Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI WA VIONGOZI CHAMA CHA WAFUGAJI TANZANIA (CCWT)


CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

KAILIMA AZUNGUMZIA SABABU ZA KUFANYIKA UCHAGUZI MKUU WA VIONGOZI WA CHAMA CHA WAFUGAJI TANZANIA ( CCWT)

  Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima, akizungumza kuhusu sababu za kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa  Viongozi wa Chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT). Kailima, amezungumza leo  katika Mkutano  na waandishi wa habari uliofanyika, jijini Dodoma.  Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima (kushoto) akizungumza kuhusu sababu za kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa  Viongozi wa Chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT) kutokana na malalamiko...

 

5 years ago

Michuzi

KAILIMA ATEMBELEA OFISI ZA CHAMA CHA WAFUGAJI TANZANIA (CCWT) DODOMA KUONA MWENENDO WA MAANDALIZI YA UCHAGUZI WA CHAMA HICHO



Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima, akitoa maelekezo ya Serikali kwa Viongozi wa Chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT) hawapo pichani, baada ya kukuta Ofisi zao zikiwa zimefungwa na hakuna maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Chama hicho. Kailima, ameelekeza Wanachama wote wanaotaka kushiriki kwenye Mkutano wa...

 

5 years ago

Michuzi

Kailima:Uchaguzi Mkuu wa Viongozi wa Chama cha Wafunguji Tanzania (CCWT) kufanyika 16 Julai, 2020.



Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima, akitoa taarifa kwa Umma kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Viongozi wa Chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT) utakaofanyika tarehe 16 Julai, 2020. Kailima, ametoa taarifa hiyo katika Mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo jijini Dodoma.Kaimu Msajili wa Jumuiya za Kijamii wa Wizara...

 

10 years ago

Michuzi

Taarifa Kwa Umma Kutoka Cham Cha ACT-TANZANIA Kuhusu Zitto Kabwe na Chama Cha ACT- Tanzania

ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPERANCY. --Ndugu wanahabari kumekuwa na utaratibu wa habari zinazoupotosha umma wa watanzania kuhusu chama chetu cha ACT-Tanzania.
Katika gazeti la mwanahabari toleo na 117 la tarehe 29/09/2014 katika ukurasa wake wa mbele iliandikwa "MKAKATI WA KUKIPA NGUVU CHAMA CHA KIPYA CHA ZITTO KABWE WAVUJA".
Act-Tanzania tunaeleza kuwa ni chama cha watanzania wote kisichokuwa na mmilki wake na tunaunganishwa na misingi kumi ya chama pamoja na Itikadi yetu ya Demokrasia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani