Kikwete utawala bora unaojivunia ni kiini macho
RAIS Jakaya Kikwete amesema kazi ya urais ni ngumu na anatamani amalize kipindi chake ili awe mtu huru kufanya mambo yake, ikiwamo kilimo, huku akiamini atapatikana Rais bora kuiongoza vizuri...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Jul
Rais Kikwete apewa Tuzo ya Utawala Bora
9 years ago
VijimamboRais Kikwete apokea Tuzo ya Utawala Bora
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Hiki kiini macho au mazingaombwe?
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Mpango wa Elimu ya Msingi ni kiini macho
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Hukumu kesi ya ujangili ‘kiini macho’
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Ahadi kapu zima, utekelezaji kiini macho
10 years ago
Dewji Blog25 Jul
Rais Kikwete atunukiwa Tuzo ya Kudumisha Utawala Bora Barani Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Jitihada za muongo mzima wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kuimarisha na kudumisha Utawala Bora katika Tanzania zimetambuliwa kimataifa kwa Rais kutunukiwa Tuzo la Utawala Bora Barani Afrika mwaka 2015 (Good Governance in Africa.)
Rais Kikwete ametunukiwa Tuzo hiyo na Taasisi ya African Achievers Awards yenye makao yake makuu katika Afrika Kusini kutokana na kutambua mchango...
11 years ago
Habarileo13 Jan
Diwani: Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa ni kiini macho
DIWANI wa Kata ya Kaengesa, Ameir Nkurlu amedai mpango wa Serikali wa Matokeo Makubwa Sasa ni kiini macho, hauwezekani kutekelezwa.
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Bajeti hii isiwe kiini macho kwa wananchi