Alichokisema Wastara Kuhusu Mastaa Kutoa Mimba
Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma amewahimiza mastaa wa kike kuzaa mapema na kuachana na tabia ya kutoa mimba hovyo.
Wastara alisema kutokana na maisha kuwa mafupi na kubadilika kila kukicha anawasihi mastaa wa kike kuzaa mapema na kuachana tabia ya kutoa mimba hovyo.
“Nawasihi mastaa kuachana na tabia ya kutoa mimba kwani hawajui Mungu amewaandikia watoto wangapi katika maisha yao, pia waache tabia ya kutoa mimba kwani baadaye wakati wakiwa tayari kuzaa watashindwa kuwapata na kujikuta...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-L7eHoLjJoWo/VTIF5SYWISI/AAAAAAAAsGU/by7DGbbHtLU/s72-c/wema%2B%284%29.jpg)
NILIWAHI KUTOA MIMBA MOJA TU YA KANUMBA KWA VILE NILIKUWA MDOGO SANA, WANAO SEMA NIMETOA MIMBA NYINGI NI WAONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-L7eHoLjJoWo/VTIF5SYWISI/AAAAAAAAsGU/by7DGbbHtLU/s640/wema%2B%284%29.jpg)
Anazungumzia ishu ya kupata mtoto ndani ya EFM Radio Jana... Anasema watu wanaomsema hapati mimba kwa kuwa ametoa sana mimba, ni uongo kwa kuwa ameshatoa mimba moja tu tena ya Kanumba na kwa kuwa alikuwa mdogo.
Anasema ndoto yake ilikuwa kuzaa na Diamond ila hakuwahi kupata ujauzito ila ameangaika sana kupata na Diamond na wamehustle together kumpata mtoto ila haikuwezekana.
Anasema tangu hapate hiyo mimba ya Kanumba hakuna mwanaume ambaye ameshawai kumpa ujauzito. Anachukia sana watu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tmqA3rmqdgYmd-qOt-5i7wUhkuvDO6QQaY4lBVkiIDyX*x6jmt9XOvi8UlL*NxTZFjdnwTGM1YyCaH*Bby64KXa8P*d9Kjjh/wastara.jpg?width=650)
WASTARA AWAHIMIZA MASTAA KUZAA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-3i3rVffQH2-XWZd8GAKiOhjR5*ylABlK-WnDlS8fR7PcHcl0KF3K7PoveiXUatJjIuXtaIrkiBYa9vqOG-QDEVidxBojBaA/bond.jpg?width=650)
BWANA WA WASTARA ADAIWA KUMPA MIMBA MHUDUMU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm*jBModcaoiF3GFvagKhUjx3Do*yGUsNs7lPXfz084dGICuUdtxyEK8Bc2j1*mJd5iljK0B--xGDt8w61JnjABs/wastara.jpg)
STAA WASTARA APINGA MASTAA KUAGWA LEADERS
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JcikeZL6OiLReFOV2YALf9ab7jvq0EoZPbHjRBu0yDF6nXH1xaDy1ZXZX2FPq3CdNphw-ojWhyOm0r4IRG1NcDXn30jPyjgH/Mastaa.jpg?width=650)
MASTAA HODARI WA KUFICHA MIMBA
10 years ago
Bongo Movies06 Jan
Wastara Azungumzia Mastaa Kususia Kisomo Cha Sajuki
Mwigizaji wa filamu Bongo, Wastara Juma amelizungumzia swala la mastaa wengi wa filamu kuto udhuria kisomo cha marehemu mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’.
Mwishoni mwa wiki iliyopita Wastara aliandaa kisomo cha kumuenzi marehemu Sajuki ambapo dua ilianzia kwenye makaburi ya Kisutu alipozikwa na kumalizika nyumbani kwake maeneo ya Tabata Barakuda jijini Dar. Tukio ambalo lilihudhuriwa na mastaa wachache kutoka kwenye tasnia ya filamu ambapo yeye Wastara hadi sasa yupo na hata marehemu mmewe...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kBk*s0lw*NkXh1cvm97VDUcsNXb0dmDjuUEbjR0zbvbyax6IWATp0OqV4*RUkAPQ3UvjvoMPXeVrWnaxTm-bzwRCdSKJnBGY/wastara.jpg?width=650)
WASTARA ALIA MASTAA KUSUSIA KISOMO CHA SAJUKI
10 years ago
Vijimambo31 Jan
DIAMOND ALICHOKISEMA KUHUSU EX WA ZARI
![](http://www.hashtagsquare.com/wp-content/uploads/2014/09/diamond-platnumz728d-710x837.jpg)
Stori: Musa Mateja/RisasiICON wa Bongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond’, juzikati aliamua kumtolea uvivu, aliyewahi kuwa mpenzi wa mwandani wake wa sasa, Zarinah Hassani ‘Zari’, King lawrenc kwa kumuita mpuuzi anayetafuta kiki kwa vile kila kukicha kazi yake ni kumfuatafuata kwa maneno ya kejeli na kumtusi.
![](http://www.redpepper.co.ug/wp-content/uploads/2015/01/king-law.jpg?width=650)
X wa Zari, King lawrence akipozi.
Akipiga stori mbili tatu na gazeti hili hivi karibuni, staa huyo alisema mara nyingi amejitahidi kumpuuza kwa kitendo chake cha kumkejeli katika mitandao ya...
10 years ago
Bongo Movies21 Dec
PICHA:Sherehe ya Kuzaliwa ya Mtoto wa Wastara ya Hudhuriwa na Mastaa Kadhaa
Siku ya leo, mwigizaji wa filamu, Wastara Juma alimfanyia sherehe mtoto wake wa kiume aitwae Faris ,ambae siku ya leo amefikisha umri wa miaka 10 yakuzaliwa.
Sherehe hiyo iliudhuriwa na baadhi ya waigizaji wakubwa kama, Bond Bin Sinnan amabe ni mtangazaji na muigizaji na Salma jabu “Nisha” na wengine wengi.
Hizi ni baadhi ya picha za sherehe hiyo. Tunamtakia maisha marefu kijana huyu na tungependa aje kuinga kwenye tasnia hii ya filamu.
Wastara anauliza: “Kafanana na nani huyu mtoto...