Vijana waliofanyia kazi tume walalamikia hela zao
Vijana waliopewa kazi na Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania kusimamia uchaguzi katika kata ya Igoma, Mwanza wamelalamikia kutolipwa hela zao.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Viongozi wa uamsho walalamikia afya zao
9 years ago
Michuzi23 Sep
NI HAKI YAKO KULIPWA HELA YA MFUKO WA HIFADHI YA JAMII UNAPOFUKUZWA KAZI.
Na Bashir Yakub
Hela ya mifuko ya hifadhi ya jamii ni hela ambayo mwajiriwa hukatwa kiasi kadhaa katika mshahara wake na mwajiri hutoa kiasi kadhaa na kuhifadhiwa katika mfuko uitwao mfuko wa hifadhi ya jamii. Mfuko wa hifadhi ya jamiii ni kama NSSF, PSPF, LAPF, GEPF n.k. Hii ndio mifuko ya hifadhi ya jamii. Ipo mifuko ya hifadhi ya jamii ambayo huhudumia mashirika ya umma na ipo mingine ambayo huhudumia mashirika binafsi,...
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
CCM walalamikia tume ya uchaguzi NEC, kufuatia kukosa majimbo manne Tanzania Bara
Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya CCM, January Makamba.
CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wana-CCM na kwa umma:
MALALAMIKO YA CCM KUHUSU MATOKEO KWENYE BAADHI YA MAJIMBO
Chama cha Mapinduzi hakijaridhishwa na utaratibu wa kukusanya na kujumlisha matokeo kwenye baadhi ya majimbo. Katika majimbo manne kumekuwa na ukiukwaji mkubwa wa utaratibu wa uchaguzi, hasa katika kujumlisha matokeo, uliopelekea wabunge wa upinzani kutangazwa washindi. Majimbo hayo ni Iringa Mjini, Mikumi, Ndanda na...
9 years ago
Dewji Blog19 Oct
MAAFISA WA TUME YA UCHAGUZI: Watakiwa kufanyakazi zao kwa kuzingatia Sheria na taratibu!
baadhi ya washiriki wa mafunzo ya siku mbili kwa maafisa wa tume ya uchaguzi yaliyofanyika katika shule ya msingi Ikungi mchanganyiko
Na.Jumbe Ismailly.
[Ikungi-SINGIDA] Mkuu wa wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida ametoa wito kwa maafisa wa tume ya uchaguzi ngazi ya kata kuhakikisha viongozi watakaopatikana katika uchaguzi mkuu ujao wa Rais,wabunge na madiwani ni wale ambao wanatakiwa na wananchi na siyo wanaotakiwa na viongozi wa vyama vya siasa.
Wito huo umetolewa na Mkuu wa wilaya ya...
9 years ago
Mwananchi25 Oct
Tume yakumbusha kazi ya mawakala
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Tume ya Katiba imekamilisha kazi, tuipongeze
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Bomani awashukia wanaobeza kazi ya Tume ya
10 years ago
Habarileo08 Feb
Tume ya Walimu kuanza kazi Julai
SERIKALI imesema Tume ya Utumishi wa Walimu itaanza kazi Julai mwaka huu na kuhudumia walimu katika masuala mbalimbali huku muundo wa utumishi wa tume hiyo umehusisha ngazi za chini na juu.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5iV75pymkoI/VlcA718-96I/AAAAAAADC3A/C749ITqrAuI/s72-c/PIX1.jpg)
Serikali kuendelea kushirikiana na Vijana katika kutatua changamoto zao
![](http://1.bp.blogspot.com/-5iV75pymkoI/VlcA718-96I/AAAAAAADC3A/C749ITqrAuI/s640/PIX1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uNgGcB2lGiw/VlcA8SG4SkI/AAAAAAADC3E/hJqydszKEmE/s640/PIX2.jpg)