CCM RORYA YAWASIMAMISHA VIONGOZI 16 WALIOSALITI CHAMA WAKATI WA UCHAGUZI MKUU
CCM wilaya ya Rorya imewasimamisha viongozi wake 16 wa ngazi mbali mbali wilayani humo kwa kubainika kuwa wakati wa uchguzi mkuu walisaidia UKAWA hali ambayo imesababisha CCM kupoteza kata nane.
Mwenyekiti wa CCM wa wilata hiyo mkoani Mara, Samwel Kiboye amesema Chama kimewapa siku 13 kutoa utetezi wao kabla ya kuvuliwa uanachama
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo19 Nov
Viongozi waliosaliti CCM Tabora wasimamishwa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Tabora Mjini, kimewasimamisha viongozi wanne wa Kata ya Chemchem kwa kukisaliti chama hicho katika mchakato uliopita wa kura za maoni hadi Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25 Mwaka huu.
9 years ago
VijimamboMKUU WA MKOA WA DODOMA AWATAKA VIONGOZI WA DINI KUSISITIZA AMANI NA UTULIVU WAKATI WA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PhYVMRKHbaI/Xty3zLS6fKI/AAAAAAALs6M/w9cz7gx43pIeLhl9ulzFMJetOlj7h7BGACLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-1-1.jpg)
Kailima:Uchaguzi Mkuu wa Viongozi wa Chama cha Wafunguji Tanzania (CCWT) kufanyika 16 Julai, 2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-PhYVMRKHbaI/Xty3zLS6fKI/AAAAAAALs6M/w9cz7gx43pIeLhl9ulzFMJetOlj7h7BGACLcBGAsYHQ/s640/Picha-1-1.jpg)
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima, akitoa taarifa kwa Umma kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Viongozi wa Chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT) utakaofanyika tarehe 16 Julai, 2020. Kailima, ametoa taarifa hiyo katika Mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/Picha-2-2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3P_PAQkUWwo/Xu4ueCZrFHI/AAAAAAALuw8/xOXM1fUfEtYYxjDmlmrDzXRI8DeSq3SvACLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2B1.jpg)
KAILIMA AZUNGUMZIA SABABU ZA KUFANYIKA UCHAGUZI MKUU WA VIONGOZI WA CHAMA CHA WAFUGAJI TANZANIA ( CCWT)
![](https://1.bp.blogspot.com/-3P_PAQkUWwo/Xu4ueCZrFHI/AAAAAAALuw8/xOXM1fUfEtYYxjDmlmrDzXRI8DeSq3SvACLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-c6giPWMubz8/Xu4ueS0bjqI/AAAAAAALuxA/NfOCnBYdzewC9tIFX96fIeM4BfE-3xBzACLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B2.jpg)
9 years ago
MichuziNEC YAWAOMBA VIONGOZI WA DINI KUTOKUWA NA UPANDE WAKATI WA KUWAELIMISHA WANANCHI KUHUSU UCHAGUZI MKUU UJAO.
9 years ago
VijimamboNEC YAWAOMBA VIONGOZI WA DINI KUTOKUWA NA UPANDE WAKATI WA KUWAELIMISHA WANANCHI KUHUSU UCHAGUZI MKUU UJAO.
9 years ago
MichuziMAMIA WAJITOKEZA KATIKA UFUNGUZI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU ZA CHAMA CHA CCM LEO
5 years ago
MichuziMANGULA AKUTANA NA VIONGOZI WA CCM SHINYANGA...AONYA WAGOMBEA UCHAGUZI MKUU 2020
10 years ago
Vijimambo31 Jul
CHAMA CHA MAPINDUZI CCM ZANZIBAR CHATOA TAMKO JUU YA KUJITOA KWENYE CHAMA WAZIRI MKUU MSTAAFU EDWARD LOWASA.
![unnamed (4)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/unnamed-44.jpg)
![unnamed (5)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/unnamed-53.jpg)
![unnamed (6)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/unnamed-62.jpg)