Ray na Davina Kidogo Wazichape Ukumbini!
Mastaa wa Bongo Movies, Vincent Kigosi ‘Ray’ na Halima Yahaya ‘Davina’ nusura wazichape kavukavu katika Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar baada ya Ray kudaiwa kumshika mwenzake huyo sehemu nyeti, Risasi Mchanganyiko lina mchapo kamili.
Kwa mujibu wa chanzo makini cha gazeti la Risasi, ambacho kilikuwa shuhuda wa tukio hilo, Davina alikuwa amekaa na wasanii wengine pamoja na Mlezi wa Bongo Movies, mama Loraa wakipata vinywaji ndipo Ray alipofika na kuharibu shughuli.
“Wakati Davina...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeLVQdPDEo782lxJ*KOYYxrJCnIhYxXrcTNSg4pqL9Lh5Xu6tf*AFC7AlwDZGl7X05ZPu0zUqmeD0CqUY8NznujG/chiki.jpg)
RAY, CHIKI NUSURA WAZICHAPE!
10 years ago
Bongo Movies27 Dec
Davina:Steve Nyerere ni Mtu Poa Ila Ana Vimatatizo Kidogo....
Mwigizaji Halima Yahya “Davina” amekuwa sio mchoyo wa shukrani baada ya kufunguka yake ya moyoni kwa kile ambacho migizaji mwenzake, Steve Nyerere alichokifanya hapo jana kwenye uzinduzi wa kundi lao jipya la KAONE. Nahivi ndivyo alivyofunguka;
"Dah kiukwel napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru huyu mtu (SteveNyerere) kwa support kubwa aliyotupa jana katika uzinduzi wa kundi la #KAONESANAAGROUP ,ahsante sana jamani yaan kiukweli mnyonge mnyongen haki yake mpeni na sisi Watanzania tuna...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HD0RdVTwp0CJZ8Pib-vp0mRzHnTGDaK1SyeWaZd6YHgSTiBm42SDZJaMK5IOuNgD6WE2g6-SFBcd0QL12V0MYeaB9fAbbOME/Ray.gif?width=650)
RAY AANGUA UKUMBINI!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lnNHCVxKyAJXU7v1nKG1EUDuOanm2*SPd08WiHCIFqmVgIghUMWEa*3ykTjwtGQRHL3nvMfIpO92rQBScH2gPuNkMuZMqA6f/rayc.gif?width=650)
RAY C AHAHA KUMNASA JK UKUMBINI!
9 years ago
Bongo Movies26 Aug
Ray Aangua Kilio Ukumbini!
BONGE la soo! Katika hali ya kushangaza, msanii wa filamu Vicent Kigosi ‘Ray’ hivi karibuni alijikuta akiangua kilio ukumbini baada ya mshindi wa shindano la kusaka vipaji vya kuigiza kufananishwa na marehemu Steven Kanumba.
Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Posta, jijini Dar kulipokuwa na fainali za Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) ambapo washiriki 10 ndiyo walikuwa wakiwania kitita cha shilingi milioni 50.
Mara baada ya mshindi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo447tcpxDcPbUNWmUCKEcK10QYbRnkqCnmqX2LaZc*hs9aHERT38D*UDPrKwwqQwi2ijR6-YCz5gheyu8uSPsQY/yuyuyu6767.gif?width=650)
BASTOLA YA RAY YAZUA HOFU UKUMBINI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ve0GOSCWJagIuM-cYvlDGZ3Q2VDRgGBo7ufUr7IZ-iKwlVArkf-QMT0oKd*o-4yKoSep4gXGRyvp5Py*dyDDvMx0MxjkZn5V/6.jpg?width=650)
RAY, DAVINA HAPATOSHI!
10 years ago
Vijimambo25 Dec
HII STORI NI YA MUDA KIDOGO LAKINI NIMEONELEA NIIWEKE HAPA NA WEWE UIPITIE KIDOGO
![](http://freemedia.co.tz/daima/wp-content/uploads/2014/12/marathon.jpg)
MBIO za Uhuru Marathon msimu wa pili zilizofanyika jana kwenye viwanja vya Leaders Club, kwa kiasi fulani zilitiwa dosari kutokana na baadhi ya wanariadha kushutumiana kwa mambo ya kishirikina.
Tukio hilo la...
10 years ago
Bongo Movies20 Apr
Davina Akanusha Habari “Davina Amchokonoa Wema” Adai ni Uchonganishi
Staa wa bongo movies, Halima Yahaya ‘Davina’ ameonyesha kushitushwa na habari zilizoripotiwa leo nagezeti moja la udaku limeripoti habari yenye kishwa cha habari “Davina Amchokokoa Wema” kitu ambacho Davina amedai ni uchanganishi kati yake na Staa mwenzake Wema Sepetu.
Gazeti hilo limedai kuwa Davina alisema kuwa anamshukuru Mungu kwa mawanae kutimiza miaka miwili kwani kuna watu wanatafuta watoto mpaka sasa hawajapata.
Davina aliyaongea hayo katika birthday ya mwanae iliyofanyika ...