Viongozi waliosaliti CCM Tabora wasimamishwa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Tabora Mjini, kimewasimamisha viongozi wanne wa Kata ya Chemchem kwa kukisaliti chama hicho katika mchakato uliopita wa kura za maoni hadi Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25 Mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM Blog16 Nov
CCM RORYA YAWASIMAMISHA VIONGOZI 16 WALIOSALITI CHAMA WAKATI WA UCHAGUZI MKUU
Mwenyekiti wa CCM wa wilata hiyo mkoani Mara, Samwel Kiboye amesema Chama kimewapa siku 13 kutoa utetezi wao kabla ya kuvuliwa uanachama
10 years ago
Habarileo02 Nov
Viongozi CCM Dodoma wasimamishwa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Dodoma Mjini kimewasimamisha uongozi viongozi wa CCM Kata ya Chang’ombe huku Diwani wa Kata hiyo Bakari Fundikira, akisubiri uamuzi ya vikao vya chama kwa hatua zaidi za kinidhamu.
11 years ago
Mtanzania13 Aug
Chadema kuwatimua waliosaliti Ukawa
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa
NA SHABANI MATUTU
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amesema kuwa kazi ya kuwaadhibu wajumbe wa Bunge la Katiba waliokaidi makubaliano ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kwa kuingia katika Bunge Maalumu la Katiba wataadhibiwa na vikao maalumu vya chama.
Hayo aliyasema jijini Dar es Salaam jana, alipokuwa akizungumza na wanahabari.
Alisema yeyote aliyekiuka maazimio ya Ukawa na kuingia kwenye vikao vya Bunge...
10 years ago
VijimamboTAKUKURU YAMKINGIA KIFUA MKURUGENZI WA MANISPAA YA TABORA MBELE YA BARAZA LA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA
Jaji Msumi (katikati), akiwa na wenzake akisikiliza shauri hilo.
Na Dotto Mwaibale
KAMANDA wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Wilaya ya Mkuranga, Damas...
9 years ago
VijimamboMGOMBEA MWENZA CCM APUKUTISHA UPINZANI LINDI, 61 WAJUNGA NA CCM WAMO VIONGOZI
Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi...
9 years ago
Dewji Blog15 Sep
Mgombea mwenza CCM aupukutisha upinzani Lindi, 61 wajiunga CCM, wamo viongozi
9 years ago
VijimamboVIONGOZI WOTE WA CCM WA KATA YA MKOMAZI NA WAPIGA KURA 1,400 WA CCM WAHAMIA CHADEMA
Viongozi wote wa CCM wa kata ya mkomazi na pamoja na wapiga kura 1,400 wa eneo hilo wilayani Korogwe wamejiunga na CHADEMA huku baadhi yao wakiamua kugombea nafasi mbali mbali za uongozi kwa tiketi ya chama hicho.Wakizungumza katika mkutano wa kampeni ulifanyika katika kijiji cha mikocheni kilichopo kata ya mkomazi wilayani Korogwe baadhi ya viongozi hao pamoja na wengine wa CCM katika kata sita waliokatwa majina yao katika zoezi la kura za maoni kwa tiketi ya CCM wamesema wameamua kujiunga...
10 years ago
Tanzania Daima12 Sep
Wakazi Tabora kuisulubu CCM 2015
BAADHI ya wakazi mkoani hapa, wamesema kutokana na kuporwa viwanja na mashamba yao na Halmashauri ya Manispaa, watakihukumu chama tawala (CCM), kwenye uchaguzi mkuu mwakani kwa kuhamasishana na ndugu zao...
9 years ago
Mwananchi01 Dec
Saba CCM wawania umeya Tabora