Kailima:Uchaguzi Mkuu wa Viongozi wa Chama cha Wafunguji Tanzania (CCWT) kufanyika 16 Julai, 2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-PhYVMRKHbaI/Xty3zLS6fKI/AAAAAAALs6M/w9cz7gx43pIeLhl9ulzFMJetOlj7h7BGACLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-1-1.jpg)
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima, akitoa taarifa kwa Umma kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Viongozi wa Chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT) utakaofanyika tarehe 16 Julai, 2020. Kailima, ametoa taarifa hiyo katika Mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo jijini Dodoma.Kaimu Msajili wa Jumuiya za Kijamii wa Wizara...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3P_PAQkUWwo/Xu4ueCZrFHI/AAAAAAALuw8/xOXM1fUfEtYYxjDmlmrDzXRI8DeSq3SvACLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2B1.jpg)
KAILIMA AZUNGUMZIA SABABU ZA KUFANYIKA UCHAGUZI MKUU WA VIONGOZI WA CHAMA CHA WAFUGAJI TANZANIA ( CCWT)
![](https://1.bp.blogspot.com/-3P_PAQkUWwo/Xu4ueCZrFHI/AAAAAAALuw8/xOXM1fUfEtYYxjDmlmrDzXRI8DeSq3SvACLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-c6giPWMubz8/Xu4ueS0bjqI/AAAAAAALuxA/NfOCnBYdzewC9tIFX96fIeM4BfE-3xBzACLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Nw7BRdLQbRU/XuUCymeO7nI/AAAAAAALtrw/dnjCfj6dWuESU7NuDya0uYcXbvAJCm59gCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-1-5.jpg)
KAILIMA ATEMBELEA OFISI ZA CHAMA CHA WAFUGAJI TANZANIA (CCWT) DODOMA KUONA MWENENDO WA MAANDALIZI YA UCHAGUZI WA CHAMA HICHO
![](https://1.bp.blogspot.com/-Nw7BRdLQbRU/XuUCymeO7nI/AAAAAAALtrw/dnjCfj6dWuESU7NuDya0uYcXbvAJCm59gCLcBGAsYHQ/s640/Picha-1-5.jpg)
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima, akitoa maelekezo ya Serikali kwa Viongozi wa Chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT) hawapo pichani, baada ya kukuta Ofisi zao zikiwa zimefungwa na hakuna maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Chama hicho. Kailima, ameelekeza Wanachama wote wanaotaka kushiriki kwenye Mkutano wa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Qz1CjUJ7cak/XtypC_AA9pI/AAAAAAAC6_8/UQZvGS7FqCsUQZmjwJLL8Fj7YcNVI7s1ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-j6IjkJzDnnE/XuONQcwPCGI/AAAAAAACNGI/ClN9cZlEkxgZwNFne_wWjHDuTDWR5RjgwCLcBGAsYHQ/s72-c/download%2B%25281%2529.jpg)
RATIBA YA MCHAKATO WA KUWAPATA WAGOMBEA WA CHAMA CHA MAPINDUZI WA NAFASI YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA RAIS WA ZANZIBAR KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-j6IjkJzDnnE/XuONQcwPCGI/AAAAAAACNGI/ClN9cZlEkxgZwNFne_wWjHDuTDWR5RjgwCLcBGAsYHQ/s1600/download%2B%25281%2529.jpg)
1.0. URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA TAREHE SHUGHULI/MAELEZO 1 15 – 30/06/2020 Kuchukua na kurejesha fomu. Mwisho wakurudisha fomu ni tarehe 30/6/2020 Saa 10:00 jioni. 2 15 – 30/06/2020 Kutafuta wadhamini Mikoani. VIKAO VYA UCHUJAJI 3 06 – 07/07/2020 ...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Fw1K7PdqaVI/VVxLX5vzWLI/AAAAAAAHYbA/wOPpx-kqi2w/s72-c/images.jpeg)
UCHAGUZI MKUU COASTAL UNION KUFANYIKA JULAI 5
![](http://2.bp.blogspot.com/-Fw1K7PdqaVI/VVxLX5vzWLI/AAAAAAAHYbA/wOPpx-kqi2w/s400/images.jpeg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya TFF, Wakili Melchesedek Lutema ametoa ratiba ya mchakato mzima wa uchaguzi huo, ambapo tarehe 21-22 Mei mwaka huu zitatangazwa nafasi zote zinazogombewa.
Kwa mujibu wa kalenda hiyo ya Uchaguzi, tarehe 23-30, Mei 2015 itakua ni kipindi cha uchukuaji fomu kwa wagombea wote na kuzirudisha, wakati...
5 years ago
MichuziCHAMA CHA NCCR-MAGEUZI WAPO TEYARI KUSHIRIKIANA NA CHAMA CHOCHOTE KATIKA UCHAGUZI WA 2020
Na Avila Kakingo, Globu ya JamiiCHAMA cha NCCR-Mageuzi kipo tayari kushirikiana na chama chochote kwa kuzingatia maslahi ya mapana ya Tanzania nakuzingatia utaratibu unaokubalika kikatiba na kisheria katika mchakato wote wa kushiriki uchaguzi Mkuu wa 2020.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia jijini Dar es Salaam leo wakati akizungumza na waandishi wa...
10 years ago
VijimamboCHAMA CHA WALIMU TANZANIA (CWT) KUFANYA UCHAGUZI MKUU KITAIFA MAY 28, 2015 JIJINI ARUSHA
Na Woinde Shizza, Arusha
Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kinatarajia kufanya...