Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mpango wa Elimu ya Msingi ni kiini macho

Kuanzia juzi, gazeti hili limechapisha makala kwa njia ya picha kuhusu hali ya kutisha na kufadhaisha iliyopo katika Shule ya Msingi ya Nyamarere, Kata ya Ikome katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita, mkoani Geita.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Diwani: Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa ni kiini macho

DIWANI wa Kata ya Kaengesa, Ameir Nkurlu amedai mpango wa Serikali wa Matokeo Makubwa Sasa ni kiini macho, hauwezekani kutekelezwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Hiki kiini macho au mazingaombwe?

Mchezo wa ligi ya mabingwa mieleka duniani ulikamata hisia za wengi enzi za akina Hulk Hogan na John Seiner. Ilikuwa vigumu sana kumtoa mtu wa rika yoyote kwenye TV mara shindano lilipoanza. 

 

10 years ago

Mwananchi

Hukumu kesi ya ujangili ‘kiini macho’

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mkoa wa Kilimanjaro, jana imemhukumu raia wa Pakistan Ahmed Kamran kifungo cha miaka 60 jela baada ya kumtia hatiani kwa makosa manne ikiwamo kusafirisha twiga wanne hai kwenda Qatar.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kikwete utawala bora unaojivunia ni kiini macho

RAIS Jakaya Kikwete amesema kazi ya urais ni ngumu na anatamani amalize kipindi chake ili awe mtu huru kufanya mambo yake, ikiwamo kilimo, huku akiamini atapatikana Rais bora kuiongoza vizuri...

 

10 years ago

Mwananchi

Ahadi kapu zima, utekelezaji kiini macho

Mara nyingi viongozi wa klabu na vyama vya soka nchini wamekuwa wakilalamikiwa kutokana na namna wanavyoongoza. Utawala mbovu usiosima kwenye mistari ya katiba za vyama au klabu umekuwa kiini cha migogoro ya mara kwa mara.

 

10 years ago

Mwananchi

Bajeti hii isiwe kiini macho kwa wananchi

Jana Waziri wa Fedha, Saada Mkuya aliwasilisha bajeti kuu ya Serikali kuhusu makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2015/16.

 

11 years ago

Mwananchi

Sera mbovu kiini kuporomoka elimu

Wadau wa elimu nchini wameichambua elimu ya Tanzania na kueleza kuwa, tatizo la kuporomoka kwa elimu ni matokeo ya sera na mifumo mibovu na si uhaba wa miundombinu kama madawati, vitabu au majengo.

 

10 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI WILAYA YA MKURANGA NA KIBAHA KUPATA HUDUMA ZA MACHO BURE

Kaimu Mkurugenzi wa manispaa ya Mkuranga Mbenjamin Majoya (kushoto)akikabidhiwa msaada wa vifaa vya macho na Afisa Mkazi wa taasisi isiyo ya Kiserikali ya Brien Holden Vision Institute Eden Mahayo kwa ajili ya wanafunzi wa shule za msingi 122 za Mkuranga ambapo wanafunzi hao watapata huduma ya kupima na kutibiwa macho bure.hafla hiyo ilifanyika katika hospitali ya wilaya ya mkuranga mkoa wa Pwani, wanao shuhudia ni Mganga Mkuu wa wilaya hiyo Dkt.Francis Mwanisi, Mratibu mradi Rebecca Kasika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani