Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mfumo mbovu waathiri elimu - Kitila

Mhadhiri wa Chuo Kikuu, Dk Kitila MkumboMFUMO mbovu wa elimu hapa nchini, umetajwa kusababisha wanafunzi katika shule za umma kusoma kwa mtindo wa kupenya, hali inayosababisha kuwepo kwa idadi kubwa ya watu walioenda shule, lakini idadi ya wanaoelimika kushuka.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mfumo dume bado waathiri familia nyingi

FAMILIA nyingi bado zipo katika tabaka la mfumo dume, ambao unachangia kwa asilimia kubwa kuendelea kuwepo kwa idadi ya watoto wa mitaani na waishio katika mazingira hatarishi.

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri Kigoda: Mfumo mashine EFDs ni mbovu, unakandamiza

Serikali imekiri mfumo wa ulipaji kodi na ule wa utumiaji wa mashine za kutolea risiti(EFDs) kuwa ni mbovu na hivyo unahitaji kufanyiwa kazi.

 

11 years ago

Mwananchi

Sera mbovu kiini kuporomoka elimu

Wadau wa elimu nchini wameichambua elimu ya Tanzania na kueleza kuwa, tatizo la kuporomoka kwa elimu ni matokeo ya sera na mifumo mibovu na si uhaba wa miundombinu kama madawati, vitabu au majengo.

 

5 years ago

Michuzi

Haki Elimu Yatoa Tathmini ya Mfumo wa Elimu Baada ya Covid 19

 Na Humphrey Shao, Dar es Salaam
Tasisi isiyo ya Kiserikali ya Haki
Elimu Tanzania imesema katika kipindi hiki cha shule kufungwa nje ya utaratibu
rasmi wa likizo kimetufanya tugundue namna mfumo wetu wa utoaji elimu ulivyo na
mapungufu mengi.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Shirika
Hilo Dk.John Kalaghe alipokuwa akizungumza na wadau wa elimu kupitia mkutano
uliandaliwa na tasisi hiyo uliofanyika kwa njia ya mtandao wakati wa
mahadhimishoi ya siku ya mtoto wa Afrika.
Dk Kalaghe alisema kuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Elimu ya ujasiriamali katika mfumo wa elimu nchini

Uzoefu na tafiti vinaonyesha vijana wanaohitimu katika ngazi mbalimbali za elimu nchini wanakabiliwa na changamoto ya kupata ajira.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Mfumo wa elimu upitiwe upya’

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa ameitaka Serikali kupitia upya mfumo wa elimu na kuanzisha ule unaoongeza uwezo wa kufikiri na kuondoa utamaduni wa kubuni unaozidi kukua.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa: Mfumo wa elimu ubadilishwe

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa ameitaka serikali kubadilisha mfumo mbovu wa elimu uliyopo sasa ili kujenga taifa la wasomi waliyoelimika si bora wasomi....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfumo wa elimu wakwaza wazazi

UTAFITI wa Taasisi ya Twaweza, umebaini kuwa wazazi hawana matumaini na mfumo wa elimu unaotumika hivi sasa kufundishia kama utawasaidia watoto kupata ujuzi na stadi kwa kiwango wanachostahili kupata wakiwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Huu si mfumo wa elimu wa karne ya 21

Licha ya rasilimali na utajiri mwingi tulionao, Tanzania ni moja ya nchi masikini duniani. Umaskini wa nchi yetu unasababishwa na mambo kadhaa yakiwamo ombwe la uongozi, mgawanyo wa rasilimali za nchi usio sawa na mfumo duni wa elimu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani