Mfumo mbovu waathiri elimu - Kitila
MFUMO mbovu wa elimu hapa nchini, umetajwa kusababisha wanafunzi katika shule za umma kusoma kwa mtindo wa kupenya, hali inayosababisha kuwepo kwa idadi kubwa ya watu walioenda shule, lakini idadi ya wanaoelimika kushuka.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo17 May
Mfumo dume bado waathiri familia nyingi
FAMILIA nyingi bado zipo katika tabaka la mfumo dume, ambao unachangia kwa asilimia kubwa kuendelea kuwepo kwa idadi ya watoto wa mitaani na waishio katika mazingira hatarishi.
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Waziri Kigoda: Mfumo mashine EFDs ni mbovu, unakandamiza
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Sera mbovu kiini kuporomoka elimu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iCZv3PdpOmE/Xu3goWxVPSI/AAAAAAALuuA/5qQJeMQOpuEAQuMevvtlAMsVUovWs5MXQCLcBGAsYHQ/s72-c/kalage.jpg)
Haki Elimu Yatoa Tathmini ya Mfumo wa Elimu Baada ya Covid 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-iCZv3PdpOmE/Xu3goWxVPSI/AAAAAAALuuA/5qQJeMQOpuEAQuMevvtlAMsVUovWs5MXQCLcBGAsYHQ/s640/kalage.jpg)
Tasisi isiyo ya Kiserikali ya Haki
Elimu Tanzania imesema katika kipindi hiki cha shule kufungwa nje ya utaratibu
rasmi wa likizo kimetufanya tugundue namna mfumo wetu wa utoaji elimu ulivyo na
mapungufu mengi.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Shirika
Hilo Dk.John Kalaghe alipokuwa akizungumza na wadau wa elimu kupitia mkutano
uliandaliwa na tasisi hiyo uliofanyika kwa njia ya mtandao wakati wa
mahadhimishoi ya siku ya mtoto wa Afrika.
Dk Kalaghe alisema kuwa...
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Elimu ya ujasiriamali katika mfumo wa elimu nchini
10 years ago
Mwananchi06 Oct
‘Mfumo wa elimu upitiwe upya’
10 years ago
Tanzania Daima06 Oct
Dk. Slaa: Mfumo wa elimu ubadilishwe
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa ameitaka serikali kubadilisha mfumo mbovu wa elimu uliyopo sasa ili kujenga taifa la wasomi waliyoelimika si bora wasomi....
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Mfumo wa elimu wakwaza wazazi
UTAFITI wa Taasisi ya Twaweza, umebaini kuwa wazazi hawana matumaini na mfumo wa elimu unaotumika hivi sasa kufundishia kama utawasaidia watoto kupata ujuzi na stadi kwa kiwango wanachostahili kupata wakiwa...
10 years ago
Mwananchi21 Apr
Huu si mfumo wa elimu wa karne ya 21