Sera mbovu kiini kuporomoka elimu
Wadau wa elimu nchini wameichambua elimu ya Tanzania na kueleza kuwa, tatizo la kuporomoka kwa elimu ni matokeo ya sera na mifumo mibovu na si uhaba wa miundombinu kama madawati, vitabu au majengo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Sera mbovu zinavyoangusha zao la mwani Zanzibar
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Mpango wa Elimu ya Msingi ni kiini macho
10 years ago
Dewji Blog24 Feb
Mratibu wa Elimu Kigamboni; Sera mpya ya elimu yahitaji maandalizi kwanza
Kaimu Afisa Elimu Manispaa ya Temeke, Angelina Ngasazwa akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi madawati 50 na majengo mawili yaliyokarabatiwa na umoja wa jamii ya watu kutoka India Bengali waliopo hapa Tanzania, BANGO SANGHO katika shule ya msingi Kibugumo iliyopo Kigamboni jijini Dar hivi karibuni.
Na modewji blog team
Sera mpya ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ya mwaka 2014, iliyozinduliwa na Rais Dk. Jakaya Kikwete, Februari 13 mwaka huu, wadau mbalimbali wameanza kuonyesha wasiwasi wao juu...
11 years ago
Habarileo07 Jul
Mfumo mbovu waathiri elimu - Kitila
MFUMO mbovu wa elimu hapa nchini, umetajwa kusababisha wanafunzi katika shule za umma kusoma kwa mtindo wa kupenya, hali inayosababisha kuwepo kwa idadi kubwa ya watu walioenda shule, lakini idadi ya wanaoelimika kushuka.
10 years ago
VijimamboJK ALIVYOZINDUA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO
10 years ago
Vijimambo14 Feb
10 years ago
Michuzi14 Feb
10 years ago
Habarileo05 Mar
Kilango atetea Sera mpya ya Elimu
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Anne Kilango Malecela amesema hashangazwi na baadhi ya watu wanatoa manung’uniko juu ya Sera mpya ya Elimu, iliyozinduliwa hivi karibuni, kwani imekuwa ni kawaida kwa jambo jema, linalofanywa na serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kulalamikiwa.
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Sera ya Elimu safi, sasa utekelezaji