Wabunge wa Ukawa walia na Spika
Mbunge wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea amesema atamfikisha mahakamani Spika wa Bunge, Job Ndugai kwa kuvunja kanuni baada ya kuwaingiza polisi ndani ya ukumbi wa chombo hicho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima24 Oct
Wabunge walia njaa
WABUNGE wa Bunge la Muungano, wanakabiliwa na ukata baada ya Ofisi ya Bunge kushindwa kuwalipa posho zao tangu walipoanza vikao vya Kamati za Bunge, jijini Dar es Salaam. Ingawa wabunge...
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Tanga walia posho za Wabunge
10 years ago
Habarileo02 Jun
Wabunge walia na fedha za wanafunzi
WABUNGE waiomba serikali kuongeza fedha za mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu, kurejesha Idara ya Ukaguzi na kulipa malimbikizo yote wanayodaiwa na walimu.
10 years ago
Habarileo19 May
Wabunge walia na rushwa ofisi za umma
KUKOSEKANA kwa Sheria ya kutenganisha biashara na uongozi ili kuweka nidhamu kwa viongozi wa umma kumesababisha kuwepo na mmomonyoko mkubwa wa maadili kwa viongozi hao, ambao wamekuwa wakitumia ofisi za umma kwa maslahi binafsi, hivyo kufanya vitendo vya rushwa kukithiri.
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Chadema walia hujuma kukamatwa wabunge
10 years ago
Habarileo29 May
Wabunge walia na bajeti ndogo ya Wizara Habari
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii imeitaka Serikali kuiongezea fedha Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo ili ikidhi mahitaji ya uendeshaji.
10 years ago
Habarileo29 Mar
Wabunge waungana kumpongeza Spika
WABUNGE wamempongeza Spika wa Bunge, Anne Makinda kwa kusimamia kuanzishwa kwa Kamati ya Bunge ya Bajeti pamoja na Sheria ya Bajeti kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, jambo litakalodhibiti na kuziba mianya ya matumizi mabaya ya fedha za Serikali.
10 years ago
Habarileo12 Feb
Spika awapa somo wabunge
SPIKA wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Daniel Kidega amewataka wabunge na watunga Sheria kuwajibika, kushiriki kikamilifu katika maendeleo baada ya kuifikia ajenda ya Malengo ya Maendeleo ya Milenia 2015.
10 years ago
Habarileo02 Jul
Spika,Masaju wananga wabunge ‘vigeugeu’
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG), George Masaju amewaomba wabunge kutumia kauli za busara wanapochangia mijadala bungeni, kuepusha kuikatisha Serikali tamaa ya kutekeleza wajibu wake.