Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CIA YAKIRI KUFELI SIASA ZA UTWISHAJI MAZUNGUMZO KUPITIA MSHINIKIZO DHIDI YA IRAN

CIA yakiri kufeli siasa za utwishaji mazungumzo kupitia mashinikizo dhidi ya IranShirika la Ujasusi la Marekani CIA limekiri kwamba siasa za vikwazo na mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi dhidi ya Iran zimefeli na kwamba Tehran haipo tayari kufanya mazungumzo na Washington chini ya mashinikizo kwa mazingira yoyote yale.Gazeti la New York Times limewanukuu viongozi wa ngazi za juu wa Marekani ndani ya shirika hilo katika moja ya uchambuzi wao wa hivi karibuni ambapo wamefikia natija hii kwamba, mashinikizo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hayajaweza kukaribisha...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya Iran kuendelea Austria

Mawaziri wa mashauri ya nchi za kigeni kwenye mazungumzo ya Iran wanatarajiwa kurudi mjini Vienna kutafuta makubaliano

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya Iran yaendelea Austria

Wapatanishi wa kimataifa wanaendelea na mazungumzo na Iran mjini Viena yenye lengo la kuafikia makubaliano ya mpango wa nuklia

 

10 years ago

BBCSwahili

Iran:Mazungumzo yatazaa matunda?

Mazungumzo yanarejelewa tena hii leo kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran kwenye mji wa Lausanne

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya nyuklia ya Iran yaafikiwa

Mataifa sita makubwa duniani wamefikia makubalino ya muundo wa mazungumzo ya kina kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kufanya mazungumzo na Iran

Marekani inapanga kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na Iran kuhusu mbinu za kukabiliana na tishop la wapiganaji Iraq

 

11 years ago

BBCSwahili

Iran kutohudhuria mazungumzo ya Syria-UN

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa amefutilia mbali mwaliko uliotolewa kwa Iran kuhudhuria mazungumzo ya amani ya Syria nchini Uswisi

 

10 years ago

BBCSwahili

Muda wa mazungumzo na Iran waongezwa

Kuna dalili kuwa mazungumzo kati ya mataifa sita tajiri zaidi duniani na Iran kuhusu mpango wake wa nuklia yataendea mbele hata kama leo ndiyo siku ya mwisho ya mazungumzo hayo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya Iran kurejelewa leo

Mazungumzo kuhusu nuklia nchini Iran yanarejelewa mjini Vienna kupata makubaliano ya mwisho yaliyoafikiwa wiki 3 zilizopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Muda unayoyoma kwa mazungumzo ya Iran

John Kerry amesema Iran na washirika wake wanaojadiliana hawajawahi kukaribia kufikia makubaliano kuhusu mpango wake wa nyuklia

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani