Matajiri duniani wazidi kunona, maskini wateseka, kusononeka
Kila mwaka katika majira ya baridi ya Ulaya ambayo ni miezi ya Januari na Februari, Mji wa Davos ulioko katika milima ya Alps nchini Uswisi, huwa mwenyeji wa mkutano muhimu wa siku tano uliopewa jina la Jukwaa la Uchumi wa Dunia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pog920fjmi9spDzYLRhMIHshdO6kJ-leBCrEq*cOhDOf6D3ryf1A4yeSysb816Jn21xpr25Lxkk9A0gnlgfg0cjagsHw3u-3/BillGates.jpg?width=650)
MATAJIRI WALIKUWA MASKINI, UNACHOSHINDWA WEWE NI KIPI?
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Walikuwa maskini kama wewe, sasa ni matajiri wa kutupwa
OPRAH WINFREY.
Hakuna anayezaliwa na fedha, binadamu wote wamekuja duniani wakiwa mikono mitupu kabisa, tena bila nguo. Watu wanapokua, wengi wanakuwa hawana vitu hivyo na hata kula yao wakati mwingine ni ya shida mno.
Wanapofanikiwa, huwa hawakai kimya, wanatamani na wengine wafanikiwe ndiyo maana wengine wamekuwa wazi na kusema: “Kuzaliwa maskini si kosa lako, ila kufa maskini, hilo ni kosa lako.”
Hawa hapa chini ni matajiri wakubwa kwa sasa, ila kabla ya hapo, walikuwa maskini kama wewe...
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Pamoja na takwimu kuonyesha uchumi wa Tanzania unakua, bado kuna pengo kubwa kati ya maskini na matajiri
10 years ago
Vijimambo24 Mar
WATANZANIA LAZIMA TUWE MAKINI NA MATAJIRI WA NCHI HII KWA MUSTAKABALI WA TAIFA LETU NA USTAWI WA WATANZANIA MASKINI
![](https://www.rafikifoundation.org/CMS/Images/tanzaniamap.png)
10 years ago
BBCSwahili26 Jan
Asilimia moja ya watu matajiri duniani
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Matajiri wanafaa kulaumiwa kwa mzozo wa hali ya hewa duniani.