Usome wasifu wa Bernard Kamilius Membe hapa
Bernard Kamilius Membe alizaliwa tarehe 9 Novemba, 1953, Rondo, Chiponda, katika Mkoa wa Lindi, akiwa ni mtoto wa pili kati wa watoto saba (7) waliozaliwa katika familia ya Mzee Kamillius Anthony Ntachile na Mama Cecilia John Membe. Kwa kabila, Bernard Membe ni Mmwera, na kama ilivyo desturi ya Wamwera, watoto hutumia jina la ukoo wa Mama. Hivyo watoto wote saba wa familia hii ya Mzee Kamillius wamekuwa wanatumia jina la upande wa mama yao, Cecilia, yaani Membe.
Elimu:
1962 – 1968: Elimu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nzj7Az3goLI/VXwOzMvjcNI/AAAAAAABhkg/5w7hbMsm1kE/s72-c/ujumbe%2B4.png)
WASIFU WA BERNARD KAMILIUS MEMBE
![](http://1.bp.blogspot.com/-nzj7Az3goLI/VXwOzMvjcNI/AAAAAAABhkg/5w7hbMsm1kE/s640/ujumbe%2B4.png)
Elimu:1962 – 1968: Elimu ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Lf1B3Uv2G4uhha5o7xPulb4zMerGpzLltkSrwO8FTXCCeRMFojz7WqlksE1cVPMc2RmH5ww8V-cFYMCA*-bxsS8mqsDdmDX8/ujumbe4.png?width=550)
WASIFU WA BERNARD KAMILIUS MEMBE
10 years ago
Dewji Blog28 Mar
Unaujua mpira wa ‘Chandimu’..??? usome hapa kidogo!
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Tanzania ni miongoni mwa Taifa ambalo limekuwa likikua kila kukicha kwa kila Nyanja ikiwemo Elimu, biashara na Uchumi wake kwa ujumla ambapo mbali na vitu hivyo pia suala la michezo ikiwemo mchezo wa mpira miguu ama soka, umekuwa na mageuzi yake pia.
Tukija katika suala hilo la mageuzi katika soka, ni pamoja na matumizi yake ya nyenzo zilizokuwa zikitumika, ikiwemo mpira katika dimba. Enzi hizo mpira uliokuwa ukitumika ni wa kufuma na makaratasi ambao ni...
10 years ago
Bongo Movies22 Jul
Kama Wewe ni Mwanandoa, Usome Hapa Uchunguzi wa JB
Kuna mabadiliko makubwa mwanaume anayapata akifika umri wa miaka 40.nazungumzia kupevuka kwa akili,maamuzi yenye hekima,busara ,uvumilivu n.k.katika uchunguzi wangu ndoa nyingi zenye wanaume chini ya umri wa40 zina misuko suko sana. nawashauri wanawake wawavumilie wanaume hawa kwani baada ya muda wanakuwa bora zaidi....Maoni
Jacob Stephen ‘@jb_jerusalemfilms’ on Instagram
5 years ago
The Citizen Daily28 Feb
Bernard Membe to respond after he is expelled from CCM
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KveAPLnaqNg/VYwo7aKAApI/AAAAAAAHj_s/_Q2tU1aCC-k/s72-c/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
MKOA WA DAR ES SALAAM WAMDHAMINI BERNARD MEMBE
![](http://2.bp.blogspot.com/-KveAPLnaqNg/VYwo7aKAApI/AAAAAAAHj_s/_Q2tU1aCC-k/s640/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-I14io-iixUw/VYwo7SBtpoI/AAAAAAAHj_o/YsLhI9r8kfI/s640/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-0-JAB6qC3H8/VYa8-G2EUaI/AAAAAAADtAM/BYAk_8G1eLE/s72-c/1.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE APATA WADHAMINI GEITA
![](http://4.bp.blogspot.com/-0-JAB6qC3H8/VYa8-G2EUaI/AAAAAAADtAM/BYAk_8G1eLE/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-d94113Ymi5M/VYa9BUty1-I/AAAAAAADtAc/qMC75WOL5nI/s640/2.jpg)
5 years ago
The Citizen Daily01 Mar
What options does expelled CCM cadre Bernard Membe have?
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-6ff3uLAmRTM/VX7JUoMh09I/AAAAAAADr60/uyKQUo3i-p4/s72-c/1.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE APATA UDHAMINI ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-6ff3uLAmRTM/VX7JUoMh09I/AAAAAAADr60/uyKQUo3i-p4/s640/1.jpg)