CCM yakabwa koo na Chadema Singida
Msimamizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa na Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Ikungi, Mohammed Nkya, akitoa matokeo ya uchaguzi wa serikali ya vijiji uliofanyika Jumapili iliyopita kwa waandishi wa habari (hawapo pichani). (Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Ikungi
CHAMA cha maendeleo na demokrasia (CHADEMA) kimeshinda nafasi za uenyekiti wa vijiji 49 na kinafuatiwa kwa karibu na CCM iliyopata vijiji 41,wakati CUF imeambulia vijiji vinne.
Halmashauri mpya ya Ikungi ina...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UpzIibbnBXk/XtNmL3wfQQI/AAAAAAAAMa0/EY8tSehBme82wIG4KrGKZ8MnyM5KneT5gCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200530-WA0046.jpg)
MWENYEKITI WA CHADEMA MKOA WA SINGIDA ATIMKIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-UpzIibbnBXk/XtNmL3wfQQI/AAAAAAAAMa0/EY8tSehBme82wIG4KrGKZ8MnyM5KneT5gCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200530-WA0046.jpg)
Mjumbe wa Kamati Kuu na Mlezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Munde Tambwe (kulia) akimkabidhi kadi ya CCM, Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Singida, Shabani Limu baada ya kujiunga na chama hicho mwishoni mwa wiki.
![](https://1.bp.blogspot.com/-xixi-Vm3Wbw/XtNmL6PKFjI/AAAAAAAAMas/MdyDR3w5kc0Nj09IGMgkoKJ1iHZDyaZjgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200530-WA0043.jpg)
Mjumbe wa Kamati Kuu na Mlezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Munde Tambwe, akionesha kadi ya Chadema baada ya kukabidhiwa.
![](https://1.bp.blogspot.com/-5OrGuIheAIg/XtNmL-kBmXI/AAAAAAAAMaw/moLyiaV_kgIERMjqKT91RTjxYuFcK1R1QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200530-WA0047.jpg)
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Singida,...
10 years ago
VijimamboMWALIMU "AIBOMOA" CCM SINGIDA, WANACHAMA LUKUKI WAHAMIA CHADEMA
10 years ago
Dewji Blog04 Aug
Waliokatwa kuwania ubunge, udiwani CCM Singida wakimbilia Chadema
Katibu wa CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo kwenye picha) juu ya chama hicho kuhamwa na Mwenyekiti wake wa mkoa, Mgana Izumbe Msindai aliyehamia CHADEMA.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
KURA za maoni nafasi ya udiwani,ubunge wa viti maalum na ule wa majimbo CCM mkoani Singida, zimeacha malalamiko na maumivu mengi,ambayo ni pamoja na kuhamwa na wananchama wake wengi akiwemo Mwenyekiti wake wa mkoa, Mgana Izumbe Msindai na...
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
CCM Singida yabomoa CHADEMA kwa kukomba wanachama wake 150
![DSC00417](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC00417.jpg)
![DSC00422](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC00422.jpg)
![DSC00407](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC00407.jpg)
9 years ago
Dewji Blog06 Sep
Aliyekuwa kada wa Chadema Ikungi, Singida, Hamisi Mazonge, arejea CCM na kukiomba radhi
Aliyekuwa katibu mwenezi CHADEMA kata ya Ikungi mkoani Singida, Hamisi Yahaya Mazonge, akitangaza uamuzi wake wa kuhama CHADEMA na kurejea CCM, kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi nafasi ya ubunge na udiwani jimbo la Singida mashariki.Mazonge amedai kwamba amehama CHADEMA baada ya kubaini chama hicho hakina sera yoyote ya kuwaletea wananchi maendeleo.(Picha naNathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Ikungi
ALIYEKUWA Katibu mwenezi wa CHADEMA Kata ya Ikungi wilaya ya Ikungi mkoani...
9 years ago
Dewji Blog25 Aug
Kaimu Msimamizi wa uchaguzi Singida mjini atupilia mbali pingamizi la CHADEMA dhidi ya mgombea wa CCM
Kaimu msimamizi wa uchaguzi jimbo la Singida mjini, Gerald Muhabuki Zephyrin,akizungumza na Modewjiblog juu ya uchaguzi ubunge jimbo la Singida mjini.(Picha na Gasper Andrew).
Na Nathaniel Limu, Singida
PINGAMIZI lililowekwa na Chama Cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA),jimbo la Singida mjini, dhidi ya mgombea wa CCM Mussa Ramadhan Sima kuwa fomu zake haziko sawa kwa mujibu wa kanuni,taratibu na sheria za uchaguzi,limetupiliwa mbali kwa madai kwamba halina mashiko.
Akizungumza na...
9 years ago
Mwananchi27 Oct
CCM, Ukawa wakabana koo udiwani
10 years ago
Mwananchi14 May
Ukawa, CCM wakabana koo bungeni
10 years ago
Mwananchi30 Jul
CCM Dar yaikaba koo Tume ya Uchaguzi