Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CIA yatetea mbinu zake za mahojiano

Mkurugenzi wa shirika la ujasusi la Marekani CIA, John Brennan, kwa mara nyingine ametetea matumizi ya mbinu za kikatili.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

EPZA yatetea shughuli zake

MAMLAKA ya Mauzo ya Nje (EPZA) imetaka jamii kuondokana na dhana kwamba shughuli inazozifanya pamoja na manufaa, yanayopatikana ni kwa ajili ya wawekezaji wa nje pekee.

 

10 years ago

BBCSwahili

China yatetea haki zake za binadamu

China imesifu jitihada zake za kulinda haki za binadamu wakati waangalizi wanasema kuwa kuna vizingiti vingi nchini humo .

 

10 years ago

CloudsFM

Stara Thomas afanya mahojiano na kipindi cha Leo Tena,kuachia albam ya ngoma zake za zamani

Msanii Mkongwe wa Bongo Fleva,Stara Thomas akizungumza kwenye kipindi cha Leo Tena leo amezungumzia mambo mengi kuhusu muziki wake pia anatarajia kuachia albamu yake ya nyimbo zake zote za zamani hivi karibuni.Stara akifanya mahojiano na mtangazaji wa kipindi cha Leo Tena,Husna Abdul.

 

10 years ago

BBC

Somali militants kill 'CIA spies'

Somalia's militant Islamist group al-Shabab has killed by firing squad four men accused of spying for the CIA and other intelligence agencies.

 

9 years ago

Irish Independent

CIA psychologists implement Westlife song 'My Love' into their severe torture ...


Irish Independent
CIA psychologists implement Westlife song 'My Love' into their severe torture ...
Irish Independent
Suleiman Abdullah has taken a federal case against the psychologists who devised the CIA's torture regime. A Tanzanian fisherman is among the survivors who have taken a federal case against the psychologists responsible for implementing the CIA's ...
CIA used beatings and Westlife song 'My Love' to torture Tanzanian fisherman ...Belfast Telegraph
Victims File Suit Against CIA...

 

5 years ago

CCM Blog

CIA YAKIRI KUFELI SIASA ZA UTWISHAJI MAZUNGUMZO KUPITIA MSHINIKIZO DHIDI YA IRAN

CIA yakiri kufeli siasa za utwishaji mazungumzo kupitia mashinikizo dhidi ya IranShirika la Ujasusi la Marekani CIA limekiri kwamba siasa za vikwazo na mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi dhidi ya Iran zimefeli na kwamba Tehran haipo tayari kufanya mazungumzo na Washington chini ya mashinikizo kwa mazingira yoyote yale.Gazeti la New York Times limewanukuu viongozi wa ngazi za juu wa Marekani ndani ya shirika hilo katika moja ya uchambuzi wao wa hivi karibuni ambapo wamefikia natija hii kwamba, mashinikizo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hayajaweza kukaribisha...

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema yatetea wanahabari

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeungana na wadau wa sekta ya habari nchini kupinga usiri na udharura unaotaka kufanywa na Serikali katika miswada miwili muhimu inayogusa masilahi ya mwananchi mmoja mmoja na makundi ya wadau mbalimbali katika jamii.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM Moro yatetea mawaziri

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Morogoro, kimesema wabunge wake waliopo kwenye nyadhifa za uwaziri sio mizigo kwa kuwa wameonekana kufanya kazi vizuri. Wabunge wa Mkoa wa Morogoro ambao wamo...

 

10 years ago

BBCSwahili

UN yatetea juhudi za kuangamiza Ebola

Mratibu wa Umoja wa mataifa kuhusu ugonjwa wa ebola Davis Nabarro ametetea juhudi za kimataifa za kupambana na ugonjwa huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani