SERIKALI NA WADAU WAJA NA ELIMU JUU YA CORONA KWA WATOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-NPfca258P30/Xo3KlIhjNVI/AAAAAAAC87Y/nSt50TW7nTQlOs5BZ8TURDjMZsnHWRfngCLcBGAsYHQ/s72-c/1%2BA.jpg)
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Idara Kuu
ya Maendeleo ya Jamii) kwa kushirikiana na Mtandao wa Malezi, Makuzi
na Maendeleo ya Watoto Wadogo Tanzania (TECDEN), Taasisi ya Chakula na
Lishe, Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Watoto (UNICEF)
wameandaa mkakati wa kufikisha ujumbe kwa watoto kuhusu kujikinga na
maambukizi ya Virusi vya Corona.
Akizungumza leo katika kikao kazi kilichowakutanisha wadau hao jijini
Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-68rqpSq_LpE/VnVNeOwJcFI/AAAAAAAA1-s/sOT1crjrrRA/s72-c/1.jpg)
SHIRIKISHO LA WANAFUNZI WA VYUO VYA ELIMU YA JUU WAJA NA MIKAKATI MIPYA KIUTENDAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-68rqpSq_LpE/VnVNeOwJcFI/AAAAAAAA1-s/sOT1crjrrRA/s320/1.jpg)
Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyuo Vikuu Zainab Abdallah, akizungumza na waandishi wa habari, jana jijini Dar es Salaam, Wengine kutoka kushoto ni Katibu wa Idara ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa, Daniel Zenda, Katibu wa Idara ya Uchumi na Fedha, Luhende Luhende na Katibu wa Idara ya Elimu, Tafiti na Uongozi, Ally Hapi. (Picha na Bashir Nkoromo).
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Ndugu waandishi wa habari,
Kamati ya Uratibu ya Shirikisho la Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu Taifa, ilifanya...
10 years ago
Mwananchi20 Jul
Upinzani waja juu Magufuli kutumia ndege ya Serikali
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BfggQF4VMfc/XqvYngmvlTI/AAAAAAALovg/Hx-5YnxfrcUwYLB_H3cM9okNGaOELWC0QCLcBGAsYHQ/s72-c/qw.jpg)
SERIKALI YAIJIA JUU NTV KENYA KWA KUPOTOSHA TAARIFA ZA CORONA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BfggQF4VMfc/XqvYngmvlTI/AAAAAAALovg/Hx-5YnxfrcUwYLB_H3cM9okNGaOELWC0QCLcBGAsYHQ/s400/qw.jpg)
Charles James, Michuzi TV
KATIBU MKUU Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk Hassan Abbas amekijia juu chombo cha habari cha NTV kwa kutoa taarifa alizoziita za uzushi kuhusiana na maendeleo ya ugonjwa wa Corona nchini.
Kupitia akaunti yao ya Twitter NTV waliweka taarifa inayosema idadi ya watu wanaokufa kwa ugonjwa wa Corona jijini Dar es Salaam kwa siku ni 50 jambo ambalo Dk Abbas amelikanusha akisema ni uongo.
" Watu 50 wanakufa kwa siku...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-68HsBfSrG1Q/VX6TTvdMdWI/AAAAAAAHffc/YoiS6WSTceY/s72-c/pho.jpg)
SERIKALI YA ZANZIBAR YAENDELEA KUTOA ELIMU BURE KWA WATOTO
![](http://3.bp.blogspot.com/-68HsBfSrG1Q/VX6TTvdMdWI/AAAAAAAHffc/YoiS6WSTceY/s1600/pho.jpg)
LICHA ya kupanda kwa gharama za uendeshaji wa sekta ya elimu hapa Zanzibar na duniani kote, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuhakikisha elimu inaendelea kutolewa bure kwa watoto wa Zanzibar kama ilivyotangazwa na Marehemu Mzee Abeid...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CJo1-N2jozc/U-NjpJT5BjI/AAAAAAABEwM/-tgyyrpjLz8/s72-c/IMG-20140807-WA0004.jpg)
MFUKO WA UTT WATOA ELIMU KWA WATUMISHI WA SERIKALI NA WAKULIMA JUU YA MIFUKO YA UWEKEZAJI MKOANI LINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-CJo1-N2jozc/U-NjpJT5BjI/AAAAAAABEwM/-tgyyrpjLz8/s1600/IMG-20140807-WA0004.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RKJzGwASGYE/U-Njm6XN1MI/AAAAAAABEwA/DR6_lOyy4T8/s1600/IMG-20140807-WA0001.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-voBvpqgtPPI/U-NjomXu6cI/AAAAAAABEwI/OgdQ-GLUmOs/s1600/IMG-20140807-WA0002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1-ylHwrf5TU/U-Njp1ZWT9I/AAAAAAABEwY/-sNvwLpFVLQ/s1600/IMG-20140807-WA0005.jpg)
10 years ago
Dewji Blog24 Feb
Serikali na wadau mbalimbali kuendelea kutoa elimu kwa makundi yaliyo katika hatari ya kupata maambukizi ya VVU
Na Aron Msigwa – MAELEZO
SERIKALI imesema kuwa itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya Afya kutoa elimu kwa makundi ya watu wanaotumia dawa za kulevya na wale wanaojihusisha na biashara ya ngono katika maeneo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EVDVjH1WAyw/XrLnZS_At-I/AAAAAAALpUA/4K4qltqZ7OIQik1VHFlYeovipW6YuE2-gCLcBGAsYHQ/s72-c/7200415e-3879-47dc-ac91-e70f567937f0-768x465.jpg)
SERIKALI YASHUKURU WADAU KWA KUCHANGIA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA ‘YASISITIZA UBORA NA USALAMA WA VIFAA VINAVYOTOLEWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-EVDVjH1WAyw/XrLnZS_At-I/AAAAAAALpUA/4K4qltqZ7OIQik1VHFlYeovipW6YuE2-gCLcBGAsYHQ/s640/7200415e-3879-47dc-ac91-e70f567937f0-768x465.jpg)
Waziri Ummy Mwalimu akipokea mfano wa hundi wenye thamani ya shilingi bilioni 1.1 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa tiba na vifaa kinga kutoka Anglogold Ashanti pamoja na Geita Gold Mining Limited(GGML)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/eeca8153-a54e-4735-acea-268b004dcb66-1024x643.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/321b26ad-1fab-4f66-8eec-cd54f7588812-1024x683.jpg)
Baadhi ya watumishi wa Shirika la Maendeleo la Petrol Tanzania...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GxX3dJrXkhk/XkueFOJCOXI/AAAAAAALd2Q/PNdo-Zug3YgEYizcgHbJwUQyF0BEShefgCLcBGAsYHQ/s72-c/5-3-1.jpg)
SERIKALI YATOA ELIMU KWA WACHIMBAJI WA DHAHABU JUU YA MADHARA YA MATUMIZI YA ZEBAKI ILI KULINDA AFYA ZAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-GxX3dJrXkhk/XkueFOJCOXI/AAAAAAALd2Q/PNdo-Zug3YgEYizcgHbJwUQyF0BEShefgCLcBGAsYHQ/s640/5-3-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-3-1.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Wadau elimu walia na serikali
WADAU wa elimu nchini wameilaumu serikali kwa kubadilisha mara kwa mara viwango vya ufaulu bila kufanya tathimini ya kutosha, mpango uliofananishwa na upanuzi wa magoli ili kumwezesha kila mchezaji kufunga...