Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge wa Ukawa walia na Spika

Mbunge wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea amesema atamfikisha mahakamani Spika wa Bunge, Job Ndugai kwa kuvunja kanuni baada ya kuwaingiza polisi ndani ya ukumbi wa chombo hicho.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wabunge walia njaa

WABUNGE wa Bunge la Muungano, wanakabiliwa na ukata baada ya Ofisi ya Bunge kushindwa kuwalipa posho zao tangu walipoanza vikao vya Kamati za Bunge, jijini Dar es Salaam. Ingawa wabunge...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanga walia posho za Wabunge

Baadhi ya wakazi wa jijini Tanga, wamelalamikia kiwango kikubwa cha posho wanacholipwa wajumbe wa Baraza la Bunge la Katiba na kusema kuwa kiwango hicho ni matumizi mabaya ya pesa za wananchi.

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge walia na fedha za wanafunzi

WABUNGE waiomba serikali kuongeza fedha za mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu, kurejesha Idara ya Ukaguzi na kulipa malimbikizo yote wanayodaiwa na walimu.

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge walia na rushwa ofisi za umma

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani.KUKOSEKANA kwa Sheria ya kutenganisha biashara na uongozi ili kuweka nidhamu kwa viongozi wa umma kumesababisha kuwepo na mmomonyoko mkubwa wa maadili kwa viongozi hao, ambao wamekuwa wakitumia ofisi za umma kwa maslahi binafsi, hivyo kufanya vitendo vya rushwa kukithiri.

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema walia hujuma kukamatwa wabunge

>Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimedai kufanyiwa hujuma, Mbunge wa Iringa Mjini kupitia chama hicho, Mchungaji Peter Msigwa amekuwa mbunge wa pili kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma za kujeruhi.

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge walia na bajeti ndogo ya Wizara Habari

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara akiwasilisha taarifa ya makadirio ya bajeti ya Wizara yake ya mwaka 2015/2016 katika kikao cha Bunge la Bajeti, mjini Dodoma jana. (Picha na Mohamed Mambo).KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii imeitaka Serikali kuiongezea fedha Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo ili ikidhi mahitaji ya uendeshaji.

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge waungana kumpongeza Spika

Spika wa Bunge, Anne MakindaWABUNGE wamempongeza Spika wa Bunge, Anne Makinda kwa kusimamia kuanzishwa kwa Kamati ya Bunge ya Bajeti pamoja na Sheria ya Bajeti kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, jambo litakalodhibiti na kuziba mianya ya matumizi mabaya ya fedha za Serikali.

 

10 years ago

Habarileo

Spika awapa somo wabunge

Spika wa EALA, Daniel KidegaSPIKA wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Daniel Kidega amewataka wabunge na watunga Sheria kuwajibika, kushiriki kikamilifu katika maendeleo baada ya kuifikia ajenda ya Malengo ya Maendeleo ya Milenia 2015.

 

10 years ago

Habarileo

Spika,Masaju wananga wabunge ‘vigeugeu’

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju.MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG), George Masaju amewaomba wabunge kutumia kauli za busara wanapochangia mijadala bungeni, kuepusha kuikatisha Serikali tamaa ya kutekeleza wajibu wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani