Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASIFU WA BERNARD KAMILIUS MEMBE‏

Bernard Kamilius Membe alizaliwa tarehe 9 Novemba, 1953, Rondo, Chiponda, katika Mkoa wa Lindi, akiwa ni mtoto wa pili kati wa watoto saba (7) waliozaliwa katika familia ya Mzee Kamillius Anthony Ntachile na Mama Cecilia John Membe. Kwa kabila, Bernard Membe ni Mmwera, na kama ilivyo desturi ya Wamwera, watoto hutumia jina la ukoo wa Mama. Hivyo watoto wote saba wa familia hii ya Mzee Kamillius wamekuwa wanatumia jina la upande...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WASIFU WA BERNARD KAMILIUS MEMBE

Bernard Kamilius Membe alizaliwa tarehe 9 Novemba, 1953, Rondo, Chiponda, katika Mkoa wa Lindi, akiwa ni mtoto wa pili kati wa watoto saba (7) waliozaliwa katika familia ya Mzee Kamillius Anthony Ntachile na Mama Cecilia John Membe. Kwa kabila, Bernard Membe ni Mmwera, na kama ilivyo desturi ya Wamwera, watoto hutumia jina la ukoo wa Mama. Hivyo watoto wote saba wa familia hii ya Mzee Kamillius wamekuwa wanatumia jina la upande wa mama yao, Cecilia, yaani Membe.
Elimu:1962 – 1968: Elimu ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Usome wasifu wa Bernard Kamilius Membe hapa

ujumbe 4

Bernard Kamilius Membe alizaliwa tarehe 9 Novemba, 1953, Rondo, Chiponda, katika Mkoa wa Lindi, akiwa ni mtoto wa pili kati wa watoto saba (7) waliozaliwa katika familia ya Mzee Kamillius Anthony Ntachile na Mama Cecilia John Membe. Kwa kabila, Bernard Membe ni Mmwera, na kama ilivyo desturi ya Wamwera, watoto hutumia jina la ukoo wa Mama. Hivyo watoto wote saba wa familia hii ya Mzee Kamillius wamekuwa wanatumia jina la upande wa mama yao, Cecilia, yaani Membe.

Elimu:

1962 – 1968: Elimu...

 

10 years ago

GPL

WAZIRI BERNARD MEMBE ANUSURIKA AJALI YA NDEGE, ZANZIBAR‏

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe. Na Mwandishi Wetu, Zanzibar. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amenusurika kifo baada ya ndege aliyokuwa akisafiria kutoka Iringa kwenda Zanzibar kutaka kugongana uso kwa uso na ndege nyingine dakika moja kabla ya kutua.
Waziri Membe akiwa na ujumbe wake wa watu wanane, walikuwa wakisafiria ndege ya kukodi kampuni ya 5H NEG...

 

5 years ago

The Citizen Daily

Bernard Membe to respond after he is expelled from CCM

Bernard Membe to respond after he is expelled from CCM  The Citizen DailyCCM expels Tanzanian ex-minister Bernard Membe  The East AfricanCCM expels former Foreign Minister Membe from party  The East AfricanView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI BERNARD MEMBE APATA UDHAMINI ZANZIBAR

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kushoto) akishuhudia mmoja wa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akitia saini kumdhamini kwenye fomu yake ya kugombea Urais wa Tanzania katika uchaguzi Mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, katika ofisi ya CCM wilaya ya Kaskazini ‘B mkoa wa Kaskazini Unguja Zanzibar jana, ambapo alipata wadhamini zaidi ya 1500 katika mikoa yote mine ya Unguja. Katikati ni Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM ...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI BERNARD MEMBE APATA WADHAMINI GEITA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kushoto) akizungumza na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliofurika kwenye Ukumbi wa Ofisi ya CCM Wilaya ya Geita Juni 21.2015, kwa ajili ya kumdhamini ili aweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho. Picha zote na John BadWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (katikati mwenye miwani) akishangiliwa na...

 

5 years ago

The Citizen Daily

What options does expelled CCM cadre Bernard Membe have?

What options does expelled CCM cadre Bernard Membe have?  The Citizen Daily

 

11 years ago

AllAfrica.Com

Cain's Path of Bernard Membe of Tanzania On the Nile


Cain's Path of Bernard Membe of Tanzania On the Nile
AllAfrica.com
Tanzania like any other Nile riparian state has its national interest on the Nile waters as it is one of the water source country through the White Nile. Knowing the injustice done by ex-colonial powers, it was Tanzania which for the first time-among the Equatorial ...

 

10 years ago

Michuzi

MKOA WA DAR ES SALAAM WAMDHAMINI BERNARD MEMBE

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akionyesha fomu zilizojazwa na wanaCCM wa Mkoa wa Dar es Salaam zaidi ya 1,500 kwa ajili ya kumdhamini ili aweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya kukabidhiwa na Katibu wa CCM Wilaya ya Kinondoni, Athuman Shesha (kulia) katika Ukumbi wa Vijana Kinondoni Juni 25.2015. Kushoto ni mkewe Mama Dorcas Membe.  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani