Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EPZA yavuka malengo 2013

MAMLAKA ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) imetangaza kuvuka malengo yake kwa mwaka 2013. Mafanikio hayo yalitangazwa jijini Dar es Salaam jana na Mkurugenzi Mkuu wa EPZA, Dk. Adelhelm...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

SMZ yavuka malengo ya milenia

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar tayari imesema imefanikiwa kuyafikia Malengo ya Milenia ya kuimarisha na kusambaza huduma za Elimu hadi vijijini ambapo kwa sasa hakuna mwanafunzi anayetembea kilomita nne kutafuta elimu.

 

5 years ago

CCM Blog

HALMASHAURI YA NJOMBE YAVUKA TENA MALENGO UKUSANYAJI MAPATO


Na Amiri kilagalila,NjombeHALMASHAURI ya wilaya ya Njombe ambayo asilimia 70 ya mapato yake inayapata kutoka kwenye mazao ya miti , imefanikiwa kuvuka tena lengo la makusanyo ya mwaka 2019/2020 katika kipindi cha robo tatu ya mwaka kwa kukusanya asilimia 108 ya mapato.Ripoti hiyo ya makusanyo imetolewa katika kikao cha baraza na mwenyekiti wa halmashauri Valentino Hongoli na kutolewa ufafanunuzi na mkurugenzi Ally Juma ambaye anasema siri ya mafanikio makubwa katika makusanyo yametokana na...

 

11 years ago

Habarileo

EPZA yasema imevuka malengo yake

MAMLAKA ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) imesema imevuka malengo yake kwa mwaka 2013, hatua iliyotajwa kwamba ni kigezo cha Tanzania kuzidi kufanikiwa katika nyanja ya uwekezaji.

 

11 years ago

GPL

NJIA BORA YA KUTIMIZA MALENGO YALIYOKWAMA MWAKA 2013 - 2

MUNGU ni mwema maishani mwangu, hakika namshukuru kwa kila kitu akitendacho kwangu. Ahsante baba. Tunaendelea na mada yetu tuliyoanza nayo wiki iliyopita. Ni mada ambayo hakika imegusa wengi. Nimekuwa nikipokea simu mfululizo kutoka kwa wasomaji wakipongeza na kutaka kujifunza mengi. Kuna tuliobadilishana nao mawazo, nashukuru kuona kuwa mada iliwagusa. Ni kweli. Lazima kuwepo na nguvu au sababu inayokusukuma au kukushawishi...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Mauaji ya albino yavuka mipaka

                                                                         


NA MWANDISHI MAALUM, BLANTYREWAKATI Rais Jakaya Kikwete akitangaza vita na mtandao hatari unaojihusisha na utekaji na mauaji ya walemavu wa ngozi (albino), matukio hayo kwa sasa yameshika kasi nchini Malawi. Juzi, wakati akihutubia taifa katika hotuba yake ya mwisho wa mwezi, Rais Kikwete alisema serikali itahakikisha inasambaratisha mtandao huo na kuwataka watanzania wote kushiriki kwenye vita hiyo. Hata hivyo,...

 

10 years ago

Mwananchi

Tume yavuka lengo la uandikishaji Makambako

Wakazi wa Mji wa Makambako, mkoani Njombe wamevuka lengo lililowekwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) la kuandiksha watu 32,370 katika Daftari la kudumu la Mpiga Kura, ambalo unatumika mfumo mpya kuandikisha wa Biometrick Voters Regstration (BVR) na kufikia watu 39,579, huku kazi hiyo ikitarajiwa kuhitimishwa leo katika kata tisa za mji huo.

 

10 years ago

Habarileo

Ukerewe yavuka lengo kujiandikisha BVR

HALMASHAURI ya wilaya ya Ukerewe, Mwanza imeandikisha wananchi 162,883 katika daftari la kudumu la wapiga kura.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yavuka lengo usambazaji umeme

Profesa Sospeter MuhongoSERIKALI imekiomba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuipangia upya malengo ya kusambaza umeme kwa wananchi kwa sababu malengo yaliyopangwa katika Ilani ya Uchaguzi Mkuu wa 2010 yamefikiwa na kupitwa hata kabla ya kumalizika kipindi cha miaka mitano.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tabora yavuka lengo chanjo surua na rubera

MKOA wa Tabora umevuka lengo la kampeni shirikishi ya chanjo ya surua, rubera na magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumembele licha ya kukabiliwa na changamoto mbalimbali. Akizungumza na Waandishi wa Habari mjini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani