZI wa Yanga umesema mtu atakayeamua hatma ya mshambuliaji wa kimataifa wa klabu hiyo, Didier Kavumbagu, raia wa Burundi kubaki au kuondoka ni kocha Ernie Brandts. Kavumbagu aliyeifungia mabao matano Yanga kwenye mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Bara, amebakiza mkataba wa miezi sita tu. Akizungumza na Championi Jumatano, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Yanga, Abdallah Bin Kleb, alisema...

 

11 years ago

GPL

Kavumbagu: Piga ua, Yanga bingwa msimu huu

Mshambuliaji wa kimataifa wa Yanga, Mrundi Didier Kavumbagu. Na Hans Mloli
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Yanga, Mrundi Didier Kavumbagu, ametamka wazi kwamba hata iweje ubingwa wa ligi unatua Jangwani kwa mara nyingine msimu huu. Akizungumza na Championi Jumamosi, Kavumbagu alisema kwamba hakuna ubishi kwamba mabingwa ni wao kuanzia matokeo bora waliyokuwa nayo ya ligi mpaka kikosi kamili walichokuwa nacho msimu huu. Alisema...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC awapa siku saba watendaji

MKUU wa Wilaya (DC) ya Nyang’hwale, mkoani Geita, Ibrahim Marwa, amewataka watumishi wa halmashauri hiyo kuanzia mkurugenzi wa wilaya na watendaji wa kata na vijiji kuhakikisha ndani ya siku saba...

 

10 years ago

Mwananchi

Tambwe awapa raha Yanga

 Mshambuliaji Amissi Tambwe aliwapa raha mashabiki wa Yanga baada ya jana kuifungia timu yake mabao mawili dhidi ya BDF XI ya Botswana iliyokuwa ikishangiliwa muda wote na mashabiki wa Simba kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani