Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vurugu za uchaguzi zaleta hasara Afghan.

Vurugu kutokana na uchaguzi wa urais uliokumbwa na utata nchini Afghanistan umesababisha hasara ya dola bilioni 5

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Dawa za kulevya zaleta vurugu Mexco

Waziri wa mambo ya ndani wa Mexco ameitisha mkutano wa magavana wa majimbo ili kujadili namna ya kuepusha vurugu kufuatia kutoroka kwa mtuhumiwa wa wa biashara ya dawa za kulevya.

 

11 years ago

Habarileo

Vurugu Shule ya St Anne zasababisha hasara mil 140/-

Jasson RweikizaVURUGU zilizofanywa juzi katika Shule ya Msingi na Sekondari ya St Anne Marie Academy, jijini Dar es Salaam, zimesababisha hasara ya Sh milioni 140 kutokana na mali zilizoharibiwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Burundi 2020: Vurugu na mauaji yakumba kampeini za uchaguzi Burundi

Polisi nchini Burundi wamesema kuwa wamewakamata watu wapatao 64 kutoka chama kikuu cha siasa cha CNL, kumekuwa na ghasia pamoja na mauaji dhidi ya wanachama wa chama kikuu katika kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu wa rais tarehe 20 Mei.

 

10 years ago

Mtanzania

Uchaguzi Chadema vurugu tupu

John Mnyika

Mbunge wa Ubungo, John Mnyika

SHABANI MATUTU NA OLIVER OSWALD, DAR ES SALAAM

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kimebaini njama za kupandikiziwa mamluki wenye nia ya kuvuruga uchaguzi wa chama hicho pamoja na mabaraza yake unaotarajiwa kufanyika Septemba 14, mwaka huu.

Kutokana na hali hiyo, Chadema imedai kubaini uwepo wa mamluki hao ambao wengi wamejitokeza kuwania nafasi mbalimbali katika chama hicho huku wakikosa sifa stahili na hata kupanga mikakati ya kwenda...

 

11 years ago

Mwananchi

Tume ya uchaguzi yalaani vurugu

Tume ya Taifa ya Uchaguzi(Nec), imekemea vitendo vya vurugu na uvunjifu wa amani vinavyotokea katika Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Madiwani katika kata 27 zinazofikia tamati leo na kuviagiza vyombo vya dola kuwachukulia hatua bila kujali vyeo wala itikadi za wahusika.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vurugu uchaguzi wa Thailand ukianza

Uchaguzi huu unafanyika baada ya miezi kadhaa ya maandamano ya wapinzani kujaribu kutatiza hali ili usifanyike.

 

10 years ago

GPL

TWAWEZA WAONYA VURUGU UCHAGUZI MKUU!

Meneja wa Sauti za Wananchi wa Twaweza, Elvis Mushi (kulia) akitoa ufafanuzi katika mkutano huo. Kushoto ni Afisa Masoko wa Twaweza, Costantine Magavilla. Viongozi mbalimbali wa taasisi na wanahabari wakifuatilia semina hiyo. Viongozi wengine…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vurugu hizi kwenye uchaguzi hapana

JUMAPILI iliyopita, kata 27 nchini zilifanya uchaguzi mdogo kujaza nafasi zilizoachwa wazi na waliokuwa madiwani wake kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za vifo na kujiuzulu. Vyama mbalimbali vilishiriki uchaguzi huo,...

 

10 years ago

GPL

JK: POLISI MJIANDAE KUKABILIANA NA VURUGU ZA UCHAGUZI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikagua Gwaride la Jeshi la Polisi. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amelitaka Jeshi la Polisi nchini Tanzania kujiandaa kikamilifu ili kukabiliana na vurugu zozote zitakazojitokeza wakati wa uandikishaji wapigakura, upigaji Kura ya Maoni ya kupitisha Katiba Inayopendekezwa na Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, mwaka huu. Akifunga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani