KAILIMA ATEMBELEA OFISI ZA CHAMA CHA WAFUGAJI TANZANIA (CCWT) DODOMA KUONA MWENENDO WA MAANDALIZI YA UCHAGUZI WA CHAMA HICHO
![](https://1.bp.blogspot.com/-Nw7BRdLQbRU/XuUCymeO7nI/AAAAAAALtrw/dnjCfj6dWuESU7NuDya0uYcXbvAJCm59gCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-1-5.jpg)
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima, akitoa maelekezo ya Serikali kwa Viongozi wa Chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT) hawapo pichani, baada ya kukuta Ofisi zao zikiwa zimefungwa na hakuna maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Chama hicho. Kailima, ameelekeza Wanachama wote wanaotaka kushiriki kwenye Mkutano wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3P_PAQkUWwo/Xu4ueCZrFHI/AAAAAAALuw8/xOXM1fUfEtYYxjDmlmrDzXRI8DeSq3SvACLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2B1.jpg)
KAILIMA AZUNGUMZIA SABABU ZA KUFANYIKA UCHAGUZI MKUU WA VIONGOZI WA CHAMA CHA WAFUGAJI TANZANIA ( CCWT)
![](https://1.bp.blogspot.com/-3P_PAQkUWwo/Xu4ueCZrFHI/AAAAAAALuw8/xOXM1fUfEtYYxjDmlmrDzXRI8DeSq3SvACLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-c6giPWMubz8/Xu4ueS0bjqI/AAAAAAALuxA/NfOCnBYdzewC9tIFX96fIeM4BfE-3xBzACLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PhYVMRKHbaI/Xty3zLS6fKI/AAAAAAALs6M/w9cz7gx43pIeLhl9ulzFMJetOlj7h7BGACLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-1-1.jpg)
Kailima:Uchaguzi Mkuu wa Viongozi wa Chama cha Wafunguji Tanzania (CCWT) kufanyika 16 Julai, 2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-PhYVMRKHbaI/Xty3zLS6fKI/AAAAAAALs6M/w9cz7gx43pIeLhl9ulzFMJetOlj7h7BGACLcBGAsYHQ/s640/Picha-1-1.jpg)
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima, akitoa taarifa kwa Umma kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Viongozi wa Chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT) utakaofanyika tarehe 16 Julai, 2020. Kailima, ametoa taarifa hiyo katika Mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/Picha-2-2.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Qz1CjUJ7cak/XtypC_AA9pI/AAAAAAAC6_8/UQZvGS7FqCsUQZmjwJLL8Fj7YcNVI7s1ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
9 years ago
MichuziCHAMA CHA ACT WAZALENDO WAFUNGUA KAMPENI ZA CHAMA HICHO IRINGA
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
Na MatukiodaimaBLogCHAMA cha ACT wazalendo kimezindua kampeni zake za ubunge katika jimbo la Iringa huku mgombea wake ubunge katika jimbo hilo Bi Chiku Abwao akivilalamikia baadhi ya vyombo vya habari nchini kwa kukalia habari zake zinazohusiana na uchafu wa mgombea Urais wa chama cha Demokrasia na maendeleo (chadema) anayewakilisha vyama vinavyounda umoja wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2nkx2em4eO0/VG7ltmWPtkI/AAAAAAACvDg/7NvsxG0-gJM/s72-c/New%2BPicture%2B(1).png)
VIONGOZI WAPYA WA CHAMA CHA MAKATIBU MAHSUSI TANZANIA WATAMBULISHA OFISI MPYA ZA CHAMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-2nkx2em4eO0/VG7ltmWPtkI/AAAAAAACvDg/7NvsxG0-gJM/s1600/New%2BPicture%2B(1).png)
Nyumba ya Maarifa (NIP) mkabala ATCL House, Ghorofa ya Kwanza, Mtaa wa Ohio, S.L.P. 79868, Dar es Salaam. Simu: +255 22 2127464, Nukushi: +255 22 2126399 Barua pepe: info@tapsea.org, Tovuti: http://www.tapsea.org
![](file:///C:%5CUsers%5CMichuzi%5CAppData%5CLocal%5CTemp%5Cmsohtmlclip1%5C01%5Cclip_image001.png)
![](file:///C:%5CUsers%5CMichuzi%5CAppData%5CLocal%5CTemp%5Cmsohtmlclip1%5C01%5Cclip_image002.png)
VIONGOZI WAPYA WA CHAMA CHA MAKATIBU MAHSUSI TANZANIA WATAMBULISHA OFISI MPYA ZA CHAMA
MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAKATIBU MAHSUSI TANZANIA – TAPSEA ANAWAJULISHA MAKATIBU MAHSUSI WOTE TANZANIA KUWA OFISI YA TAPSEA IMEHAMIA KATIKA JENGO LA NYUMBA YA MAARIFA (NIP) MTAA WA...
10 years ago
Vijimambo20 Oct
RATIBA YA MAANDALIZI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA NDANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI
RATIBA YA MAANDALIZI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA NDANI YA CHAMA
10 years ago
GPLCHAMA CHA WAFUGAJI TANZANIA CHATOA TAMKO
5 years ago
MichuziCHAMA CHA NCCR-MAGEUZI WAPO TEYARI KUSHIRIKIANA NA CHAMA CHOCHOTE KATIKA UCHAGUZI WA 2020
Na Avila Kakingo, Globu ya JamiiCHAMA cha NCCR-Mageuzi kipo tayari kushirikiana na chama chochote kwa kuzingatia maslahi ya mapana ya Tanzania nakuzingatia utaratibu unaokubalika kikatiba na kisheria katika mchakato wote wa kushiriki uchaguzi Mkuu wa 2020.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia jijini Dar es Salaam leo wakati akizungumza na waandishi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wRjuskl6Pb4/XtpSVZmsEMI/AAAAAAALsu8/8f19Qk88oYMdqqZ3b79pKQsSjlKgKlAdACLcBGAsYHQ/s72-c/d32e6306-498a-4f80-ad70-665a26fdf56a.jpg)
RAIS DKT MAGUFULI AFUNGUA MKUTANO MKUU UCHAGUZI WA CHAMA CHA WALIMU TANZANIA CWT KATIKA UWANJA WA JAMHURI MJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-wRjuskl6Pb4/XtpSVZmsEMI/AAAAAAALsu8/8f19Qk88oYMdqqZ3b79pKQsSjlKgKlAdACLcBGAsYHQ/s640/d32e6306-498a-4f80-ad70-665a26fdf56a.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/f994c205-9286-4e75-90d6-eda3022ac964.jpg)