Hukumu kesi ya ujangili ‘kiini macho’
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mkoa wa Kilimanjaro, jana imemhukumu raia wa Pakistan Ahmed Kamran kifungo cha miaka 60 jela baada ya kumtia hatiani kwa makosa manne ikiwamo kusafirisha twiga wanne hai kwenda Qatar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Hiki kiini macho au mazingaombwe?
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Mpango wa Elimu ya Msingi ni kiini macho
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Kikwete utawala bora unaojivunia ni kiini macho
RAIS Jakaya Kikwete amesema kazi ya urais ni ngumu na anatamani amalize kipindi chake ili awe mtu huru kufanya mambo yake, ikiwamo kilimo, huku akiamini atapatikana Rais bora kuiongoza vizuri...
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Ahadi kapu zima, utekelezaji kiini macho
11 years ago
Habarileo13 Jan
Diwani: Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa ni kiini macho
DIWANI wa Kata ya Kaengesa, Ameir Nkurlu amedai mpango wa Serikali wa Matokeo Makubwa Sasa ni kiini macho, hauwezekani kutekelezwa.
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Bajeti hii isiwe kiini macho kwa wananchi
10 years ago
Vijimambo20 Jun
Tanzania yatajwa tena kama kiini cha ujangili
![Ndovu wa Afrika wako katika hatari ya kumalizwa kwa kutokana na ujangili.](http://gdb.voanews.com/CBEDF54B-B871-4801-BE3A-14D29CBD17CF_w640_r1_s.jpg)
Matokeo ya utafiti yaliyochapishwa Alhamisi yanaonyesha maeneo hao mawili ni Tanzania, ikifuatiwa na eneo la nchi kadha katika eneo la magharibi ya kati barani Afrika.
Samuel Wasser, mmoja wa waandishi wa ripoti...
10 years ago
Vijimambo07 Feb
HUKUMU KESI YA KESI KISUTU
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-qEBytIDT_uk%2FVNTSKai8E_I%2FAAAAAAAAs58%2FkFaUXYLmSMU%2Fs1600%2Fmacha%252Bhans.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
NA MWANDISHI WETU
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imethibitisha kwamba mfanyabiashara Hans Macha alinunua nyumba kwa kufuata utaratibu na kihalali kutoka kwa Ramadhani Balenga.
Hayo yalithibitishwa leo kupitia hukumu iliyosomwa na Hakimu Mkazi Frank Moshi kwa niaba ya Hakimu Mkazi Devotha Kisoka, ambaye alisikiliza kesi ya kughushi inayomkabili Macha.
Katika kesi hiyo, Macha alikuwa akikabiliwa na mashitaka matatu ya kughushi hati ya umiliki wa kiwanja kilichopo eneo ya Kigogo, Dar es...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jan
Hukumu kesi ya Kibanda leo
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, leo inatarajia kutoa hukumu katika kesi ya kuandika na kuchapisha makala ya uchochezi inayomkabili aliyekuwa Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Tanzania Daima, Absalom...