URAHISI WA WEWE KUSALITIWA NA KIPI UFANYE KUEPUKA!
Hakika mapenzi ni imani, yaani kuamini kwamba uliyenaye anakupenda hata kama ukweli unaweza usiwe hivyo. Wengi walio na wapenzi wanajiaminisha kwamba wanavyowapenda wenza wao ndivyo wanavyopendwa.
Pia wapo ambao wanaamini kwamba eti kwa namna wanavyoonesha mapenzi yao, hata kwa dawa hawawezi kusalitiwa. Utamsikia mwanamke akisema; ‘bwana wangu mimi kwangu hapindui, ananipenda sana na hawezi kunisaliti’.
Mtu anayesema maneno hayo anajipa imani na ukifuatilia unaweza kukuta huyo anayesema hivyo,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ITtoOH4FElhazyqb4IsV9UwVeutxwig*Ilh3oVZ1JRZDp0M*LpRl*sHQu*ALlrDca6DM1PksNy1tq7*Yq9HgPv58yrTTUgfi/couplehappilysleeping.jpg?width=650)
URAHISI WA WEWE KUSALITIWA NA KIPI UFANYE KUEPUKA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pog920fjmi9spDzYLRhMIHshdO6kJ-leBCrEq*cOhDOf6D3ryf1A4yeSysb816Jn21xpr25Lxkk9A0gnlgfg0cjagsHw3u-3/BillGates.jpg?width=650)
MATAJIRI WALIKUWA MASKINI, UNACHOSHINDWA WEWE NI KIPI?
11 years ago
Bongo510 Jul
Wewe ni shabiki wa professor Jay? Atoa mwaliko kwa anayetaka kutokea kwenye video ya ‘Kipi Sijasikia’ Jumamosi hii (July 12)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi6565AXjEtuKJmtXroVicDOsOCZe5MLOyCPiSwVUn0FXAs9bp8JNP8wd3Eiwcnfg5fBFDx1*W7HFRpv23YMGX4qS/unhappycouple.jpg?width=650)
HANA WIVU NA WEWE...HAKUFUATILII...MESEJI MPAKA UANZE WEWE... HUYO ANA MALENGO YAKE!
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
Chama cha wafugaji na hofu ya kusalitiwa
“KWENYE msafara wa mamba na kenge wamo.” Hii ni kauli ya Mwenyekiti wa Chama cha Wafugaji Taifa (CCWT), Ally Lumiye, anayoitoa katika mkutano uliofanyika Kijiji cha Kilangawana wilayani Sumbawanga mkoani...
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
Baada ya kipigo cha Leicester, Mourinho ahisi kusalitiwa
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho (pichani) amesema anahisi kusalitiwa na baadhi ya wachezaji wake baada ya kupata kipigo cha goli 2 kwa 1 kutoka kwa Leicester City.
Mourinho alisema ilikuwa ni sahihi kwa Leicester kuwafunga kutokana na kuwatawala kwa kipindi kikubwa cha mchezo huo huku timu yake ikionekana kucheza vizuri kwa dakika za 25 za mwanzoni na kuwafanya kuwa katika wakati mgumu kupata matokeo mazuri.
Aliongeza kuwa aamahisi kusalitiwa na baadhi ya wachezaji...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
Urais unapogeuzwa urahisi
BAADA ya urais kugeuzwa urahisi kiasi cha watu wa hovyo wasio na sifa (watimbwakwiri) wala mipango kuuwania kwa udi na uvumba, ni jukumu la Watanzania kuwa makini kwenye uchaguzi ujao....
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Miy5-5-cgYtwqBHC9Ou0lkF2-AI558d0p-U6e7arhvG6FvLWmjX1Be16AdL1t*DrZAUsM1Nkua3COyUGGVdrwUKckfUx-E21/cheatingboyfriendhusband.jpg?width=650)
URAHISI WA MUME KUTEMBEA NA MASHOSTI WA MKE!
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Ufanye nini kabla haujashika ujauzito?
BAADA ya kufanya maandalizi ambayo tumeyaelelezea katika mfululizo wa makala zilizopita, usichukue hatua ya kushika ujauzito kabla hujafikiria suala hilo sawasawa. Kuna mambo mengine ya msingi kama 17 hivi unayopaswa...