Madhara sita ya kutoa mimba
Leo tuzungumzie madhara sita ya kutoa mimba na madhara yake kama tutakavyoona hapa leo.
UNAWEZA KUPOTEZA UHAI
Ukitoa mimba unaweza kupoteza maisha kutokana na ukweli kwamba mara nyingi ndani ya wiki moja baada ya kutoa mimba mwanamke anaweza kuvuja damu sana, au kupata madhara ya dawa za usingizi, mabonge ya damu kwenye mishipa ya damu na mimba iliyotunga nje ya uzazi.
WATOTO KULEMAA UBONGO
Utoaji wa mimba huaribu mlango wa mfuko wa uzazi kushindwa kushika vizuri na matokeo yake mwanamke...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-L7eHoLjJoWo/VTIF5SYWISI/AAAAAAAAsGU/by7DGbbHtLU/s72-c/wema%2B%284%29.jpg)
NILIWAHI KUTOA MIMBA MOJA TU YA KANUMBA KWA VILE NILIKUWA MDOGO SANA, WANAO SEMA NIMETOA MIMBA NYINGI NI WAONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-L7eHoLjJoWo/VTIF5SYWISI/AAAAAAAAsGU/by7DGbbHtLU/s640/wema%2B%284%29.jpg)
Anazungumzia ishu ya kupata mtoto ndani ya EFM Radio Jana... Anasema watu wanaomsema hapati mimba kwa kuwa ametoa sana mimba, ni uongo kwa kuwa ameshatoa mimba moja tu tena ya Kanumba na kwa kuwa alikuwa mdogo.
Anasema ndoto yake ilikuwa kuzaa na Diamond ila hakuwahi kupata ujauzito ila ameangaika sana kupata na Diamond na wamehustle together kumpata mtoto ila haikuwezekana.
Anasema tangu hapate hiyo mimba ya Kanumba hakuna mwanaume ambaye ameshawai kumpa ujauzito. Anachukia sana watu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzPfBre8N7akC0ASO4alw7656hkFzO*TgaHs-ldAkOryY8rve1N72GDWS0qIUZ2mImyIYrR86hdzxyn9gPemy7wiTFY5C01W/k.jpg)
ROSE MUHANDO KUTOA MIMBA
5 years ago
BBCSwahili20 May
'Ninajuta kutoa mimba 5 kwa makusudi'
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3YX5i7K88Ay9FUvKm5M-ghX5pA2A8ZgHU2pFjkxPDwX4zaKSR9rlcA2bi9n-dm4NsaW2RK12j*45ivEsTZPB5qFD-G0Yx3qU/kiba.gif?width=650)
MSANII ADAI KUTOA MIMBA YA ALI KIBA
10 years ago
Bongo Movies20 Apr
Alichokisema Wastara Kuhusu Mastaa Kutoa Mimba
Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma amewahimiza mastaa wa kike kuzaa mapema na kuachana na tabia ya kutoa mimba hovyo.
Wastara alisema kutokana na maisha kuwa mafupi na kubadilika kila kukicha anawasihi mastaa wa kike kuzaa mapema na kuachana tabia ya kutoa mimba hovyo.
“Nawasihi mastaa kuachana na tabia ya kutoa mimba kwani hawajui Mungu amewaandikia watoto wangapi katika maisha yao, pia waache tabia ya kutoa mimba kwani baadaye wakati wakiwa tayari kuzaa watashindwa kuwapata na kujikuta...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/skuCKHlxf8UCKSjPiOud5aGATNhqll3wagH2pD5GQMcbF3K8PhB1w8Lk8EiLQlYJAAvdW9AWtP1i7Iq9AybU5G*aMY*8TkZW/BACKJUMAMOSI.jpg)
VIDONGE VYA KUTOA MIMBA VYAZAGAA DAR
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Mwanamume anavyokuwa chanzo cha mwanamke kutoa mimba — 3
KAMA kawaida, katika makala hii tunaanza na kishtua mada ili kupata ujumbe fulani wenye maana. Mshikaji 1: Waziri akishinikizwa na akajiuzulu ni kitendo cha uwajibikaji au sivyo? Mshikaji 2: Ndiyo...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Mwanamume anavyokuwa chanzo cha mwanamke kutoa mimba II
KAMA ilivyo kawaida katika makala hii tunaanza na kishtua mada ili kupata ujumbe fulani wenye maana. Mshikaji 1: Mdogo wangu anaandika kitabu cha kuhusu maisha yake. Mshikaji 2: Oh! kumbe...
10 years ago
Bongo Movies17 Jun
Wema Sepetu Akiri Kutoa Mimba, Sheria za Nchi Zinasemaje?
Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu akifanya mahojiano kwenye kipindi cha Take One hapo jana amekiri kuwa alitoa mimba maana hakuwa tayari kwa wakati ule.Ilikuwa mwaka 2008 na mimba ilikuwa ya marehemu Steven Kanumba
Kanumba alikuwa akimwambia kuwa nitakudai watoto wangu, kauli hii inamaanisha kuwa alitoa mimba zaidi ya moja.
Akizungumzia kuhusu kupata mtoto amesema anatamani sana kuwa na mtoto lakini ndio hivyo tena kahangaika sana lakini hajafanikiwa.Anadai labda wakati anatoa kuna vitu...